Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Nina vituko kadhaa maana nimetembea kidogo hii nchi.
1.Nilikuta kitanda cha zege kama kaburi Tunduru, nikakataa kulala
2. Musoma mjini nililala guest imejengwe kama U milango inatazamana nimelala usiku kuna mwanamke alikuwa anapiga kelele hadi tukaamka karibia vyumba vyote isipokuwa cha huyo mwanamke
3.Korogwe kuna msela tulikuwa nae alichukua mwanamke wakati wanaingia hatukumuona sasa wameanza mambo usiku kelele balaa tukajua jamaa kachukua katoto anakatesa asubuhi tukawahi kuamka tushuhudie huyo binti,alipomtoa lilikuwa boge la dude la mjimama tukabaki kushangaa
4.Musoma vijijini nilishawahi letewa taulo usiku wa saa 8 huku narembuliwa nikamwambia sihitaji taulo kwa sababu kati ya kitu ambacho siwezi tumia ni taulo la guest.
5.Nilishawahi chukua mzigo pale tabora club iko opp na chuo cha uhazili yule binti akamwaga kojo moja matata sana kitandani ilibidi asubuhi nimtoe mama usafi ili afanye extra usafi room niliyokuwemo.
6.Mambali Nzega nililala guest nikauliza pa kuoga nika ambiwa unaweza oga hapo nje au bafu liko kule kwenda kucheck bafu ni chafu nikarudi kulala asubuhi tukaondoka na mwanangu suka hadi igunga ndio tukaoga lodge tuliyofikia tulikuwa na kazi pale.
7.Manyoni nililala kijijini bafu ni passport size nilikuwa naoga lakini kuanzia tumbo kuja juu naonekana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwenye huu uzi nadhan wewe ndo umekumbana na Mikasa ya ajabu !!!! Gest ina choo Cha nje Kama klabu za pombe
 
Nilikuwa na hamu sana na papuchi nilipofika tu nikavua nguo sasa napiga simu demu wangu yuko mbali sana nikasema ngoja nijilaze kitandani usingizi ukanipitia. Kuja kushtuka nakuta niko uchi bado na mlango uko wazi kumbe sikulock aisee.

Nawazaga tu hivi hakuna aliyenipiga picha kweli, siku nikikuta picha zangu huko mtandaoni nimelele huku dudu limesimama sitoshangaa 😬
HAHA HA HAHA HA
 
Nina vituko kadhaa maana nimetembea kidogo hii nchi.
1.Nilikuta kitanda cha zege kama kaburi Tunduru, nikakataa kulala
2. Musoma mjini nililala guest imejengwe kama U milango inatazamana nimelala usiku kuna mwanamke alikuwa anapiga kelele hadi tukaamka karibia vyumba vyote isipokuwa cha huyo mwanamke
3.Korogwe kuna msela tulikuwa nae alichukua mwanamke wakati wanaingia hatukumuona sasa wameanza mambo usiku kelele balaa tukajua jamaa kachukua katoto anakatesa asubuhi tukawahi kuamka tushuhudie huyo binti,alipomtoa lilikuwa boge la dude la mjimama tukabaki kushangaa
4.Musoma vijijini nilishawahi letewa taulo usiku wa saa 8 huku narembuliwa nikamwambia sihitaji taulo kwa sababu kati ya kitu ambacho siwezi tumia ni taulo la guest.
5.Nilishawahi chukua mzigo pale tabora club iko opp na chuo cha uhazili yule binti akamwaga kojo moja matata sana kitandani ilibidi asubuhi nimtoe mama usafi ili afanye extra usafi room niliyokuwemo.
6.Mambali Nzega nililala guest nikauliza pa kuoga nika ambiwa unaweza oga hapo nje au bafu liko kule kwenda kucheck bafu ni chafu nikarudi kulala asubuhi tukaondoka na mwanangu suka hadi igunga ndio tukaoga lodge tuliyofikia tulikuwa na kazi pale.
7.Manyoni nililala kijijini bafu ni passport size nilikuwa naoga lakini kuanzia tumbo kuja juu naonekana

Mkuu hilo tukio lako namba tano na mimi lishawahi kunitokea, halafu nimeamka asubuhi namsema Manzi anajifanya kuomba msamaha tu. Kwa hasira nikamfukuzia mbali hata ujira wake sikumpa.

Nikawa najiuliza kuwa niliwahi kusikia ukilala lodge chumba kikiwa na uchafu wa ziada kama vile damu au mkojo unapewa sabuni na maji ufue mwenyewe. Sasa si aibu hii.
Kipindi nipo kwenye dimbwi la mawazo sijui nifanye nini namsikia mtu anamfanya usafi nje, nikafungua mlango nikamuona mama mtu mzima kidogo ndio mfanya usafi nikajisemea huyu kwa umri wake atanistiri hii siri.

Nikamwita ndani alisita alijua labda nina lengo baya kwake nikamwambia ondoa shaka mimi ni mtu mwema kabisa. Alipoingia nikamueleza yaliyonisibu huku nina hofu nikashangaa anaanza kucheka. Kumuuliza unacheka nini akasema kwenye kazi yangu kwa jambo hili wewe sio wa kwanza na wala hautakuwa wa mwisho ondoa shaka nitakusaidia vizuri umeniambia ukweli. Akachukua shuka akazitoa nje na kuniletea nyingine, akaangalia kama kuna watu alivyogundua hakuna akatoa nje godoro kuanika na kuleta godoro lingine harakaharaka.

Akaniambia kazi imekwisha, nikamuuliza sasa hili godoro umelitoa wapi, akajibu kwenye chumba kingine ambacho mteja ameshaondoka nitasema kwa muhudumu mteja wa chumba hicho alikojoa kitandani ndio maana ameondoka mapema kukimbia.

Aisee palepale nilimpa Sh. Elfu kumi na nilipanga kukimbia ile Lodge ila nilikaa pale pale nilipomaliza mambo yangu na kuondoka mkoa ule.
 
Nina vituko kadhaa maana nimetembea kidogo hii nchi.
1.Nilikuta kitanda cha zege kama kaburi Tunduru, nikakataa kulala
2. Musoma mjini nililala guest imejengwe kama U milango inatazamana nimelala usiku kuna mwanamke alikuwa anapiga kelele hadi tukaamka karibia vyumba vyote isipokuwa cha huyo mwanamke
3.Korogwe kuna msela tulikuwa nae alichukua mwanamke wakati wanaingia hatukumuona sasa wameanza mambo usiku kelele balaa tukajua jamaa kachukua katoto anakatesa asubuhi tukawahi kuamka tushuhudie huyo binti,alipomtoa lilikuwa boge la dude la mjimama tukabaki kushangaa
4.Musoma vijijini nilishawahi letewa taulo usiku wa saa 8 huku narembuliwa nikamwambia sihitaji taulo kwa sababu kati ya kitu ambacho siwezi tumia ni taulo la guest.
5.Nilishawahi chukua mzigo pale tabora club iko opp na chuo cha uhazili yule binti akamwaga kojo moja matata sana kitandani ilibidi asubuhi nimtoe mama usafi ili afanye extra usafi room niliyokuwemo.
6.Mambali Nzega nililala guest nikauliza pa kuoga nika ambiwa unaweza oga hapo nje au bafu liko kule kwenda kucheck bafu ni chafu nikarudi kulala asubuhi tukaondoka na mwanangu suka hadi igunga ndio tukaoga lodge tuliyofikia tulikuwa na kazi pale.
7.Manyoni nililala kijijini bafu ni passport size nilikuwa naoga lakini kuanzia tumbo kuja juu naonekana
Umenikumbusha mambali nilipiga mswaki tu kesho yake nikarudi nzega palinishinda
 
Bond kubwa ni Upendo kati yetu na sio trauma,,hizo ni kama catalyst tuu ktk mahusiano,mfano mtu anakwambia yani nampenda sana mke wangu na kilichofanya nimpende zaidi mpk kumuoa ni vile anavyochukulia matatizo yangu kama yake,au vile alivyo na huruma,au vile alivyomsafi etc...etc....
Hapa ni trauma ndiyo iliwaunganisha kama ambavyo ulisema ndiyo iliwafanya muwe pamoja mpaka leo. Mliathirika kisaikolojia.
 
Hahahah Kuna sehemu hata kwa mbinde. Huwez kunipeleka. Ni Bora utamu ukosekane tu.

Na nikifika, situmii taulo zao. Hata hayo mashuka yenyewe nayatazama Mara 2 mbili. Kwa kweli Bora kuwa na gheto.
Naomba nikupeleke Kama hutojali kwa mpalange
 
Mwanza nilifikia hotel moja mjini pale floor ya pili, kwa chini kuna bar , nikaenda nikapata demu muhudumu pale, kumbe mtu wa jikoni ni mtu wake.
Demu walivofunga akaja kwangu, watu wakamsanua mwana...ulikua ni shida hio siku.
Wanawake hawa hawajitambuii... yani shida sanaa
 
Kuna gest nilichukua makambako, ile gest mhudumu ni mmaza hiv, sasa nilifika mchana nikachukua room kisha nikatoka nikaenda club kula tungi.

nilirudi night kali niko vyoooombo kichizi yan, nilileta noma kichizi pale gesti, asubuhi naamka kukabidhi chumba, yule maza akaniambia ebu kaa hapo tuongee.

akaanza kunipa wosia.."kwamba oooh we bado mtoto mdogo unalewa sana, yaani hapo ulipo hata 30 hujafikisha, cha ajab hata kuoa bado, hizo pombe mlikuwa mnashindana???..""unarudi usiku siku nyingine sikupokei"..hakujua mi mwenyewe sikuipenda ile gest..nilibugi tu
 
Kuna gest nilichukua makambako,ile gest mhudumu ni mmaza hiv,sasa nilifika mchana nikachukua room kisha nikatoka nikaenda club kula tungi..nilirudi night kali niko vyoooombo kichizi yan,nilileta noma kichizi pale gesti..asubuhi naamka kukabidhi chumba,yule maza akaniambia ebu kaa hapo tuongee..akaanza kunipa wosia.."kwamba oooh we bado mtoto mdogo unalewa sana, yaani hapo ulipo hata 30 hujafikisha,cha ajab hata kuoa bado,hizo pombe mlikuwa mnashindana???..""unarudi usiku siku nyingine sikupokei"..hakujua mi mwenyewe sikuipenda ile gest..nilibugi tu
Una utoto na ushamba mwingi. Umeandika kwa furaha kama vile ulifanya jambo la maana kumbe la kipumbavu. Huo ulevi ndo huwa mnapasuliwa yai. Badala ya kujihurumia. Unaandika kwa kujisifia Upumbavu na Ushamba.

Watu wajanja huwa wanakunywa pombe kwa starehe na si kero.
 
Back
Top Bottom