Kuna mafala huwa yanadema ukimwi ni kama malaria tu, sasa iko hivi miaka ya 2012 hivi niko Moshi kuna mams moja nikakutana nayo nikaomba no ikanipa japo Kwa mbinde, basi mhuni nikaifuatilia Kwa fujo zote jambo ilinizidi mwili na umri na ilikua imeolewa, nikaipanga basi tukakubaliana tukutane shan't town, kule nikatafuta chimbo fasta basi ikaja ilikua jmosi, nikaichezea sana ile mams nilikuwa nimechukua condom nikaziweka kitandani chini ya mto ili in case of anything zoezi lisichukue mda mrefu, kumbe ile mams imezoom na zile zana moyoni mwake ikaamini hiki kijamaa kinajali afya yake so ikakusudia kunitunuku kavukavu, sasa bhn nmeichezea sehemu zote ile najinyosha mkono kuchukua zana, mams ikanigrab fasta ikashika machine ikaipachika chap na mie mizuka ilishapanda weeee, ngoja nichakate papuchi kwa uhondari aiseee, kummmke nilipiga style kama zote maana nilikuwa napiga tako mbili tatu NNE nabadili style, yule mams anagugumia tu, na mie namuliza bby nisugua kulia, shushoto, katikati, kwa juu, niingine ndani, so she was directing me, ikiniambia hapohapo kmmk nachochoa dizain mandoga, so kumbuka mue sijamwanga hapo yeye kashamwaga fully kunibanda sana kwa kunikumbatia ikafika time ikabidi anipush huko then akakimbilia bafuni akaoga, si nikamfuata hukohuko bafuni akakataa umenichosha sana jaman, Mie time hio nimedinda knyama, alivyona nazidi kudai papuch ikaniambia umepata ukimwi kirahisi sana, kmmk at that point machine ikakata moto. Msenge yule hakubadili kauli yake hadi tunaacha. Sasa balaa lunaanza usiku nmelala mida ya saa tano usingizi ushakata wazo la kwanza kichwani nimepata ngoma, hapo ndipo nilipojiona I'm very potential to my family, nkaona jinsi gani nmeitia familia yangu aibu, harasa ya kunisomesha, jinsi gani naenda kuwa useless man, bhn wee niliwaza sana usiku ule. Asubuhi ikawa jpli nikampigia simu ili nimpange yukapime ili nijitidhishe, piga simu hapokeii, moyoni nikasema huyu msenge kweli kaniambukiza. J3 piga simu hapokeii kkmk nikasema nimekwisha but sikukata tamaa j4 akapokea swali la kwanza nikamuliza kwanini umeamua kuniambukuza ukimwi na wakati uliona kabisa nataka kuchukua condom ukanivuta?
Akajibu hapana sijakuambukiza bali nilipoana umebeba zana nikajua unaijali afya yako that's why nikawa willing kusex nawe without
Nikamwambia ni ngumu sana kuamini hayo usemayo bali naomba uje tukapime wote, akakubali tukapima majibu yakatoka sote tuko poa, baada ya kupima sikumtafuta tena jambo yeye alinitafuta sana.
Moral of the story
Ukimwi ni mzuri sana kuusikia kwa wengine lakini sio kwako binafsi, binafsi zilikua siku takribani nne lakini nilikipungua kilo kadhaa
Sent from my TECNO LA7 using
JamiiForums mobile app