Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Kwa taarifa yako nimeifanya kwa miaka 3 na nimefanya utafit huo kwa kuuliza classless.

Swali langu lilikua very technique, asilimia 95 walisema bora kazi ya boda boda.

Swali langu lilikua, ikitokea mtu anakuchukua ukafanye kazi kwake kwa mwezi anakulipa laki 5 mfano kuuza duka, je utakubar!

Nafikir ni mitizamo tu maana namkumbuk dogo mmoja ana miaka 24 kajenga nyumba kwa kazi ya boda boda japo ndio wapo ambao maisha yanawaendea kombo na wapo walio fanikiwa.

Nimejifunza heshima ya pesa nayo ni muhimu maana bado boda kuchoma elfu 10 kwa ajili ya wanawake ni kawaida sana.

Jambo la msingi tusidharau kazi.

Wapo watu wanauza kuku tu lakin maisha wamewin kuliko unaefikir mkurugenzi.
Aiseeeeee
 
Umenikumbusha demu wangu mmoja kila tukienda lodge alikua hajifutii taulo badala yake alikua akikanyagia miguu na kusafishia viatu akijiandaa kutoka.

Hadi nw imekua tabia yangu nikienda lodge taulo nafutia viatu.

#MaendeleoHayanaChama
Mm pia nakaushia miguu na kufutia viatu ,
 
Kuna mafala huwa yanadema ukimwi ni kama malaria tu, sasa iko hivi miaka ya 2012 hivi niko Moshi kuna mams moja nikakutana nayo nikaomba no ikanipa japo Kwa mbinde, basi mhuni nikaifuatilia Kwa fujo zote jambo ilinizidi mwili na umri na ilikua imeolewa, nikaipanga basi tukakubaliana tukutane shan't town, kule nikatafuta chimbo fasta basi ikaja ilikua jmosi, nikaichezea sana ile mams nilikuwa nimechukua condom nikaziweka kitandani chini ya mto ili in case of anything zoezi lisichukue mda mrefu, kumbe ile mams imezoom na zile zana moyoni mwake ikaamini hiki kijamaa kinajali afya yake so ikakusudia kunitunuku kavukavu, sasa bhn nmeichezea sehemu zote ile najinyosha mkono kuchukua zana, mams ikanigrab fasta ikashika machine ikaipachika chap na mie mizuka ilishapanda weeee, ngoja nichakate papuchi kwa uhondari aiseee, kummmke nilipiga style kama zote maana nilikuwa napiga tako mbili tatu NNE nabadili style, yule mams anagugumia tu, na mie namuliza bby nisugua kulia, shushoto, katikati, kwa juu, niingine ndani, so she was directing me, ikiniambia hapohapo kmmk nachochoa dizain mandoga, so kumbuka mue sijamwanga hapo yeye kashamwaga fully kunibanda sana kwa kunikumbatia ikafika time ikabidi anipush huko then akakimbilia bafuni akaoga, si nikamfuata hukohuko bafuni akakataa umenichosha sana jaman, Mie time hio nimedinda knyama, alivyona nazidi kudai papuch ikaniambia umepata ukimwi kirahisi sana, kmmk at that point machine ikakata moto. Msenge yule hakubadili kauli yake hadi tunaacha. Sasa balaa lunaanza usiku nmelala mida ya saa tano usingizi ushakata wazo la kwanza kichwani nimepata ngoma, hapo ndipo nilipojiona I'm very potential to my family, nkaona jinsi gani nmeitia familia yangu aibu, harasa ya kunisomesha, jinsi gani naenda kuwa useless man, bhn wee niliwaza sana usiku ule. Asubuhi ikawa jpli nikampigia simu ili nimpange yukapime ili nijitidhishe, piga simu hapokeii, moyoni nikasema huyu msenge kweli kaniambukiza. J3 piga simu hapokeii kkmk nikasema nimekwisha but sikukata tamaa j4 akapokea swali la kwanza nikamuliza kwanini umeamua kuniambukuza ukimwi na wakati uliona kabisa nataka kuchukua condom ukanivuta?
Akajibu hapana sijakuambukiza bali nilipoana umebeba zana nikajua unaijali afya yako that's why nikawa willing kusex nawe without
Nikamwambia ni ngumu sana kuamini hayo usemayo bali naomba uje tukapime wote, akakubali tukapima majibu yakatoka sote tuko poa, baada ya kupima sikumtafuta tena jambo yeye alinitafuta sana.
Moral of the story
Ukimwi ni mzuri sana kuusikia kwa wengine lakini sio kwako binafsi, binafsi zilikua siku takribani nne lakini nilikipungua kilo kadhaa

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Usikute wewe ni mwalimu unakula net pay 260,000 unataka kumtunishia misuli ya pesa mmiliki wa bodaboda anayeingiza 30,000 kila siku iendayo kwa Mungu
Mbona mnapenda kuwadharau walimu???..hizo ni fikra za kizamani mwalimu hayupo hivyo unavyomfikiria..you wrong!
 
Kuna mafala huwa yanadema ukimwi ni kama malaria tu, sasa iko hivi miaka ya 2012 hivi niko Moshi kuna mams moja nikakutana nayo nikaomba no ikanipa japo Kwa mbinde, basi mhuni nikaifuatilia Kwa fujo zote jambo ilinizidi mwili na umri na ilikua imeolewa, nikaipanga basi tukakubaliana tukutane shan't town, kule nikatafuta chimbo fasta basi ikaja ilikua jmosi, nikaichezea sana ile mams nilikuwa nimechukua condom nikaziweka kitandani chini ya mto ili in case of anything zoezi lisichukue mda mrefu, kumbe ile mams imezoom na zile zana moyoni mwake ikaamini hiki kijamaa kinajali afya yake so ikakusudia kunitunuku kavukavu, sasa bhn nmeichezea sehemu zote ile najinyosha mkono kuchukua zana, mams ikanigrab fasta ikashika machine ikaipachika chap na mie mizuka ilishapanda weeee, ngoja nichakate papuchi kwa uhondari aiseee, kummmke nilipiga style kama zote maana nilikuwa napiga tako mbili tatu NNE nabadili style, yule mams anagugumia tu, na mie namuliza bby nisugua kulia, shushoto, katikati, kwa juu, niingine ndani, so she was directing me, ikiniambia hapohapo kmmk nachochoa dizain mandoga, so kumbuka mue sijamwanga hapo yeye kashamwaga fully kunibanda sana kwa kunikumbatia ikafika time ikabidi anipush huko then akakimbilia bafuni akaoga, si nikamfuata hukohuko bafuni akakataa umenichosha sana jaman, Mie time hio nimedinda knyama, alivyona nazidi kudai papuch ikaniambia umepata ukimwi kirahisi sana, kmmk at that point machine ikakata moto. Msenge yule hakubadili kauli yake hadi tunaacha. Sasa balaa lunaanza usiku nmelala mida ya saa tano usingizi ushakata wazo la kwanza kichwani nimepata ngoma, hapo ndipo nilipojiona I'm very potential to my family, nkaona jinsi gani nmeitia familia yangu aibu, harasa ya kunisomesha, jinsi gani naenda kuwa useless man, bhn wee niliwaza sana usiku ule. Asubuhi ikawa jpli nikampigia simu ili nimpange yukapime ili nijitidhishe, piga simu hapokeii, moyoni nikasema huyu msenge kweli kaniambukiza. J3 piga simu hapokeii kkmk nikasema nimekwisha but sikukata tamaa j4 akapokea swali la kwanza nikamuliza kwanini umeamua kuniambukuza ukimwi na wakati uliona kabisa nataka kuchukua condom ukanivuta?
Akajibu hapana sijakuambukiza bali nilipoana umebeba zana nikajua unaijali afya yako that's why nikawa willing kusex nawe without
Nikamwambia ni ngumu sana kuamini hayo usemayo bali naomba uje tukapime wote, akakubali tukapima majibu yakatoka sote tuko poa, baada ya kupima sikumtafuta tena jambo yeye alinitafuta sana.
Moral of the story
Ukimwi ni mzuri sana kuusikia kwa wengine lakini sio kwako binafsi, binafsi zilikua siku takribani nne lakini nilikipungua kilo kadhaa

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Wanawake wako vizuri sana kucheza na akili ikiwa anatafuta namna ya kukukwepa...hahaa huyo mama anywe bia huko alipo kwa bili yangu[emoji28]
 
Shusheni visa na mikasa ,,,,,, !!!!!


Towels za lodge/hotels/Gest sio Salama Sana, zinatumika kufutia mabao, kujikaushia mtu ukioga, sio wote wanazifua vizuri ya madawa na maji ya Moto ! Je huwa unazitumia ? Au unatumia mashuka ? Foronya ?
mimi nikiingia gesti/lodge taulo huwa najifutia miguu tu
 
Leo asubuhi nimeingia guest house moja Tandika Uswahilini.
Nimelipa navua nguo ili nipumzike maana nimetoka night shift. Ile namaliza kuvua suruali ili nivue boxer nagongewa mlango, ile nafungua tu libidada jeupe limevaa shuka ya guest anakuja kuninong'oneza kuwa anaomba buku akanywe chai. Miziwa yote nje. Yaani linajichekesha tu. Nikamwambia tulia hapo kwenye kibaraza. Nikaingia room nikatoa buku 2 nikampa nikarudi ndani na kufunga mlango.
Yaani saa 2 asubuhi anajitongozesha kwa kuomba buku. Uswahilini noma sana
 
siku niliingia ka lodge flan sinza mida ya saa 1 asubuh nilitokea Moshi na fuso za usiku nikafika asubuh nikasema ngoja nipumzike nipumzike kidogo baadae niende kkoo kununua kulichonileta. ili mchana nichukue saibaba zile za mwisho kama daladala, kipindi stendi ubungo
sasa nikafika hiyo saa moja nikaingia rum, saa nne nataka kutoka wanakuja kudai tena hela maana niliwaambia nitatoka mchana eti nimelipa elf 15 saa 1 asubuh, saa nne wasema muda umeisha nilipe tena weee Aisee niliwamaindi hadi meneja akaja ikabidi akaniruhusu kuendelea hadi huo mchana
nimeenda kkoo nimerudi saa6 nikaingia rum kujiandaa Mara mhudumu huyo kaingia bila kugonga hodi akanikuta uchi Aisee hasira zote ziliishia kwake,ninashukuru jaki hadi leo nimteja wenu hapo, japo siku hizi haupo pale
 
Leo asubuhi nimeingia guest house moja Tandika Uswahilini.
Nimelipa navua nguo ili nipumzike maana nimetoka night shift. Ile namaliza kuvua suruali ili nivue boxer nagongewa mlango, ile nafungua tu libidada jeupe limevaa shuka ya guest anakuja kuninong'oneza kuwa anaomba buku akanywe chai. Miziwa yote nje. Yaani linajichekesha tu. Nikamwambia tulia hapo kwenye kibaraza. Nikaingia room nikatoa buku 2 nikampa nikarudi ndani na kufunga mlango.
Yaani saa 2 asubuhi anajitongozesha kwa kuomba buku. Uswahilini noma sana
Toa location chap...jina la hiyo lodge.

#MaendeleoHayanaChama
 
Dumila.
Nilienda kikazi na jamaa mshikaji wangu. Tukapata ile lodge iko upande wa kushoto wa barabara kama unatoka moro kwenda Dom. Ipo mwanzoni kabisa unapoanza kuingia Dumila bondeni bondeni hivi imejitenga ila ndo ilikuwa inaonekana nzuri kuliko zingine.

Mimi na jamaa yangu kila mtu alichukua rum yake. sasa mimi nilichukua room ambayo dirishani nikifunua pazia naona kila anayekuja pale. Mida ya saa 6 nikasikia kuna noah inakuja pale muziki uko juu sana hadi nikashtuka.

ucheki dirishani nikaona jamaa wawili wanashuka na demu mmoja wamemweka kati hivi alaf washapiga kilevi. Wakaja reception nilikuwa nawasikia kila walichokuwa wanaongea. Sasa walipoingia room walienda kumpiga mtungo yule dada aisee hatukulala.

Mwanamke alikuwa anapiga kelele ile ni mayowe kabisa kuna wakati anapiga kelele anasema mhudumu njoo niokoe wataniuaaaaaaa. hapo ni saa saba kwenda nane. baadaye pakatulia kidogo saa kumi wakaamsha popo tena mii sikulala kabisa. na zile kelele zinajua kuamsha nyege aisee ilibidi nipige chaputa moja ndo nikalala. Kesho yake mi na jamaa yangu tukasepa mapema sana njiani tunasimuliana.
Itakuwa walimfiiiiiiiira huyo demu ndo maana alikuwa akipiga kelele sana
 
Back
Top Bottom