Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Mbeya hyo

Nimepiga inshu zangu nimemaliza ikafika saa mbili hv nikasema wacha niende kulewa Kuna club moja hv huwa wanakesha wacha hz baa mbili maarufu karibu na mwanjelwa yaan hyo club n kama unaeelekea uyole ila unapita kabwe sasa nikasema wacha nichukue chumba karibu ili nikisikia Usingizi nipate sehemu ya kulala ebana nikaangukia kigesti Ila wao waliandika lodge nyuma ya hyo club.

Picha la kwanza maji ya Moto n jiko la mkaa na mbeya ilivyo na baridi nikaona haina shida nikaweka vitu vyangu nikamtania yule muhudumu kuwa nikikala napewa nn yeye akinijibu unataka nn Basi utan utan nikawa Kama nimemtania kumtaka mie nikatoka nikaenda kwenye Ile club nikanywa mpaka saa nane hv nilivyorud akanifungulia nikaingia nikampa utan nikaingia zangu kulala.

Muda ukapita kidogo nikaskia ngo ngo ngo kufungua yule dada aisee yupo na kitenge kimoja tuu eeeh nikasema Leo utan umenikost vibaya mno, Ila MUNGU huwa yupo upande wangu sana nikamwambia hamna kondom kumbe anazo aisee wacha tuu nikasema wacha nibambie tuu Ila sasa akawa hataki nimtoe kitenge ikiwa taa imewaka namie sababu nilikuwa sitaki kufanya nikawa nakomalia kumtoa taa ikiwaka sasa kumshikashika MUNGU saidia akalegea nikamtoa kanga aisee upaja wote unavile vikovu vya upele upele aisee nikasema nashukuru Sana hapa nilikuwa naenda kuumiza familia yangu mwenyewe aisee nikamzuga akalete chaja kwanza niweke simu isizime kesho na alipotoka tuu nikafunga mlango.

Asubuh naangalia kondom alizokuja nazo n 2pcs nikasema huyo alietumia moja MUNGU ampe nguvu mie huyo nikamwambia narudi kesho yake naenda Zambia.
Bila shaka hapo ni Mbeya pazuri
 
Mi nlichukua room Gest kwa ajili ya mgegedo na Dem wangu. Ile tumeingia kuanza mgegedo.

Kama dk 10 za mwanzo, tukaanza kusikia kilele kwenye makorido. Mara wagonge kwenye mlango wetu.

Mara tusikie "Bwana Yesu asifiwe". Kumbe Gest ilikodiwa na wanakwaya, walikuja kwenye Xmas.

Mzuka wote ulikata, sikuweza kuendelea. Nilishuka, mgegedo ukaishia hapo.

Yule demu alinimaindi mno eti tuendelee.
[emoji3][emoji3]
 
Kuna malaya wanaacha namba kwenye kuta na vitanda gesti Kasulu. Nikapiga akapokea jimama jeupe nene hatari,likaja nikalipima tu oil kumcheki makina marinda hamna sikulipiga. Lilikuwa minyama kibao, michirizi, tako limelegea, papuchi inalendemka kama mlenda, nikaona hapana mazee waya ule. We cha kufia,nikalipa tembo akasepa. Nikaingia zangu shower nikapiga puchu nikalala asubuhi najipaki niwashe ndinga naona na lenyewe linatoka lodge mlemle. Nikatembea zangu Nyakanazi nawaza hii dunia mbona sio poa.
Kudadadeki..zege hailali
 
Shusheni visa na mikasa ,,,,,, !!!!!


Towels za lodge/hotels/Gest sio Salama Sana, zinatumika kufutia mabao, kujikaushia mtu ukioga, sio wote wanazifua vizuri ya madawa na maji ya Moto ! Je huwa unazitumia ? Au unatumia mashuka ? Foronya ?
Naonaga shida nikiwa na demu lodge, ile kamaliza kuoga anajifuta na taulo mpaka kwenye papuchi, huwa silitumii
 
Naonaga shida nikiwa na demu lodge, ile kamaliza kuoga anajifuta na taulo mpaka kwenye papuchi, huwa silitumii
Hayo mm nafutia viatu ,,,,! Nikiwa safarini nakuwa na shuka la kimasai ndo huwa nalitumia !

Kama sio safarini nachukua mto najifutia foronya ,,, ! taulo kila mtu anajifutia hapana aise
 
Mkuu hata mablanket mazito au maduvet yanaweza kukaa mwezi hayajafuliwa, bora kujifunika shuka ya kawaida tu hata kama kuna baridi
Ma blanket nayo ni noma sana. Kama kuna option nadhani tujifunze tu kulala lodge ambazo zina standard nzuri!
Ila pia shuka la kimasai linafaa sana kusafiri nalo, linaokoa sana ukiwa mazingira yasiyofurahisha na hayana option!
 
Muda wa kutiana mto hua unawekwa pale chini ya kiuno Cha mwanamke ili anyanyuke Vzr/au huulalia juu ya tumbo lake ili matakor yabinuke juu vzr,mpale jasho mixer bao huchuruzika vzr kwny mto.
Option ipi mkuu,,,, ! Ni kwenda hotels/lodge standards wanazofua na machine pia wanatumia madawa !!! Sasa kwa wanaosafiri safiri wilayani huko lodge Ni za kawaida Sana inakuwaje ? Mwanamke awe na kikoi chake ,,,, Kama Ni me walau uwe na shuka la kimasai ,,,,,,

VP mazingira ya mjini,,,, I mean hujasafiri, lakini kwa Namna moja ama nyingine umelazimika kwenda lodge/hotel,, ,, ?? Inakuwaje?
 
Option ipi mkuu,,,, ! Ni kwenda hotels/lodge standards wanazofua na machine pia wanatumia madawa !!! Sasa kwa wanaosafiri safiri wilayani huko lodge Ni za kawaida Sana inakuwaje ? Mwanamke awe na kikoi chake ,,,, Kama Ni me walau uwe na shuka la kimasai ,,,,,,

VP mazingira ya mjini,,,, I mean hujasafiri, lakini kwa Namna moja ama nyingine umelazimika kwenda lodge/hotel,, ,, ?? Inakuwaje?
Msafiri kafiri mkuu,mambo yote yanayoendelea lodge tunayajua Ila Hakuna namna tunalala hivyo hivyo mkuu.
 
Gesti mmh siwezagi kusimuliaga hapana ila ninachoweza kusema nilikuwa na mzimikia mwanaume mmoja hivi nikashangaa hanipapatiko nikasema ngoja nijitahidi manjonjo kwenda naye guest nilijuta kupenda watu bila yakuwajua yaani mashine kama kidole basi ikabidi tuangaliane na hadi naleo tuliachana naitakuwa mkewe wanamsaidia

Kingine nilicheka sana siku hiyo tulieenda lodge nzuri tu mie na kipenzi changu . Sasa tulipoenda ile anza kwenda chumbani anza weee kwa aibu kidogo yule maza wa counter katuaibisha hebu chukueni kinga muende mkafanyane kwani munamuogopa nani hapa naumelipa chumba dah hatari tokea hapo niliamua kutulia zangu nakama nimpenzi wangu kama hana geto aache tu
Njoo geto kwangu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Gesti mmh siwezagi kusimuliaga hapana ila ninachoweza kusema nilikuwa na mzimikia mwanaume mmoja hivi nikashangaa hanipapatiko nikasema ngoja nijitahidi manjonjo kwenda naye guest nilijuta kupenda watu bila yakuwajua yaani mashine kama kidole basi ikabidi tuangaliane na hadi naleo tuliachana naitakuwa mkewe wanamsaidia

Kingine nilicheka sana siku hiyo tulieenda lodge nzuri tu mie na kipenzi changu . Sasa tulipoenda ile anza kwenda chumbani anza weee kwa aibu kidogo yule maza wa counter katuaibisha hebu chukueni kinga muende mkafanyane kwani munamuogopa nani hapa naumelipa chumba dah hatari tokea hapo niliamua kutulia zangu nakama nimpenzi wangu kama hana geto aache tu
Mi nna gheto njoo, temboni

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
siku niliingia ka lodge flan sinza mida ya saa 1 asubuh nilitokea Moshi na fuso za usiku nikafika asubuh nikasema ngoja nipumzike nipumzike kidogo baadae niende kkoo kununua kulichonileta. ili mchana nichukue saibaba zile za mwisho kama daladala, kipindi stendi ubungo
sasa nikafika hiyo saa moja nikaingia rum, saa nne nataka kutoka wanakuja kudai tena hela maana niliwaambia nitatoka mchana eti nimelipa elf 15 saa 1 asubuh, saa nne wasema muda umeisha nilipe tena weee Aisee niliwamaindi hadi meneja akaja ikabidi akaniruhusu kuendelea hadi huo mchana
nimeenda kkoo nimerudi saa6 nikaingia rum kujiandaa Mara mhudumu huyo kaingia bila kugonga hodi akanikuta uchi Aisee hasira zote ziliishia kwake,ninashukuru jaki hadi leo nimteja wenu hapo, japo siku hizi haupo pale
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom