MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Bila shaka hapo ni Mbeya pazuriMbeya hyo
Nimepiga inshu zangu nimemaliza ikafika saa mbili hv nikasema wacha niende kulewa Kuna club moja hv huwa wanakesha wacha hz baa mbili maarufu karibu na mwanjelwa yaan hyo club n kama unaeelekea uyole ila unapita kabwe sasa nikasema wacha nichukue chumba karibu ili nikisikia Usingizi nipate sehemu ya kulala ebana nikaangukia kigesti Ila wao waliandika lodge nyuma ya hyo club.
Picha la kwanza maji ya Moto n jiko la mkaa na mbeya ilivyo na baridi nikaona haina shida nikaweka vitu vyangu nikamtania yule muhudumu kuwa nikikala napewa nn yeye akinijibu unataka nn Basi utan utan nikawa Kama nimemtania kumtaka mie nikatoka nikaenda kwenye Ile club nikanywa mpaka saa nane hv nilivyorud akanifungulia nikaingia nikampa utan nikaingia zangu kulala.
Muda ukapita kidogo nikaskia ngo ngo ngo kufungua yule dada aisee yupo na kitenge kimoja tuu eeeh nikasema Leo utan umenikost vibaya mno, Ila MUNGU huwa yupo upande wangu sana nikamwambia hamna kondom kumbe anazo aisee wacha tuu nikasema wacha nibambie tuu Ila sasa akawa hataki nimtoe kitenge ikiwa taa imewaka namie sababu nilikuwa sitaki kufanya nikawa nakomalia kumtoa taa ikiwaka sasa kumshikashika MUNGU saidia akalegea nikamtoa kanga aisee upaja wote unavile vikovu vya upele upele aisee nikasema nashukuru Sana hapa nilikuwa naenda kuumiza familia yangu mwenyewe aisee nikamzuga akalete chaja kwanza niweke simu isizime kesho na alipotoka tuu nikafunga mlango.
Asubuh naangalia kondom alizokuja nazo n 2pcs nikasema huyo alietumia moja MUNGU ampe nguvu mie huyo nikamwambia narudi kesho yake naenda Zambia.