Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wamezidisha siku hiziHivi lodge za siku hizi ukitoka na pisi yako mhudumu ana kutaka muende nae mka kague wana zani wote tuna tumia line mbili .
Piga katerero wewe acha uzembeAisee, nimefikia lodge moja hapa bukoba naona wemeniwekea kitambaa cha lether cheusi chini ya shuka, huu ni uchawi ni nn.
Nimeona nilale zangu chini tu sitaki ushirikina mm
Naambiwa hiyo inakubarik bila condom sasa nani anataka gono n. KPiga katerero wewe acha uzembe
Na ni mwendo wa dk 2 kwenda stendi...pazuri sana,ila kama bajeti yako nzuri unaeza enda Kidia napo ni pazuri sanaKama kuna mtu anapata safari ya Ruangwa Mjini kuna hotel inaitwa Green View vyumba 25k(fan) na 30k(ac) hii hotel ipo vizuri saaaana kwenye usafi changamoto ni kubalance maji ya moto na baridi labda na vile Visabuni vya Eva basi lakini kuhusu usafi nawapa kongole, Nimelala apo mwaka jana na mwaka huu pia.
Safari zangu zote nikifika Ruangwa basi lazima nilale apo Green ViewNa ni mwendo wa dk 2 kwenda stendi...pazuri sana,ila kama bajeti yako nzuri unaeza enda Kidia napo ni pazuri sana
Nilipofika Ruangwa for the 1st time nililala hapo...pazuri kwakwelSafari zangu zote nikifika Ruangwa basi lazima nilale apo Green View
Ok...vipi ruangwa pride au hapo kwa mabossNa ni mwendo wa dk 2 kwenda stendi...pazuri sana,ila kama bajeti yako nzuri unaeza enda Kidia napo ni pazuri sana
Hiyo ilinipata mwaka Jana, nilienda mwanza kwenye rock city marathon, nikalala mtaa wa kirumba maana sio mbali na rock city Moore tunapoanzia mbio. Aisee vyumba vyote vya hiyo guest ilikua ni kelele tupu, nje ukutani ni kelele, kelele kila mahali watu wanapigana mashine. Sikulala Hadi asubuhikuna guest nishawahi ingia nilisikia kelele tu muda mwingi wanazagamuana hadi saa 9 ikaacha ikaanza tena 11 niliwahi sana kwenda stand ile siku na nililala sana kwenye basi sitasahau
Pazuri pia...Ila mara nyingi napenda kwenda kuogelea tu....ila wana rooms nzuri sana bei wanaanzia 80kOk...vipi ruangwa pride au hapo kwa maboss
Hiyo ilinikuta gesti moja Shinyanga stendikuna guest nishawahi ingia nilisikia kelele tu muda mwingi wanazagamuana hadi saa 9 ikaacha ikaanza tena 11 niliwahi sana kwenda stand ile siku na nililala sana kwenye basi sitasahau
Walikuwa ni washiriki wenzio wa marathoni maana ni njia mpya ya kufanya umalaya na ukahaba. Hakuna lolote la maana huko kwenye hizo marathoni zaidi ya hiyo. Mungu atusaidie kwa kweli.Hiyo ilinipata mwaka Jana, nilienda mwanza kwenye rock city marathon, nikalala mtaa wa kirumba maana sio mbali na rock city Moore tunapoanzia mbio. Aisee vyumba vyote vya hiyo guest ilikua ni kelele tupu, nje ukutani ni kelele, kelele kila mahali watu wanapigana mashine. Sikulala Hadi asubuhi
Naona customer care unazipa promo guest zako za Ruangwa kwa kutumia ID mbili mbili. Moja unajiuliza swali, nyingine unajijibu.Na ni mwendo wa dk 2 kwenda stendi...pazuri sana,ila kama bajeti yako nzuri unaeza enda Kidia napo ni pazuri sana
Vitu vyote hivyo kwa elfu 10000 ?Miaka miwili nilienda vwawa mbozi kuna guest house ipo karibu na shell ya ilasi inaitwa mkulima guest house,chumba chenye choo,tv,maji ya moto ya heater,kitanda 6x6,wali maharage bure,nguo zisizidi 2 unafuliwa na viatu unabrashiwa kwa sh 10,000/=!!kwa kweli nilistaajabu na wengi hawaamini nikiwahidithia!
Ndio mkuu sijui ni kujaribu kuhimili ushindani maana inafikirisha sana!Vitu vyote hivyo kwa elfu 10000 ?