Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
Kama inakuja inakataa inakuja inakataaila kuna viashiria vingi kuwa hii ni zile hadithi za hekaya za Abunuwasi iliyoimarishwa!
porojo tupu, majini hawana masharti hayo katika hali halisi ila kwa tungo kama hizi ama kwenye video ndo unasikia jini anakuja kwa kishindo, ama ile cheka yake ya makelele
jini kupanda hahitaji bwebwe anapanda kistarabu na anaeleza yake
mapepo /misukule ndo wanazingua ivo.
sio kusema tu naamini pia, kama binadamu/malaika iko hivyo kwa nini wao hapanaBila shaka nazani wewe ni kati ya wale watu wanaosemaga Kuna majini wabaya na wazuri
So muvi mnatoa lini?Tulia na usome Tena.
Halafu siku nyingine subiri mpaka mwisho ndio uanze ku criticize. Hata waislamu wanasisitiza sana Jambo SUBIRA.
SUBIRA huvuta kheri.
Ndo yeye mkuu,huna hata Haja ya kuulizaBila shaka nazani wewe ni kati ya wale watu wanaosemaga Kuna majini wabaya na wazuri
Watu mnajua kukeraDogo. Lete story muda wa beer unakaribia