Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Whyme amejuah kukata umeme sema nn tumuache mwanetu lwanda amalize story alaf ndo utamalzane nae ama nn
 
Hii ni jf tu so huwez kujua protocol yangu na mimi pia siwez kujua pia Kingine filings zako ni tofaut na zangu usijione una maoni kamilif kuliko wengine kuna watu wanakuchora tu na hawana habar na ww so kausha,,,,
 
Achana na wapuizi humu kunawatu hua wanasubir tu mtu aanzishe Jambo walete upuuzi wako kwa sababu wao ndio waongo wakubwa ndio Mana hawaamini mtu
 
Unaponda ulokole alafu unatetea uchawi!! Duuu!!!
 
Alafu faster kabadili avatar itoshe kusema tulikuwa tunabishana na mtu wa kitofauti[emoji1430]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Isije kuwa anabadili Kama ambavyo Malkia alivyokuwa anambadilikia Lwanda chumba Cha Siri[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kazi kwelikweli
Jamaa amevuruga stori
Tangu jana ni tafrani tu[emoji1787][emoji1787]
Anavurugwa kama wale wamama wa Mlowo walionasua tego la Lwanda gari zikapitiliza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahhaha
Yaani nimejua nitakutana na muendelezo kumbe mabishano yanaendelea sijui watu wanapata faida gani
Muda unazidi kwenda tu!
Kuna mtu jana alisababisha yote haya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…