Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mkuu unatutesa na story yako lkn!sawa bana wewe si ndiyo umeshika mpini😀😀😀
 
Nimejikaza nisiulize nimeshindwa, Mlawa nini mbaya😀
 
Unamfundisha mwenye story kusimulia masimulizi yake huoni aibu
 
Bro hii itaendelea itaendelea sasa ishakuwa too much money

badi mani badi man, nimecheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuuu hapo kwenye kulipia 50 kuangalia banda la video sio kweli maana mpaka sasa una 34 umenipita miaka kadhaa hapo mimi nilikuwa na check movie banda la video kwa 30
Bei imeshuka baada ya tiivii kua nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…