IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
Sasa comment kama hii una hukumu kwamba anasapoti wale wanaosema story ya kutunga wakati zairi inaonekana anapingana nao aisee sio poa onlyalviraNitarudi
Sasa wenye nongwa naomba msimgasi lwanda wetu..leo Nina mianzi ya kutosha mkizingua za migongoni zitawahusu.
Tufanye yameisha bila shaka umeelewa nilimaanisha nniPolw mkuu,[emoji120]
Nisha samehe mzee mana sjawaigi gombana na mtu jfHakukuelewa mkuu.. msamehe bure
Huyo jamaa hakuelewa ulimaanisha Nini. .ila mimi nilielewaIvi una elewa nime maanisha nini au unavamia na kureplay pasipo jua namaansha nini kama uja elewa uliza sio kuvamia tu jinga mi ni mmoja ya watu nao kosoa wale wanao sema story ya kutunga na at a nyuma pana comment yangu ambayo imepinga kusema story ya kutunga ebu fatilia ndio uje uandike huu upumbavu nimetumia lugha Kali sababu uelewi alafu unajibu bila fikra ebu tambua kwanza namaansha nni sio kuja Ku replay bila mpango we vipi bana au kwakua nimetumia ya lugha ya utani narudia ludi nyuma utaona comment yangu imepinga kusema story ya kutunga f,,,,,,,
Acha utoto na vizur warembo mnagroup lenu hapa umefata nnHii kumbukumbu ya tukio Kwa tukio...miaka ishirini ilopita, inafanya nijue kwel unakipaj cha kutunga, na sio kweli kwamba unakipaj cha kumbukumbu
Ili...!!!????🙄🙄🙄Ofsa kosea hata spelling mara moja moja.....
Ana chura?onlyalvira bi dada imebidi nikutagi uone hii comment yangu tofaut na ulivyo hukumu pasipo kujua kiufupi nimekwazika
Wajuaji ndo watakao kwamisha hii story! Kama unaona ni story bhasi kausha tu sisi wengine ndo tumeipenda hivohivo.Story inazidi kunoga,wajuaji acheni kuharibu
Mpka epsod ya 8 Baba hajausika kabisa yani ni mama na masister kazidi mama mdogo?
Lakini sikasema tayari dingi alikata kamba jamani?Mpka epsod ya 8 Baba hajausika kabisa yani ni mama na masister kazidi mama mdogo?[emoji23][emoji23][emoji23]
Mhm ayo sasa ya kwakoAna chura?
Mkuu,Mpka epsod ya 8 Baba hajausika kabisa yani ni mama na masister kazidi mama mdogo?[emoji23][emoji23][emoji23]
umemsoma mdada wa kazi Bi Ashura toto la kishombe la Igunga? ndilo lililomuua Baba wa Magere (RIP) alipotoka Dar kurudi Tarime ili ampate mganga wa kummaliza Ashura.Mpka epsod ya 8 Baba hajausika kabisa yani ni mama na masister kazidi mama mdogo?[emoji23][emoji23][emoji23]