Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Nitarudi
Sasa wenye nongwa naomba msimgasi lwanda wetu..leo Nina mianzi ya kutosha mkizingua za migongoni zitawahusu.
Sasa comment kama hii una hukumu kwamba anasapoti wale wanaosema story ya kutunga wakati zairi inaonekana anapingana nao aisee sio poa onlyalvira
 
Ivi una elewa nime maanisha nini au unavamia na kureplay pasipo jua namaansha nini kama uja elewa uliza sio kuvamia tu jinga mi ni mmoja ya watu nao kosoa wale wanao sema story ya kutunga na at a nyuma pana comment yangu ambayo imepinga kusema story ya kutunga ebu fatilia ndio uje uandike huu upumbavu nimetumia lugha Kali sababu uelewi alafu unajibu bila fikra ebu tambua kwanza namaansha nni sio kuja Ku replay bila mpango we vipi bana au kwakua nimetumia ya lugha ya utani narudia ludi nyuma utaona comment yangu imepinga kusema story ya kutunga f,,,,,,,
Huyo jamaa hakuelewa ulimaanisha Nini. .ila mimi nilielewa
 
IMG_20201217_171318.jpg

Mkuu kuna ya 1994 iyo, inafaa?
 
Mpka epsod ya 8 Baba hajausika kabisa yani ni mama na masister kazidi mama mdogo?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mpka epsod ya 8 Baba hajausika kabisa yani ni mama na masister kazidi mama mdogo?[emoji23][emoji23][emoji23]
umemsoma mdada wa kazi Bi Ashura toto la kishombe la Igunga? ndilo lililomuua Baba wa Magere (RIP) alipotoka Dar kurudi Tarime ili ampate mganga wa kummaliza Ashura.
ungeuliza Ashura hajaonekana? maana hiz miamia za 1993 angeingia Benki tu
acha True story iendelee
 
Back
Top Bottom