HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,058
- 1,218
Amezingua mm hata hamu ya kujua ya mbeleYe angesema hizo buku tumpe hapa hapa, hayo maswala ya telegram amezingua sana,
Halafu unaposema ye anatumia bundle lake kudraft kwani unadhani sisi wengine tunatumia nini??
Binafsi issue sio bukuHii story nmeshaikosa ingawaje nmetuma buku ya mb,masimu ya kichina yakshajaa vitu vingi huwa hayaruhusu kudownload ktu,n bora utumie WhatsApp maana kila mtu anayo
π π πDuuh...! Kumbe na wewe unaongea...?. Siwezi kukuchokoza kabisa kwa maneno hayo....
100%Duh! Mkuu upo makini,
Unajua nini....naweza kusema darasa la saba aliyemaliza mwaka 2000 ni sawa ni kidato cha nne aliyemaliza mwaka jana
Nakubaliana na wewe!Mkuu hili povu lote la nini.?? Wadau naamini hawalalamikii hiyo buku, wengi nilichoona hapa ni hawana hata hiyo telegram na wengi ni changamoto kwao kuanza kuhangaika nayo either kutokana na simu wanazotumia ama wengine kuna mambo yao binafsi wanajiepusha nayo humo..!
Ni nzuri kuliko hata wasapMwenyewe sikuwa natumia hicho kimtandao ila niko napakua kwa haraka hapa kwa ajili ya stori hii
Ikiisha nakafuta maana sikazimii
Pakua apk yake nje ya Google playHii story nmeshaikosa ingawaje nmetuma buku ya mb,masimu ya kichina yakshajaa vitu vingi huwa hayaruhusu kudownload ktu,n bora utumie WhatsApp maana kila mtu anayo
Shetani hajawah kukata tamaa... kila siku atakuja na kushawishi kipya tuIla Mwamba si alisema kaokoka anatoa ushuhuda kwa bwana sasa imekuaje tena mpk telegram??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa sasa najiona kama Lijualikali niliunga mkono juhudi lakini sasa nimek mwenyewe, asanteni.
ITOSHE TU KUSEMA KWANZIA SASA NIKIONA STORI INA NENO itaendelea.... Sisomi
Kule Mambo yanazidi kuwa Mambo hasa episode ya 25ngoja niendelee kusubl hapahapa kama atatuletea mtoa stori [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
aiseeeKule Mambo yanazidi kuwa Mambo hasa episode ya 25
Tuliza boli mambo mazuri hayataki vishindoAmezingua mm hata hamu ya kujua ya mbele