Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Ye angesema hizo buku tumpe hapa hapa, hayo maswala ya telegram amezingua sana,
Halafu unaposema ye anatumia bundle lake kudraft kwani unadhani sisi wengine tunatumia nini??
Amezingua mm hata hamu ya kujua ya mbele
 
Hii story nmeshaikosa ingawaje nmetuma buku ya mb,masimu ya kichina yakshajaa vitu vingi huwa hayaruhusu kudownload ktu,n bora utumie WhatsApp maana kila mtu anayo
Binafsi issue sio buku
Ila huko tlegeram Bado sijakuelewa vizuri
Je tunabaki na hizi I'd zetu?
Sio Sasa huko ndii tutaanza kufahamiana kwamba huyu NI fulani na huyu NI fulani?kuanza kujiunga apps mpya kupitia info za jf hapo labda anielimishe
 
Duuh...! Kumbe na wewe unaongea...?. Siwezi kukuchokoza kabisa kwa maneno hayo....
emoji2089.png
emoji2089.png
emoji2089.png
emoji2089.png
😂 😂 😂
Nichokoze tu hakuna shida, mie kero zangu huwa haziumizi, Jaribu ujishindie kifurushi chako bora kabisa..!
 
Mkuu hili povu lote la nini.?? Wadau naamini hawalalamikii hiyo buku, wengi nilichoona hapa ni hawana hata hiyo telegram na wengi ni changamoto kwao kuanza kuhangaika nayo either kutokana na simu wanazotumia ama wengine kuna mambo yao binafsi wanajiepusha nayo humo..!
Nakubaliana na wewe!
 
Mwenyewe sikuwa natumia hicho kimtandao ila niko napakua kwa haraka hapa kwa ajili ya stori hii

Ikiisha nakafuta maana sikazimii
Ni nzuri kuliko hata wasap
 
Hii story nmeshaikosa ingawaje nmetuma buku ya mb,masimu ya kichina yakshajaa vitu vingi huwa hayaruhusu kudownload ktu,n bora utumie WhatsApp maana kila mtu anayo
Pakua apk yake nje ya Google play
 
Kwa sasa najiona kama Lijualikali niliunga mkono juhudi lakini sasa nimek mwenyewe, asanteni.

ITOSHE TU KUSEMA KWANZIA SASA NIKIONA STORI INA NENO
itaendelea.... Sisomi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ngoja niendelee kusubl hapahapa kama atatuletea mtoa stori 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
JF. Nyote wazima mm ni mgeni lkn si mgeni ktk JF .Naomba kisa hichi kiendelee kutiwa hapa hapa members tunaokifuata kwani tuko wangapi ?
 
Back
Top Bottom