Kama ndio huo basi mi ni mteja wao mkubwa maana natoka town uhindini naenda kula Uyole na kurudi home, hii likizo yote ndipo ninapokula pale kwenye coaster zinazoenda Dar upande wa kushoto ukitokea town mbele ya bank ya NMB. Asante kwa huu uzi.....Hii habari imenitisha. Siku chache zilizopita nimetoka kupata msosi kwenye mgahawa hapo hapo Uyole karibu na zinapopaki Coaster za Dar.
Ndio kashayeya hivyo. Ukimuhitaji nenda teleeee......Samahani mkuu sijaelewa vizuri, inamaana jamaa Mrume ndago harudi tena kuendelea na stori?
Ila Mwamba si alisema kaokoka anatoa ushuhuda kwa bwana sasa imekuaje tena mpk telegram??
Ulisema anatoa siri zenu ukaapa kumtafuta vipi bado hujapata tu?Mwandishi ume anza vizuri ila uka sahau kama JF ukija na story una trend kwa mda. Ukianza nyodo tuna kusahau[emoji41]
Hela tamuππNjaa mbaya sana,
ooh asa ivi nmemrudia Mungu nmeacha mambo ya dunia. Mambo ya dunia my foot.
Huyo ticha alikuwa anamgongea wapi mpaka asubuhi anagoma kwenda kazini baadae akalegeza kidogo dawa asichizike?Kule geto hakuingiza demu sema ungekua kwenye group ungeelewa zaidi
πππππkumepoa jamaa mvivu amekula buku buku kwasiku anashusha vi short episode......ana base kwenye ngono tuuu nimeamua kuondoka bila kushawishiwa na mtu yeyote.....
Lwanda Magere ni novel, ni kitabu chenye hadithi ya kumhusu huyo mtu alieitwa Lwanda Magere.Story nzuri na inafundisha... Ila cdhan kama jina lako kwel n lwanda magere
[emoji2307][emoji2307][emoji2307]Kubwa jinga wewe unazani ni sifa
Toka uhindini had uyole [emoji3][emoji3][emoji3]Kama ndio huo basi mi ni mteja wao mkubwa maana natoka town uhindini naenda kula Uyole na kurudi home, hii likizo yote ndipo ninapokula pale kwenye coaster zinazoenda Dar upande wa kushoto ukitokea town mbele ya bank ya NMB. Asante kwa huu uzi.....
Hata siko huko ,mm sijaingia[emoji23][emoji23]
BUKU LANGU JAMANI
Naona ππ[emoji28]wachangamsha genge huwa atukosi
Ndio bro, wanapika ugali kuku wa ukweli pale. Mikuku flani flani mikubwa ukiagiza paja mwenyewe wajiuliza hili paja la kuku ama maana ni tamu na kubwa!ππToka uhindini had uyole [emoji3][emoji3][emoji3]
Asante mkuu nimefikaPitieni kwa huyu mrume ndago wa ukweli kama ulimiss hii story yake...
Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri nimeamua kufanya hivi
Baada ya siku nyingi kupita leo nimemkumbuka rafiki yangu kipenzi ambaye alipatwa na matatizo makubwa katika safari yake yakusaka maisha miaka kama 5 iliyopita tukiwa kidato cha sita yaani kila nikikumbuka nabaki kulia tu. Wakati naripoti shuleni nilikuwa nimechelewa kidogo baada ya kufika pale...www.jamiiforums.com
Acha kulialia kubali tu kwamba baadhi ya kamba zimekatika,make si kwa kulalamika hukowhy loosing knots na ukaligundua hilo if that is not into you?
Usimfananishe chizi na lwanda ungekuwa uzi wa chizi nafikir mapema uzi ungekufa.
KwAnza uzi ulikuwa jukwaa lingine ukahamishiwa huku lakini msela alikomaa KUTUPIA TU
Uyo chizi uzi wake uliamishwa na uzi wenyewe akauzira
Huyo alietoa ktabu cha gamboshi hadi Leo n maskin,wenye kampun za uchapishaj ndo huwa wananufaikaWakuu huyu jamaa kasitisha kuposti humu inasemakana kuna mtu anakop na kupeleka kwenye magroup ya wasap
Hivyo kaamua asitishe pia inasemekana kakutana na yule jamaa wa gamboshi hivyo wanataka watoe kitabu kuhusu hii simulizi
Mkuu jamaa yupo vizuri, unaambiwa alipoingiza kopi sokoni kwa mara ya kwanza alipata gawio la m15Huyo alietoa ktabu cha gamboshi hadi Leo n maskin,wenye kampun za uchapishaj ndo huwa wananufaika
M15 unatumia wiki moja tuMkuu jamaa yupo vizuri, unaambiwa alipoingiza kopi sokoni kwa mara ya kwanza alipata gawio la m15
Asa mwenzako huyo