Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Setting na location nakupata vyema hujatoka nje ya mstari.Ila Kuna mwalimu mkuu miaka hyo hapo Turwa uliposoma aliwah kufanyiwa kitu mbaya na jini alilokutana nalo njian akidhani ni mwanamke wa kawaida.

Huyo mwalimu baada ya kuelewana na yule mdada wakaenda guest house, mwalimu alifanya Mambo yake, baada ya kumaliza yule jini akambadilikia( akamuomba mchezo mwalimu mkuu) doh kasheshe ikaanzia hapo, ila kwa nguvu za yule jini alimuweza mwalimu kwa hiyo ticha akufumuliwa marinda.

Kwa kufupisha yule mwalimu hadi leo ni kilema anatembelea magongo chanzo ni yule jini, huwa anaadisia mwenyewe na anajilaumu Sana kupayukia mwanamke asiyemjua, kama atakuwa ajastafu bado atakuwa hapo shule.kawa kilema kabisa
 
Setting na location nakupata vyema hujatoka nje ya mstari.Ila Kuna mwalimu mkuu miaka hyo hapo Turwa uliposoma aliwah kufanyiwa kitu mbaya na jini alilokutana nalo njian akidhani ni mwanamke wa kawaida.

Huyo mwalimu baada ya kuelewana na yule mdada wakaenda guest house, mwalimu alifanya Mambo yake, baada ya kumaliza yule jini akambadilikia( akamuomba mchezo mwalimu mkuu) doh kasheshe ikaanzia hapo, ila kwa nguvu za yule jini alimuweza mwalimu kwa hiyo ticha akufumuliwa marinda.

Kwa kufupisha yule mwalimu hadi leo ni kilema anatembelea magongo chanzo ni yule jini, huwa anaadisia mwenyewe na anajilaumu Sana kupayukia mwanamke asiyemjua, kama atakuwa ajastafu bado atakuwa hapo shule.kawa kilema kabisa
Mbona kama muongo ivi
 
Naona mkuu unafanya kila uwezalo kurefusha hii story.. its too much Junks...

Jifunze kufupisha.. sehemu zingine ziweke behind the scene..

Nafikiri labda kuna faida wanayoipata story ikiwa ndefu na wakiwa wanabembelezwa kuombwa waendelee.

Kuna a lot of unnecessaries kwenye hii story, ni sawa na chai iliyopowa kwenye kikombe cha plastic.
 
Setting na location nakupata vyema hujatoka nje ya mstari.Ila Kuna mwalimu mkuu miaka hyo hapo Turwa uliposoma aliwah kufanyiwa kitu mbaya na jini alilokutana nalo njian akidhani ni mwanamke wa kawaida.

Huyo mwalimu baada ya kuelewana na yule mdada wakaenda guest house, mwalimu alifanya Mambo yake, baada ya kumaliza yule jini akambadilikia( akamuomba mchezo mwalimu mkuu) doh kasheshe ikaanzia hapo, ila kwa nguvu za yule jini alimuweza mwalimu kwa hiyo ticha akufumuliwa marinda.

Kwa kufupisha yule mwalimu hadi leo ni kilema anatembelea magongo chanzo ni yule jini, huwa anaadisia mwenyewe na anajilaumu Sana kupayukia mwanamke asiyemjua, kama atakuwa ajastafu bado atakuwa hapo shule.kawa kilema kabisa
Ina maana kile kitendo cha kuingiliwa ndio kilimpa ulemavu au umefupisha tu stori mkuu?
 
hii ni stori ya kutunga tu maana kuna vitu vingi unnecesary ila unaviandika ili tu kukuza ,kulikuwa hata hakuna faida kujua kwamba mtundi ni tall.
halafu unatuambia mganga alicheka sana kwamba kazi ni rahisi wala hakuwa na ahaja ya yeye kuja wakati huohuo unasema ilikua hawezi kukutibu hadi hivyo vitu vitolewe sasa vingetolewa na nani bila yeye kuja
 
Back
Top Bottom