Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,052
- 4,621
Huwa naheshimu mawazo/mitazamo ya kila mtu bila kujali uwezo wake wa kuelewaAcha kudanganya umma huwez
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa naheshimu mawazo/mitazamo ya kila mtu bila kujali uwezo wake wa kuelewaAcha kudanganya umma huwez
Ianendelea sehemu ya 11...basis nikachukua baiskeli nikaeeeeendaaaa nikakata kona kufika Kwa mbele karibu na Kwa Mzee mwita maranya karibu na kituo cha police nikabanwa na haja Kubwa nikaweka baiskeli pembeni,hapo saaaasa balaa Kubwa likatokea nilivyomaliza kukata gogo natafuta majani nitawaze naskia mkono unanitawaza na maji ya moto yanunikiaaa vizuuriii nikavaa kaptula na kutoka mbio kufika kwenye baiskeli lahaula naona nyani kapakia anaiendesha huku akiniaga Kwa kicheko..wakazi Wa tarime mtakua mnajua mwita maranya anakaa karibu na kituo cha police ...ngoja kwanza nikahesabu hela kunaa mteja kalipa milioni 23 ya biashara nitarudi baadaye
[emoji38][emoji38]Ianendelea sehemu ya 11...basis nikachukua baiskeli nikaeeeeendaaaa nikakata kona kufika Kwa mbele karibu na Kwa Mzee mwita maranya karibu na kituo cha police nikabanwa na haja Kubwa nikaweka baiskeli pembeni,hapo saaaasa balaa Kubwa likatokea nilivyomaliza kukata gogo natafuta majani nitawaze naskia mkono unanitawaza na maji ya moto yanunikiaaa vizuuriii nikavaa kaptula na kutoka mbio kufika kwenye baiskeli lahaula naona nyani kapakia anaiendesha huku akiniaga Kwa kicheko..wakazi Wa tarime mtakua mnajua mwita maranya anakaa karibu na kituo cha police ...ngoja kwanza nikahesabu hela kunaa mteja kalipa milioni 23 ya biashara nitarudi baadaye
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Umepaniki sanaAcha story za uongo we kijana
Au nasema uongo ndugu zanguuu
Unapozaliwa unazaliwa peke yako na kufa utakufa peke yako, haya ya duniani ni mapito. Hivyo basi mwanamke kutumia udhaifu wako kwakua huna chochote hapo hamna mke Maisha yako daily yatakua ya huzuni, achia ngazi japo ushazoea kumbuka Mwanaume ndio nguzo ktk familia alafu mke ndio anafuata sio mwanamke kua juu utaburuzwa daily.analeta mambo ya kitoabu kule Msumbiji kwenye madini
Mambo kupenda baskel ya fonex na kuomba yasingekuepoNaona mkuu unafanya kila uwezalo kurefusha hii story.. its too much Junks...
Jifunze kufupisha.. sehemu zingine ziweke behind the scene..
Mkuu subiri asimulie, inawezekana wakati anataka kula vitasa Ashura akaja kumuokoaMkuu itapendeza sana kumaliza kisa badala ya story ya maisha yako kupindi hicho.
Kama hii episode ya 11 sijaona Ashura akihusika
Ungekua baba wa kitoto jini mkuu🤔Ningekuwa Mimi muda huu Ashura alishajifungua siku nyingi