Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Swali.

Ni kwa vipi mtu unaweza lala chini ya mchungwa, mmoja tu, ambao upo pembeni ya tanki na usionekane?

Achana na hiyo.

Stori inaanzia mwaka 2000 baba anarudi na mdada, wanakaa miezi inakatika mpaka mwaka mwingine (means ni 2001) baba anaenda Dar.

Kisha miezi 5/6 mama anaondoka.

Halafu mbele hadithi inasema wageni walikuja 2000.

Ni kwa jinsi gani tukio limerudi nyuma? Ni siri yake kwenye huu uongo.

Kisha kuna mtu ataiona hii hadithi, surprisingly, ataipenda na kuitengenezea muvi halafu atashangaa kwanini hakuna anayejua hata kama kuna muvi inaitwa "Huu ni Mkasa wa Kweli Mimi Siwezi Kutunga"

Manina
Kwa hiyo unatushaurije? Tuache kuusoma,uwe unausoma wewe peke yako?
 
Leo pamoja na kumboost bundle ndio kadelay kuliko[emoji27][emoji27]
𝕄𝕒𝕞𝕓𝕠 𝕪𝕒𝕜𝕦𝕗𝕒𝕟𝕪𝕒 𝕟𝕚𝕞𝕖𝕟𝕘𝕚 𝕞𝕜𝕦𝕦 𝕦𝕤𝕚𝕕𝕙𝕒𝕟𝕚 𝕜𝕚𝕝𝕒 𝕞𝕥𝕦 𝕒𝕟𝕒𝕞𝕦𝕕𝕒 𝕨𝕒𝕜𝕦𝕨𝕒 𝕠𝕟𝕝𝕚𝕟𝕖 𝕛𝕗 𝕜𝕚𝕝𝕒 𝕞𝕦𝕕𝕒. 𝕜𝕨𝕒𝕙𝕪𝕠 𝕧𝕦𝕞𝕚𝕝𝕚𝕒 𝕥𝕦
 
Ni uzi unaanza hovyo ila mbele wa moto

Ila lawama zangu kwa mwandishi

Anaringa kweli
Nimeumaliza, stori inavyosogea mambo yanazidi kupamba moto, nimemkumbuka Chongoe.... hivi hajaja na mpya??
 
Back
Top Bottom