Jesse Royal
JF-Expert Member
- Feb 17, 2018
- 323
- 469
Mimi natamani awe anaweka episode moja tu kwa siku ili ichelewe kuisha tumalize nayo mwakaLeo pamoja na kumboost bundle ndio kadelay kuliko[emoji27][emoji27]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi natamani awe anaweka episode moja tu kwa siku ili ichelewe kuisha tumalize nayo mwakaLeo pamoja na kumboost bundle ndio kadelay kuliko[emoji27][emoji27]
[emoji23][emoji23]🅟🅞🅛🅔 🅢🅐🅝🅐 🅜🅚🅤🅤Wenye simu orijino mmeanza manyanyaso humu
[emoji23][emoji23]Mimi natamani awe anaweka episode moja tu kwa siku ili ichelewe kuisha tumalize nayo mwaka
Kwa hiyo unatushaurije? Tuache kuusoma,uwe unausoma wewe peke yako?Swali.
Ni kwa vipi mtu unaweza lala chini ya mchungwa, mmoja tu, ambao upo pembeni ya tanki na usionekane?
Achana na hiyo.
Stori inaanzia mwaka 2000 baba anarudi na mdada, wanakaa miezi inakatika mpaka mwaka mwingine (means ni 2001) baba anaenda Dar.
Kisha miezi 5/6 mama anaondoka.
Halafu mbele hadithi inasema wageni walikuja 2000.
Ni kwa jinsi gani tukio limerudi nyuma? Ni siri yake kwenye huu uongo.
Kisha kuna mtu ataiona hii hadithi, surprisingly, ataipenda na kuitengenezea muvi halafu atashangaa kwanini hakuna anayejua hata kama kuna muvi inaitwa "Huu ni Mkasa wa Kweli Mimi Siwezi Kutunga"
Manina
𝕄𝕒𝕞𝕓𝕠 𝕪𝕒𝕜𝕦𝕗𝕒𝕟𝕪𝕒 𝕟𝕚𝕞𝕖𝕟𝕘𝕚 𝕞𝕜𝕦𝕦 𝕦𝕤𝕚𝕕𝕙𝕒𝕟𝕚 𝕜𝕚𝕝𝕒 𝕞𝕥𝕦 𝕒𝕟𝕒𝕞𝕦𝕕𝕒 𝕨𝕒𝕜𝕦𝕨𝕒 𝕠𝕟𝕝𝕚𝕟𝕖 𝕛𝕗 𝕜𝕚𝕝𝕒 𝕞𝕦𝕕𝕒. 𝕜𝕨𝕒𝕙𝕪𝕠 𝕧𝕦𝕞𝕚𝕝𝕚𝕒 𝕥𝕦Leo pamoja na kumboost bundle ndio kadelay kuliko[emoji27][emoji27]
Nimeumaliza, stori inavyosogea mambo yanazidi kupamba moto, nimemkumbuka Chongoe.... hivi hajaja na mpya??Ni uzi unaanza hovyo ila mbele wa moto
Ila lawama zangu kwa mwandishi
Anaringa kweli
Au hata episode ya 70Plz luanda simulia kila kitu
Binafsi naona ile party ya maza kufa itokee hata kwenye episode hata ya 38 huko!!
Asee hivi visa daaah!! Nimeogopa na naanza kua karibu na muumba
LWANDA MAGEREy
RFK Luna ule Uzi nilikutagigi uliuona??Nimeumaliza, stori inavyosogea mambo yanazidi kupamba moto, nimemkumbuka Chongoe.... hivi hajaja na mpya??
HaswaaAu hata episode ya 70
Ujue hapa mambo ndio kwanzaaa yanaanza
Hapana mkuu una kichwa gani?? Naomba unitag tena, labda sikupata notification uliponiitaRFK Luna ule Uzi nilikutagigi uliuona??
Ai thmell pethaaa hia
Chongoe anao kaja na uzi mpya anasema kakutana na jini baharini limempa dawa ya kutibu sijuwi gonjwa gani anajua mwenyeweNimeumaliza, stori inavyosogea mambo yanazidi kupamba moto, nimemkumbuka Chongoe.... hivi hajaja na mpya??
Duh kwl?Hapana mkuu una kichwa gani?? Naomba unitag tena, labda sikupata notification uliponiita
Yule jamaa bana.... fanya kunitag basi mkuuChongoe anao kaja na uzi mpya anasema kakutana na jini baharini limempa dawa ya kutibu sijuwi gonjwa gani anajua mwenyewe
Ngoja nikutag tnHapana mkuu una kichwa gani?? Naomba unitag tena, labda sikupata notification uliponiita
Mi nnavyopenda stori ungeniona mapema sanaaaDuh kwl?
𝕸𝖐𝖚𝖚 𝖚𝖘𝖎𝖔𝖌𝖔𝖕𝖊..𝖒𝖇𝖔𝖓𝖆 𝖊𝖆𝖘𝖞 𝖙𝖚.Wenye simu orijino mmeanza manyanyaso humu
Acha kutunyanyasa kisaikolojia𝕸𝖐𝖚𝖚 𝖚𝖘𝖎𝖔𝖌𝖔𝖕𝖊..𝖒𝖇𝖔𝖓𝖆 𝖊𝖆𝖘𝖞 𝖙𝖚.