Quavohucho
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 798
- 2,028
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari yako mkuu,Ye angesema hizo buku tumpe hapa hapa, hayo maswala ya telegram amezingua sana,
Halafu unaposema ye anatumia bundle lake kudraft kwani unadhani sisi wengine tunatumia nini??
Kweli atulize mshono tunaotaka twalaHabari yako mkuu,
Wenye buku zao acha waende mkuu,we kama huna uwezo relax fanya mambo mengine,make sasa unaanza kutoa maneno ambayo si ya kiungwana kabisa,acha kashfa mkuu
Acha roho mbaya ya kimaskini wwKwahiyo huyu jamaa ameona buku buku ndio zitamtoa?
Umesema kitu kimenikonga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uzuri hakuna pepo wala moto.. ila atakaetangulia kuuacha mwili ndio anamuachia mwenzie simanzi
Acha kujifanya mjuaji,Habari yako mkuu,
Wenye buku zao acha waende mkuu,we kama huna uwezo relax fanya mambo mengine,make sasa unaanza kutoa maneno ambayo si ya kiungwana kabisa,acha kashfa mkuu
Ndio hivyoUmesema kitu kimenikonga
No wonder roho zina mahusiano mema[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Tamaa ya fedha ilimpeleka Kigoma hadi DRC, tamaa ya fedha imempeleka tena Telegram!
Mtu anaaga kukwepa shipa la kimkakati!!Yaah ni kweli huo mti upo Tabora kwa wingi tu hasa wilaya za uyui,sikonge na urambo sie wakazi wa huko tunaujua ila ni lazima upate dawa nyingine flan ya kuchanganyia kabla ujaiweka kwenye chai au uji. Na sie kule wamama wanalijua wakaiona mzee anatumia wanaaga kwenda kwao kwa mida na vile vile sometimes wengine huwa wanaotumia kutibia uhanithi.
Mkaushie tu, stress huwa ni mbaya sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usimtukane mwanangu aisee
Nakazia mkuu[emoji23], mwisho wa simulizi tutaomba apandishe uzi kuelezea bayana huo mti ili shipa lipigwe kimkakatiMrume pale naona hajafafanua kiufasaha, kama ule mti wa shipa la kimkakati nao unatumia ndumba, ila kwa jinsi nilivyomsoma hautumii ndumba ila angetueleza tu namna ya kuuchanganya ili shipa lipigwe kimkakati.
Kama siyo nyingi basi lipa afu uendelee kupata story kuliko kuanza kulalamika na kutoa maneno ya kashfa mkuu,kama hiyo buku unayo basi haya makelele yako hapa ndo ujuaji wenyewe etiAcha kujifanya mjuaji,
Kwahiyo unavyoona hiyo buku ni nyingi sana??
Sasa nikishampa hiyo buku atakuja kupaste hiyo stori pm au???
1. Uwe unafikiria kidogo basi kabla hujaandika.Kama siyo nyingi basi lipa afu uendelee kupata story kuliko kuanza kulalamika na kutoa maneno ya kashfa mkuu,kama hiyo buku unayo basi haya makelele yako hapa ndo ujuaji wenyewe eti
Kupiga simu ya TTCL mkuuMara simu hazikuwepo Mara wazee wanawapigiaga simu ok but story yako ya kutunga