Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Aya aya aya aya aya aya aya aya aya aya mpaka mate yatoke tunao jua kupika na kupakua twenden tukapakue iyo msosi ya kuitwa terugulamu kisha kwa buku tu au 1000 mboga inakua nyama na kachumbali plus pilipili kwa mbaaaali tunaanza msosi uliopkwa na LwandaMagere twenden kwa terugulamu uko mambo Ku moto baaaa
 
Msiniambie thinkers ni wachache ina maana hakuna mtu aliyejua kwa utunzi huu na jinsi anavyopangilia matukio mwisho wa siku mngelipia ????

Mbon ailikuw clear kwamba ukiachana na story huyu ni mtunzi mwenye uwezo waku create attention kubwa ya watu

Hivi hamuoni flow nzuri ya matukio iliyopangaliwa.Huyu mtu sio muhadithiaji story tu ni mtunzi kabisa tena mzuri.Ametoa dose ya story ambye ni very addictive, story ya kweli mixer na mpangilio wenye kuvutia vzr hilo jambo sio rahisi km sio mtunzi..

Nyie kalipeni hizo buku mumusapoti jamaa kwani kitu gani
Tatizo ni kujiita mtumishi na anatoa ushuhuda kwa yale aliyopitia ila sasa leo tunaambiwa huo ushuhuda tuulipie[emoji848][emoji848]
 
Endeleeni kulalamika huku tunafaidi shipa la kimkakati[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah huku lwanda magere alipofikia ukisoma tu unasimamisha, dah mnakosa uhondo.mtoto zainat sio poa
 
Heshima ziwafikie
Kitoabu
KigaKoyo
Comrade@analyse
LwandaMagere
Na wote walio tupatia vitu vikali hapa jf Naamini mnatoa ujumbe kwa jamii kubwa.

Alichokifanya mtoa mada sio kibaya ila kaweka walakini kwa kuingiza pesa kwenye USHUHUDA na hapo ndyo kawakatisha wengi tamaa kwenye hyo safar yake ya mpito katika maisha .

Namkumbuka KigaKoyo aliiweka story nzma japo ilikuwa ndefu

Kwa wapenda story za maisha Kama sisi tutakufuata huko ulipo hakuna namna jombaa😓😓😓😓
 
Mtoa story lengo lilikua ushuhuda wako juu ya maswala ya uchawi na ushirikina....

Kama watu wa JF wasingeifuatlia hata hyo hela ya bundle unayosema usingeipata na bado shida ungeendelea nazo

Nikwambie ukwel buku buku uliyoweka sio kiwango kikubwa ni kidogo mno kwa wanaopenda simulizi

Shida ni mambo mawili
1. Kutaka kuchangiwa ili uendleze ushuhuda hapo ndio unapopingana na lengo lako la mwanzo la kutaka watu wajifunze kupitia wewe na kumtumaini Mungu.

2. Kuhamishana na kupelkana telegram huko ndio watu wengi wanaona sio sawa sio kwamba hawana hyo App Hapana wanayo ila wanaona sio salama kwao kwenda huko kwa namna ya maisha yetu ya JF yalivyo.

Ushauri:
Ni bora ukamtafuta mtu ukatunga kitabu ukaweka na hakimiliki ukakiuza kwa muda mrefu kuliko hzi buku za Telegram.kwa maana ikiisha story na Buku buku zao zmeisha sjajua kama watakuwa wanatoa kwa mwezi ama mpka story ikikamlika.

Asante kwa simulizi nzuri kwa maana mpka hapo ulipofikia kuna mengi ya kujifunza kupitia wewe kila la kheri.
 
ile ilisemekana ni ugomvi wa madereva
duh jamani Mabasi ya Majinjah yanakimbia sana, kumbe kisa ni Madereva na wala sio Matajiri au abiria
kweli Madereva wana vituko ningepata kisa hiki ningeelewa hawa CITY BOYS ilivyochinja pale wilayani Mayoni nisingepanda tena KISBO
hebu funguka hawa madereva
 
Mtoa story lengo lilikua ushuhuda wako juu ya maswala ya uchawi na ushirikina....

Kama watu wa JF wasingeifuatlia hata hyo hela ya bundle unayosema usingeipata na bado shida ungeendelea nazo

Nikwambie ukwel buku buku uliyoweka sio kiwango kikubwa ni kidogo mno kwa wanaopenda simulizi

Shida ni mambo mawili
1. Kutaka kuchangiwa ili uendleze ushuhuda hapo ndio unapopingana na lengo lako la mwanzo la kutaka watu wajifunze kupitia wewe na kumtumaini Mungu.

2. Kuhamishana na kupelkana telegram huko ndio watu wengi wanaona sio sawa sio kwamba hawana hyo App Hapana wanayo ila wanaona sio salama kwao kwenda huko kwa namna ya maisha yetu ya JF yalivyo.

Ushauri:
Ni bora ukamtafuta mtu ukatunga kitabu ukaweka na hakimiliki ukakiuza kwa muda mrefu kuliko hzi buku za Telegram.kwa maana ikiisha story na Buku buku zao zmeisha sjajua kama watakuwa wanatoa kwa mwezi ama mpka story ikikamlika.

Asante kwa simulizi nzuri kwa maana mpka hapo ulipofikia kuna mengi ya kujifunza kupitia wewe kila la kheri.

Kuhusu hapo kwenye ushauri, mimi pia nimemshauri exactly kama hivyo.

Chukua mpunga huo, ila ukiweza ingia naye mkataba wa royalty, kwamba pamoja na kiasi atakachokupa kama kianzio, wewe na yeye mkubaliane uwe na % kidogo kwenye mauzo.

Na nina uhakika mkikifanyia marketing vizuri, mtauza.

Media tours kama zile za wasanii wanapotoa nyimbo lazima mzifanye.

Wakati umeleta hoja ya mtu kukuomba mtengeneze kitabu nilikushauri ukubali, sasa hii ya group la telegram huwezi kupata kiasi kizuri kama kutoa kitabu.

NB: Kuna mdau anasema hata hiyo issue ya kitabu alikuwa anatuandaa.
 
Kama mlikuwa hamjui basi shida ilianzia hapa

Lwanda Magere akachakata mahesabu denda likamtoka
km view wnaosoma ktk JF ni 122698 ni wengi sana akitoza buku siamini akiwahamishia Telegram anapata 122,698,000.00
pesa ndefu
 
Hivi viongozi wa JF hamuwezi fanya kama n hiyo sh 1000 tukachangia hapahapa JF yetu na stor tukaendekea kupata hapa.
JF n uwanja mpana tunajitosheleza na hakuna haja na mtu kukimbilia nje ya JF ikiwa umeanza hapa kwa kusikia kwa wengine tumejifunza na tutaendela kujifunza hapa kutoka kwako pia wengine.
Hawa viongoz MODERATOR'S mko wap?
Mi siungi mkono acheni huyu Mchungaji akavune pesa huko Telegram
mbona kipindi cha Uchaguzi mitandao kibao ilifungwa mingine haijafunguliwa, Majukwaa mengine yamefungwa hatuandamani kwa Mods
Kitu kizuri ukiComment kinaenda Front page/ desktop ya JF ndio maana viewer wanaongezeka, na kwa vile watu wanataka uchawi na kuishi chini ya maji kupiga mishipa ndio maana hata Mods nao ni binadamu, acheni nae akale huko mm nitacopy na kupaste humu akinitoa basi maana kule tumeshajuana majina wote, mnaoagopa ..
 
Back
Top Bottom