Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi Kuna matukio ya kifamilia yalitaka kunitoa kwenye reli, sema bado tunapambania kombeHakika
Chai..Kilichotokea ni kwamba mtoto(first born) alimrithi mama baada ya kifo cha mshua na akafanikiwa kuzaa mtoto wa kike ambaye ni mtoto dada na baadae akapata wajukuu wapwa😄😄
Haina kelele mkuuSorry kamanda
Hahaha mwishowe ukawa mpatanishi wa ndoa yakeUjana maji ya Moto,
Mi mwnyw Kuna kipindi almanusra nimpige paipu dada angu (wa kambo) bila kujua Kama Ni ndugu yangu[emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naww umeshuhudia pahala issue hiyo?Usibishe mkuu
Incest?Baada ya kusimuliwa hili jambo ambalo mimi kama mtu mzima niliunganisha dots na kugundua kuwa Tonia alizaliwa kwa mtu na mdogo wake. Yaani baba yake ni mjomba na mama ni shangazi yake. Naomba hili niishia hapa nitarudi wakuu kwa mkasa wa pili
Maybe next time, kwasababu vita bado haijamalizika.Gusa kidogo uondoe vumbi ndani mkuu
😀😀Malizia story kwanza@Eroni ametekwa January hii wajanja wamembeba😀
Uzee huu mambo Yamekuwa tiamaji tiamaji😀😀Ulipunguza ufundi?
Soma post #15