peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Mikataba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wa bandari ya bagamoyo upo? Kwa sababu ule ndio funga kazi mwanzoni ulipitishwa na JK ukashtukiwa na wazalendo halisi.Mikataba
Mkataba wa bagamoyo lazima upo na utakuwa umepitishwa leoKwani wa bandari ya bagamoyo upo? Kwa sababu ule ndio funga kazi mwanzoni ulipitishwa na JK ukashtukiwa na wazalendo halisi.
Tusipofunguka 2025 tumeliwaEti wametupa Tsh 30+ bilioni.
Jamani hiyo Ni pesa hata mwenye kituo Cha petroli anayo.
Zanzibar watalipa hiyo usd 56.72 milion au ni Tanzania italipa huo mkopoMikataba
Umeona eeh, yaani tunadanganywa kama watoto wadogo!Usaini mikataba apo apo usamehewe deni kudadeki[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
Weka majina au orodha ya hiyo mikataba 15 iliyosaini huko china leo kama hutadondokaAkisaini na waarabu, ooohhh tunauzwa kwa waarabu.
Akaenda kwa wafaransa , ikawa mabeberu wanarudishwa tena..
Sasa hata kwa mchina pia inakuwa kelele...mnataka nini, haya basi lipeni tozo zaidi tupate hela za miradi...
Wabongo mnachosha.....