Mikataba 15 iliyosainiwa huko China iangaliwe kwa umakini mkubwa, Wachina huwa hawakosei

Mikataba 15 iliyosainiwa huko China iangaliwe kwa umakini mkubwa, Wachina huwa hawakosei

Hii mikataba ilitakiwa kusainiwa china au Tanzania?

Kuna mtindo mpya wa kwenda kusaini mikataba nje ya nchi je mikataba hiyo waziri wa sheria na katiba anahusika kuisaini?

Hii mikataba ikienda kusainiwa huko china wabunge wanakuwa wameipitia au kuijua au tunaenda kuisaini huko china tu?
Nimeuliza tu

Raisi anavosaini yeye hajui haya unayohoji??
 
Mikopo ya kichina ina riba ndogo mpk 4% tatizo lao ni ya mda mfupi. Hawakosei unapoingia lazima uweze dhamana kitu fulani. Ikiiva hauna wanakamata na kuendesha wanaendesha mpk hela ya ipatikane.

Waulizeni ZAMBIA, KENYA, MSUMBIJI, ANGOLA. Kuonea nchi za Africa. China anamdai Marekani $ 3.6 tril na Marekan anamdai $ 2.4 tril uko hapeleki pua. Africa ndo anaonea. Wameamua kumuita Mama watuingize chaka. Ndo hivyo tayari tumeishanasa. Wajanja hatari. Unasaini mikataba ya miradi materials zinatoka kwao. Mainjia wanatoka kwao alaf ni mkopo wenye mashart nafuu. Ujinga tu.

Nyerere alikataa ujinga huu ambao zaman ulikuwa nchi za Ulaya. Xax China kachukua hiyo staili.

Mwendo kasi Dar nondo zinatoka kwao eti zetu hazina ubora, ii ajira viwandani kwao ikue sis wetu wazulule mtaani bila ajira na miradi inafanyika nchini mwetu. Wehu.
 
Akisaini na waarabu, ooohhh tunauzwa kwa waarabu.
Akaenda kwa wafaransa , ikawa mabeberu wanarudishwa tena..
Sasa hata kwa mchina pia inakuwa kelele...mnataka nini, haya basi lipeni tozo zaidi tupate hela za miradi...
Wabongo mnachosha.....
Kuna miradi gani uliyoiona hapo..au ndio kutajirisha wana siasa kupitia hiyo mikopo...ambayo mwisho wasiku wewe na mimi ndio tunaenda kuilipa kwa maumivu...hao wahuni wanapita tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Huyu mama Wala hanaga uchungu na hii Nchi..tuwe makini tunaingizwa mkenge
Nadhani ni strategic agreements za mashirikiano kwenye maeneo mbali mbali LAKINI WORKING DOCUMENTS lazima ziwe developed na wahusika wa kisekta na kisheria wa maeneo husika!!!

Kikubwa ni WATENDAJI wetu kuwa na UZALENDO na nchi yao!!!!! Maana wachina wa sasa siyo Wale wa wakati wa Chairman Mao
 
Zanzibar watalipa hiyo usd 56.72 milion au ni Tanzania italipa huo mkopo

ninashauri hati ya zanzibar international airport iwe ndio dhamana ya huo mkopo.
Zenj wana nini, wanabebwa tu! Kisheria wanatakiwa wapewe asilimia 4 tu, lakini sasa haifuatwi hiyo!
 
Mimi kila siku nasema hii nchi ni lazima tuuane ndio tuheshimiane. Nchi hii tuigawe sisi kanda ya ziwa tupate kipande chetu tufanye mambo yetu na mafisadi wa pwani wanaojua kuendekeza uvivu, urahisi na ushoga wabaki na yao. Roho inauma sana tunavyopelekwapelekwa na wahuni wachache
 

Attachments

  • Screenshot_20221104-063644.png
    Screenshot_20221104-063644.png
    263.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221104-063621.png
    Screenshot_20221104-063621.png
    286.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221103-223336.png
    Screenshot_20221103-223336.png
    97 KB · Views: 3
  • Screenshot_20221103-223319.png
    Screenshot_20221103-223319.png
    236.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221103-222415.png
    Screenshot_20221103-222415.png
    81.7 KB · Views: 2
Back
Top Bottom