Mikataba 15 iliyosainiwa huko China iangaliwe kwa umakini mkubwa, Wachina huwa hawakosei

Mikataba 15 iliyosainiwa huko China iangaliwe kwa umakini mkubwa, Wachina huwa hawakosei

Huyu mama Wala hanaga uchungu na hii Nchi..tuwe makini tunaingizwa mkenge
 
Hii mikataba ilitakiwa kusainiwa china au Tanzania?

Kuna mtindo mpya wa kwenda kusaini mikataba nje ya nchi je mikataba hiyo waziri wa sheria na katiba anahusika kuisaini?

Hii mikataba ikienda kusainiwa huko china wabunge wanakuwa wameipitia au kuijua au tunaenda kuisaini huko china tu?
Nimeuliza tu
Hii ni 'process' tu mkuu 'peno hasegawa'.
Haya mambo yalishafanyiwa taratibu zake kwa muda, siyo kwamba yanaibuka tu huko huko China.

Baada ya kuyasema hayo, sina uhakika na kwamba hiyo mikataba inazingatia maslahi yetu au la, kwani najua, hata mikataba inayosainiwa hapa hapa, hakuna uhakika wa maslahi yetu kuzingatiwa, hata kama huyo Mwanasheria anaiangalia miaka kadhaa kabla ya kuisaini.

Kinachotakiwa ni uongozi unaozingatia maslahi ya nchi, basi.
 
nyinyi kaeni kuzungumzia simba na yanga iko siku mtajua kama hamjui deni latawafata mpaka chumbani
 
Akisaini na waarabu, ooohhh tunauzwa kwa waarabu.
Akaenda kwa wafaransa , ikawa mabeberu wanarudishwa tena..
Sasa hata kwa mchina pia inakuwa kelele...mnataka nini, haya basi lipeni tozo zaidi tupate hela za miradi...
Wabongo mnachosha.....
Hapa unajisikia umejitutumua kwelikweli!

Hivi wewe huamini uwezo wa waTanzania kuiendeleza nchi hii?

Siku nyingine mweleze aongeze juhudi kubwa katika kusimamia kazi za waTanzania wanazofanya ili nchi yao ipate maendeleo. Atumie muda wake mwingi sana na hawa waTanzania, na ahakikishe juhudi zao hazihujumiwi.

Kwa mtu kama wewe utaanza kusema nimesema hatuhitaji hayo yanayofanyika huko.
 
Hii mikataba ilitakiwa kusainiwa china au Tanzania?

Kuna mtindo mpya wa kwenda kusaini mikataba nje ya nchi je mikataba hiyo waziri wa sheria na katiba anahusika kuisaini?

Hii mikataba ikienda kusainiwa huko china wabunge wanakuwa wameipitia au kuijua au tunaenda kuisaini huko china tu?
Nimeuliza tu
Tulia kijana
 
Taiga LA mazuzu hakuna hats mkataba wa sisi kuwauzia hata ngozi za viatu
 
Hivi wale Kabudi na lukuvi tuliambiwa kazi yao kupitia mikataba ya serikali je na wao wameenda huko china
 
Hapa unajisikia umejitutumua kwelikweli!

Hivi wewe huamini uwezo wa waTanzania kuiendeleza nchi hii?

Siku nyingine mweleze aongeze juhudi kubwa katika kusimamia kazi za waTanzania wanazofanya ili nchi yao ipate maendeleo. Atumie muda wake mwingi sana na hawa waTanzania, na ahakikishe juhudi zao hazihujumiwi.

Kwa mtu kama wewe utaanza kusema nimesema hatuhitaji hayo yanayofanyika huko.
“Mtakwenda! Halafu mtapinda, mtapinda tena, halafu tena mtapinda, mwishowe mtapindapinda hadi mtakapofika mabonde yenye matope. Mtapita katikati ya matope. Halafu milima, halafu misitu yenye miiba hadi mtakapofika jangwani. Kutoka jangwani mtaingia tena bondeni chini kwa chini hadi baharini. Hakuna mitumbwi wala ngalawa. Mtaogelea, ingawa kuna papa wengi. Mkishavuka mtafika nchi iitwayo Svoboda. Kabla ya kuondoka katika nchi hii itawabidi kupambana na majitu yanayofanana na mimi. Mkitoka hapo mtafika kwenye njia nyembamba. (Akiwaonyesha mawaziri) Hawa hawatapita hawa! Njia hiyo itawafikisha katika nchi iitwayo Fraternite. Kutoka Fraternite mtafika Usawa. Ulizeni tu watu watawaonyesha! Mkifika Usawa mtawakuta Waswahili wenzenu wameketi nje ya ikulu ndogo ya Ravensto”
 
Akisaini na waarabu, ooohhh tunauzwa kwa waarabu.
Akaenda kwa wafaransa , ikawa mabeberu wanarudishwa tena..
Sasa hata kwa mchina pia inakuwa kelele...mnataka nini, haya basi lipeni tozo zaidi tupate hela za miradi...
Wabongo mnachosha.....
Tunapiga kelele kwa sababu jikoni kwa sasa kunatia mashaka wapishi wanaonekana weupe mno .watanzania hatutaki kurudi tulikotoka tutawapandia juu ka mwewe dadeki
 
Unavyozidi Kutanua Ndiyo Wanavyozidi Kutamani!
By Professor Anna Tibaijuka
 
Tofauti ya bwana msoga na huyu bibi kizee sir-hundred ni jjnska tu, a wote MAJIZI hawana huruma na maisha ya waTanzania, hizo pesa za kuzurula nchi za watu zingetosha kuongeza visima10 nchini kupunguza uhaba wa maji.

Maji ta shida, mfumuko wa bei za vyakula, vifaa vya ujenz, pembejeo za kilimo, mabando kupanda lkn wao hawaoni, kazi yao kutia saini mambo ambayo hawataki tujue.

Hakika vizazi vijavyo vitatulaumu sana, maana hatuna tofauti na wale machief waliosainishwa mikataba ya ulaghai.

Hiyo 15mikataba haina jipya na haitosaidia kitu zaid ya kuwanufaisha wachina na mafedhuri wa kitanzania,

Tutaona kama hiyo mikataba ina jipya lolote la kumnufaisha mtanzania, kama itawabadiri maisha basi NIPO BANDANI PALE NIITENI MBWA NASUBIRI KUBWEKA[emoji23][emoji23]
 
Tofauti ya bwana msoga na huyu bibi kizee sir-hundred ni jjnska tu, a wote MAJIZI hawana huruma na maisha ya waTanzania, hizo pesa za kuzurula nchi za watu zingetosha kuongeza visima10 nchini kupunguza uhaba wa maji.

Maji ta shida, mfumuko wa bei za vyakula, vifaa vya ujenz, pembejeo za kilimo, mabando kupanda lkn wao hawaoni, kazi yao kutia saini mambo ambayo hawataki tujue.

Hakika vizazi vijavyo vitatulaumu sana, maana hatuna tofauti na wale machief waliosainishwa mikataba ya ulaghai.

Hiyo 15mikataba haina jipya na haitosaidia kitu zaid ya kuwanufaisha wachina na mafedhuri wa kitanzania,

Tutaona kama hiyo mikataba ina jipya lolote la kumnufaisha mtanzania, kama itawabadiri maisha basi NIPO BANDANI PALE NIITENI MBWA NASUBIRI KUBWEKA[emoji23][emoji23]
Bora hata bwana Msoga aliongeza mishahara na kutoa ajira
 
Hii mikataba ilitakiwa kusainiwa china au Tanzania?

Kuna mtindo mpya wa kwenda kusaini mikataba nje ya nchi je mikataba hiyo waziri wa sheria na katiba anahusika kuisaini?

Hii mikataba ikienda kusainiwa huko china wabunge wanakuwa wameipitia au kuijua au tunaenda kuisaini huko china tu?
Nimeuliza tu
Unauliza ya maana Sana, ila nani atakuelewa? Nchi ina laana hii!
 
Back
Top Bottom