TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Wenye kamba zao ndefu shingoni, si mchezo.kuna mdau alikuja kulalamika hapa aliwapa wabongo project wamyengenezee software, pamoja na kuwalipa pesa nyingi bado iliwachukua mwaka mzima na project ilipokamilika ilionekana kwamba ni copy and paste, usanii mwingi HIVYO SOFTWARE DEVELOPERS WA KIANZANIA NI VILAZA FIRST GRADE.
Kwa akili yako fupi unahisi kuna kampuni gani ya kitanzania inaweza kufanya kazi ya ushauri kwenye mradi srious kama huu? unajua maana ya 70T wewe? au unakurupuka tuu kuja kulalamika hapa sababu tuu unamiliki iphone macho matatu? Kwa kifupi serious business zinahitaji watu serious.
Nadhani kila mtu angetakiwa kusoma ,umeeleza vizuri mnoooUkweli mchungu ni kwamba, Watanzania wenzetu ambao ni Wanasheria huko serikalini huwa wanatuangusha, BIG TIME!!
Mikataba ya kipumbavu kabisa kuwahi kuingia nchi hii kwa miaka ya karibuni ni ule wa IPTL na TICTS! Je, unadhani hatukuwa na hao GNT?!
Amini amini nawaambia, kama nakuwa mtoa maamuzi, kwa uchungu mkubwa kwa baadhi ya mambo naweza kutumia foreign management companies hata kama wenyewe tunao watalaamu kwa sababu we're stupid!!
Na hizi foreign management companies nilishuhudia "kwa macho yangu" ambavyo walii-transform NMB kutoka kuitwa Benki ya Walalahoi hadi kuwa moja ya Benki 3 Kubwa zaidi nchini in terms of assets hadi Mkapa, kama ilivyokuwa kawaida yake, akaamua kuiingiza sokoni kwa hoja eti benki ilikuwa ina-survive kwa ruzuku ya serikali... kauli ilimfanya CEO kumwaga manyanga na kurudi kwao US!
Lakini kwa upande mwingine, tusisahau sisi ni wageni kwenye gas industry, na hii industry ni pana mno.
Je, tuna Wataalamu wanaoifahamu hii industry nyuma mbele, mbele nyuma?! Kwa sababu, hata ukisoma michango ya JF kuhusu gas industry unaona kabisa kwamba watu wana limited understanding kuhusu hii indusry!
Kwa ufahamu wangu hutoi tu ushauri ila una toa ushauri kuhusu gesi asilia, uwekezaji wa tr 70 una hitaji ushauri kwa mtu mzoefuSawa, wanasheria serikalini wanatuangusha - hilo halina ubishi kabisa, je wanasheria wa kujitegemea watanzania hawana weledi huo? Ukiangalia kesi kibao zihusuzo mikataba ya madini au masuala ya kodi za makampuni ya kimataifa yaliyopo hapa Tanzania mbona zinawakilishwa na wanasheria wa kitanzania??
Ukipitia tovuti za Firm mbalimbali za Sheria kama FB Attorneys, Lex Attorneys, IMMMA nk wamejipambanua vyema kuwa wanatoa ushauri kwa mambo ya biashara za kimataifa, mambo ya madini nk hata hao kweli wameshindwa kuwapa kazi??
Mzee Nimrodi Mkono na Firm yake wamekuwa wanasheria wa Tanesco, IPTL nk hata hao wameshindwa kupewa kazi? Basi wangempa hata Ngwilimi, yule aliyekuwa mwanasheria wa Tanesco wakati wa saga ya IPTL akatoa ushauri wa maana halafu ukapuuzwa na Management ya Tanesco pamoja na mwanasheria mkuu wa Serikali. Itoshe kusema, wanasheria wa kujitegemea wapo wengi tu wenye uchungu na nchi hii na wenye weledi mkubwa wa Sheria, wangepewa hiyo kazi. Na kama hii kazi imetolewa bila ushindani, tayari ni harufu ya rushwa pamoja na uvunjwaji wa sheria ya manunuzi
Sasa hiyo sofware ya kihindi mbona ndiyo imevuruga kabisa performance ya tanesco? Performance ya tanesco watumiaji wa umeme tunaipima kupitia uwepo wa umeme tunapouhitaji.UKWELI UTABAKI PALEPALE KUA TZ HAMNA SOFTWARE DEVELOPERS AMBAO NI TALLENTED wanachoweza ni copy na bandika basi. Hala
Nadhani mtoa mada yeye focus yake kubwa ni "uzalendo na uzawa". Yaani anataka mtanzania ndio awe mshauri, hata kama uzoefu katika masuala ya negotiations za uwekezaji wa gesi, apewe tu hii advisory role.Ukweli mchungu ni kwamba, Watanzania wenzetu ambao ni Wanasheria huko serikalini huwa wanatuangusha, BIG TIME!!
Mikataba ya kipumbavu kabisa kuwahi kuingia nchi hii kwa miaka ya karibuni ni ule wa IPTL na TICTS! Je, unadhani hatukuwa na hao GNT?!
Amini amini nawaambia, kama nakuwa mtoa maamuzi, kwa uchungu mkubwa kwa baadhi ya mambo naweza kutumia foreign management companies hata kama wenyewe tunao watalaamu kwa sababu we're stupid!!
Na hizi foreign management companies nilishuhudia "kwa macho yangu" ambavyo walii-transform NMB kutoka kuitwa Benki ya Walalahoi hadi kuwa moja ya Benki 3 Kubwa zaidi nchini in terms of assets hadi Mkapa, kama ilivyokuwa kawaida yake, akaamua kuiingiza sokoni kwa hoja eti benki ilikuwa ina-survive kwa ruzuku ya serikali... kauli ilimfanya CEO kumwaga manyanga na kurudi kwao US!
Lakini kwa upande mwingine, tusisahau sisi ni wageni kwenye gas industry, na hii industry ni pana mno.
Je, tuna Wataalamu wanaoifahamu hii industry nyuma mbele, mbele nyuma?! Kwa sababu, hata ukisoma michango ya JF kuhusu gas industry unaona kabisa kwamba watu wana limited understanding kuhusu hii indusry!
Chifu usinichekeshe...Sawa, wanasheria serikalini wanatuangusha - hilo halina ubishi kabisa, je wanasheria wa kujitegemea watanzania hawana weledi huo? Ukiangalia kesi kibao zihusuzo mikataba ya madini au masuala ya kodi za makampuni ya kimataifa yaliyopo hapa Tanzania mbona zinawakilishwa na wanasheria wa kitanzania??
Bongo hivi sasa tunao Mining Lawyers. Nadhani hata Zitto Kabwe kwa kupenda kwake alisoma mining law. Hawa watu tunao kwa sababu mining sector ipo chini kwa muda mrefu sasa lakini Oil & Gas Industry hata huko kuanza, tupo bado!Ukipitia tovuti za Firm mbalimbali za Sheria kama FB Attorneys, Lex Attorneys, IMMMA nk wamejipambanua vyema kuwa wanatoa ushauri kwa mambo ya biashara za kimataifa, mambo ya madini nk hata hao kweli wameshindwa kuwapa kazi??
Man, unajua wakati namzungumzia Mkono hapo juu, sikufahamu kwamba hapa chini ulimzungumzia!Mzee Nimrodi Mkono na Firm yake wamekuwa wanasheria wa Tanesco, IPTL nk hata hao wameshindwa kupewa kazi? Basi wangempa hata Ngwilimi, yule aliyekuwa mwanasheria wa Tanesco wakati wa saga ya IPTL akatoa ushauri wa maana halafu ukapuuzwa na Management ya Tanesco pamoja na mwanasheria mkuu wa Serikali. Itoshe kusema, wanasheria wa kujitegemea wapo wengi tu wenye uchungu na nchi hii na wenye weledi mkubwa wa Sheria, wangepewa hiyo kazi. Na kama hii kazi imetolewa bila ushindani, tayari ni harufu ya rushwa pamoja na uvunjwaji wa sheria ya manunuzi
Sasa hii Taasisi ya Pura ina manufaa gani ?? Si waivunje tu.Ukweli mchungu ni kwamba, Watanzania wenzetu ambao ni Wanasheria huko serikalini huwa wanatuangusha, BIG TIME!!
Mikataba ya kipumbavu kabisa kuwahi kuingia nchi hii kwa miaka ya karibuni ni ule wa IPTL na TICTS! Je, unadhani hatukuwa na hao GNT?!
Amini amini nawaambia, kama nakuwa mtoa maamuzi, kwa uchungu mkubwa kwa baadhi ya mambo naweza kutumia foreign management companies hata kama wenyewe tunao watalaamu kwa sababu we're stupid!!
Na hizi foreign management companies nilishuhudia "kwa macho yangu" ambavyo walii-transform NMB kutoka kuitwa Benki ya Walalahoi hadi kuwa moja ya Benki 3 Kubwa zaidi nchini in terms of assets hadi Mkapa, kama ilivyokuwa kawaida yake, akaamua kuiingiza sokoni kwa hoja eti benki ilikuwa ina-survive kwa ruzuku ya serikali... kauli ilimfanya CEO kumwaga manyanga na kurudi kwao US!
Lakini kwa upande mwingine, tusisahau sisi ni wageni kwenye gas industry, na hii industry ni pana mno.
Je, tuna Wataalamu wanaoifahamu hii industry nyuma mbele, mbele nyuma?! Kwa sababu, hata ukisoma michango ya JF kuhusu gas industry unaona kabisa kwamba watu wana limited understanding kuhusu hii indusry!
Kijana huu mradi umesimamiwa na Tpdc kwa muda mrefu. Tangu utafiti, kulipa fidia wananchi na sasa unatakiwa kutekelezwa.Nadhani mtoa mada yeye focus yake kubwa ni "uzalendo na uzawa". Yaani anataka mtanzania ndio awe mshauri, hata kama uzoefu katika masuala ya negotiations za uwekezaji wa gesi, apewe tu hii advisory role.
Hoja zake za msingi ni zifuatazo:
1. Unajua mazungumzo haya yapo kwenye hatua gani na hata mshauri atafutwe wakati huu...
2. Je, TPDC hakuna wataalam wa gesi
3. Matusi na makasiriko kwa wachangiaji wenye mtazamo tofauti nayeye.
Nadhani hii kazi ya ushauri tumpe mtoa mada Idugunde (kwa sababu yeye ni mtanzania mwenzetu) atashirikiana na Joni Boko pamoja na Harmonize.
Tena basi angalau hiyo ingekuwa ndio focus yake ningesema ni mtetezi wa "Made in Tanzania" lakini kimsingi hiyo wala sio focus yake!! Na ndo maana hapo juu kuna mtu nikamuuliza kumbe hii mada ni kwa ajili ya legacy protection....Nadhani mtoa mada yeye focus yake kubwa ni "uzalendo na uzawa". Yaani anataka mtanzania ndio awe mshauri, hata kama uzoefu katika masuala ya negotiations za uwekezaji wa gesi, apewe tu hii advisory role.
Hoja zake za msingi ni zifuatazo:
1. Unajua mazungumzo haya yapo kwenye hatua gani na hata mshauri atafutwe wakati huu...
2. Je, TPDC hakuna wataalam wa gesi
3. Matusi na makasiriko kwa wachangiaji wenye mtazamo tofauti nayeye.
Nadhani hii kazi ya ushauri tumpe mtoa mada Idugunde (kwa sababu yeye ni mtanzania mwenzetu) atashirikiana na Joni Boko pamoja na Harmonize.
Tony Blair ali seal hii deal.We kahaba mbona kabla ya hao wahindi kupewa hiyo kazi kulikuwa hakuna mauzauza ya umeme kukatika hovyo?
Unataka kusema hakuna watanzania wenye uwezo wa kutengeneza software. Pumbavu kabisa.
Unajua huu mradi wa LNG Lindi upo stage gani na ulianza lini? Kulikuwa hakuna Government negotiating team? Kwa sababu ni mradi wa Trilion 70 ndio wapewe was waingereza kimauzauza kufanya transaction negotiation. Weka kando upumbavu wako na kaa kimya kuliko kuhifanya unajua wakati umejaaa kinyesi kichwani.
Ile video watu hawakuangalia yote context ilikua per diem, kwamba mawaziri wasiwanyime manaibu wao kwenda semina na wao wachukue fursa zote. Yani kila mtu aende semina na kupata per diem kwa usawa. Acheni kupotoshaNilisikia Bibi mmoja akisema kila mtu ale kutokana na urefu wa kamba yake.
Mfumo unahusu kuingiza nguzo na mita zote za TANESCO kwenye GPS kiasi kwamba kila nguzo na kila transforma na kila mita ijulikane ilipo.Kama wataalamu wa kitanzania wapo watengeneze mfumo mbadala wapeleke proposala serikalini na ninaamini kabisa kwamba watafikiriwa.ILA TUACHE MAJUNGU kama hela kupigwa zitapigwa tu na zimepigwa sana.Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigital na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa kitanzania au ni ufanisi gani ambaao hawa wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa kitanzania hawapo?
Kwenye eneo hili unafahamu kabisa kwama wanasheria wetu walivotuangusha kwenye issues nyingi.Uzoefu wetu katika masuala ya mikataa ya gesi na natural gas na madini unaonesha kabisa kwamba tunahitaji utaalam zaidi katika eneo hiloJana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.
Tulia wewe, kwani pesa imetoka kwenye mfuko wako ama. Ongea na lukuvi plus kabudi utapata majibu murua.Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigital na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa kitanzania au ni ufanisi gani ambaao hawa wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa kitanzania hawapo?
Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.
Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.
Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
Soma majukumu ya PURA na utaona ni kwanini wanatakiwa kuwepo! Anyway, sikumbuki vizuri kuhusu PURA, I wish ningepitia tena upya sheria iliyounda PURA lakini kama kumbukumbu zangu zipo sawa, hawa wamepewa majukumu ya kusimamia Midstream and downstream segments of gas and oil industry.... correct me if am wrong!!Sasa hii Taasisi ya Pura ina manufaa gani ?? Si waivunje tu.
Mkuu kufanya survey kwa Gps au Totatl station na kutengeneza mchoro mpaka kampuni ya nje?Mfumo unahusu kuingiza nguzo na mita zote za TANESCO kwenye GPS kiasi kwamba kila nguzo na kila transforma na kila mita ijulikane ilipo.Kama wataalamu wa kitanzania wapo watengeneze mfumo mbadala wapeleke proposala serikalini na ninaamini kabisa kwamba watafikiriwa.ILA TUACHE MAJUNGU kama hela kupigwa zitapigwa tu na zimepigwa sana.
Kwenye eneo hili unafahamu kabisa kwama wanasheria wetu walivotuangusha kwenye issues nyingi.Uzoefu wetu katika masuala ya mikataa ya gesi na natural gas na madini unaonesha kabisa kwamba tunahitaji utaalam zaidi katika eneo hilo