Mikataba anayoingia Waziri Makamba ina mkono wa mkuu wa nchi? Kwanini hatusikii akiikemea? Wananchi wanabakia kunung'unika Taifa lao kufisadiwa

Mikataba anayoingia Waziri Makamba ina mkono wa mkuu wa nchi? Kwanini hatusikii akiikemea? Wananchi wanabakia kunung'unika Taifa lao kufisadiwa

kuna mdau alikuja kulalamika hapa aliwapa wabongo project wamyengenezee software, pamoja na kuwalipa pesa nyingi bado iliwachukua mwaka mzima na project ilipokamilika ilionekana kwamba ni copy and paste, usanii mwingi HIVYO SOFTWARE DEVELOPERS WA KIANZANIA NI VILAZA FIRST GRADE.


Kwa akili yako fupi unahisi kuna kampuni gani ya kitanzania inaweza kufanya kazi ya ushauri kwenye mradi srious kama huu? unajua maana ya 70T wewe? au unakurupuka tuu kuja kulalamika hapa sababu tuu unamiliki iphone macho matatu? Kwa kifupi serious business zinahitaji watu serious.
Wenye kamba zao ndefu shingoni, si mchezo.
 
Ukweli mchungu ni kwamba, Watanzania wenzetu ambao ni Wanasheria huko serikalini huwa wanatuangusha, BIG TIME!!

Mikataba ya kipumbavu kabisa kuwahi kuingia nchi hii kwa miaka ya karibuni ni ule wa IPTL na TICTS! Je, unadhani hatukuwa na hao GNT?!

Amini amini nawaambia, kama nakuwa mtoa maamuzi, kwa uchungu mkubwa kwa baadhi ya mambo naweza kutumia foreign management companies hata kama wenyewe tunao watalaamu kwa sababu we're stupid!!

Na hizi foreign management companies nilishuhudia "kwa macho yangu" ambavyo walii-transform NMB kutoka kuitwa Benki ya Walalahoi hadi kuwa moja ya Benki 3 Kubwa zaidi nchini in terms of assets hadi Mkapa, kama ilivyokuwa kawaida yake, akaamua kuiingiza sokoni kwa hoja eti benki ilikuwa ina-survive kwa ruzuku ya serikali... kauli ilimfanya CEO kumwaga manyanga na kurudi kwao US!

Lakini kwa upande mwingine, tusisahau sisi ni wageni kwenye gas industry, na hii industry ni pana mno.

Je, tuna Wataalamu wanaoifahamu hii industry nyuma mbele, mbele nyuma?! Kwa sababu, hata ukisoma michango ya JF kuhusu gas industry unaona kabisa kwamba watu wana limited understanding kuhusu hii indusry!
Nadhani kila mtu angetakiwa kusoma ,umeeleza vizuri mnooo
 
Kwa namna hiyo bora hao wanasheria wa nje watusimamaie tu kwaenye masilahi ya nishati yetu. Wanasheria wa ndani ni hawa eti Kibatala na Lisu,Malya yaani kesi tu ya kuku hawajawahi kushinda.
 
Sawa, wanasheria serikalini wanatuangusha - hilo halina ubishi kabisa, je wanasheria wa kujitegemea watanzania hawana weledi huo? Ukiangalia kesi kibao zihusuzo mikataba ya madini au masuala ya kodi za makampuni ya kimataifa yaliyopo hapa Tanzania mbona zinawakilishwa na wanasheria wa kitanzania??

Ukipitia tovuti za Firm mbalimbali za Sheria kama FB Attorneys, Lex Attorneys, IMMMA nk wamejipambanua vyema kuwa wanatoa ushauri kwa mambo ya biashara za kimataifa, mambo ya madini nk hata hao kweli wameshindwa kuwapa kazi??

Mzee Nimrodi Mkono na Firm yake wamekuwa wanasheria wa Tanesco, IPTL nk hata hao wameshindwa kupewa kazi? Basi wangempa hata Ngwilimi, yule aliyekuwa mwanasheria wa Tanesco wakati wa saga ya IPTL akatoa ushauri wa maana halafu ukapuuzwa na Management ya Tanesco pamoja na mwanasheria mkuu wa Serikali. Itoshe kusema, wanasheria wa kujitegemea wapo wengi tu wenye uchungu na nchi hii na wenye weledi mkubwa wa Sheria, wangepewa hiyo kazi. Na kama hii kazi imetolewa bila ushindani, tayari ni harufu ya rushwa pamoja na uvunjwaji wa sheria ya manunuzi
Kwa ufahamu wangu hutoi tu ushauri ila una toa ushauri kuhusu gesi asilia, uwekezaji wa tr 70 una hitaji ushauri kwa mtu mzoefu
 
UKWELI UTABAKI PALEPALE KUA TZ HAMNA SOFTWARE DEVELOPERS AMBAO NI TALLENTED wanachoweza ni copy na bandika basi. Hala
Sasa hiyo sofware ya kihindi mbona ndiyo imevuruga kabisa performance ya tanesco? Performance ya tanesco watumiaji wa umeme tunaipima kupitia uwepo wa umeme tunapouhitaji.

Sasa toka 70 bil zisainiwe kulipwa kwa ajili ya software, sasa limekuwa jambo la kawaida kukosekana umeme zaidi ya masaa 48. Na ukirudi, tanesco wanaukata na kukatua zaidi ya mara tano ndani ya saa moja?

Waseme wanachohitaji kihalali tuwape sisi tunahitaji umeme.
 
Ukweli mchungu ni kwamba, Watanzania wenzetu ambao ni Wanasheria huko serikalini huwa wanatuangusha, BIG TIME!!

Mikataba ya kipumbavu kabisa kuwahi kuingia nchi hii kwa miaka ya karibuni ni ule wa IPTL na TICTS! Je, unadhani hatukuwa na hao GNT?!

Amini amini nawaambia, kama nakuwa mtoa maamuzi, kwa uchungu mkubwa kwa baadhi ya mambo naweza kutumia foreign management companies hata kama wenyewe tunao watalaamu kwa sababu we're stupid!!

Na hizi foreign management companies nilishuhudia "kwa macho yangu" ambavyo walii-transform NMB kutoka kuitwa Benki ya Walalahoi hadi kuwa moja ya Benki 3 Kubwa zaidi nchini in terms of assets hadi Mkapa, kama ilivyokuwa kawaida yake, akaamua kuiingiza sokoni kwa hoja eti benki ilikuwa ina-survive kwa ruzuku ya serikali... kauli ilimfanya CEO kumwaga manyanga na kurudi kwao US!

Lakini kwa upande mwingine, tusisahau sisi ni wageni kwenye gas industry, na hii industry ni pana mno.

Je, tuna Wataalamu wanaoifahamu hii industry nyuma mbele, mbele nyuma?! Kwa sababu, hata ukisoma michango ya JF kuhusu gas industry unaona kabisa kwamba watu wana limited understanding kuhusu hii indusry!
Nadhani mtoa mada yeye focus yake kubwa ni "uzalendo na uzawa". Yaani anataka mtanzania ndio awe mshauri, hata kama uzoefu katika masuala ya negotiations za uwekezaji wa gesi, apewe tu hii advisory role.

Hoja zake za msingi ni zifuatazo:
1. Unajua mazungumzo haya yapo kwenye hatua gani na hata mshauri atafutwe wakati huu...
2. Je, TPDC hakuna wataalam wa gesi
3. Matusi na makasiriko kwa wachangiaji wenye mtazamo tofauti nayeye.

Nadhani hii kazi ya ushauri tumpe mtoa mada Idugunde (kwa sababu yeye ni mtanzania mwenzetu) atashirikiana na Joni Boko pamoja na Harmonize.
 
Sawa, wanasheria serikalini wanatuangusha - hilo halina ubishi kabisa, je wanasheria wa kujitegemea watanzania hawana weledi huo? Ukiangalia kesi kibao zihusuzo mikataba ya madini au masuala ya kodi za makampuni ya kimataifa yaliyopo hapa Tanzania mbona zinawakilishwa na wanasheria wa kitanzania??
Chifu usinichekeshe...

Hawa jamaa sio kwa sababu wapo serikalini bali kwa sababu SISI WATANZANIA NI WATU WA OVYO MNO!! Hivi wakati Nimrod Mkono anatupiga na makesi yasiyoisha ya TANESCO, kwani alikuwa ameajiriwa serikalini?!

Tena Mungu anisamehe kama namsingizia Mkono na kampuni yake! Something tells me Mkono & Company Advocates walikuwa wanatengeneza mazingira ya TANESCO kufungua mikesi mingi mingi kwa sababu zile kesi za TANESCO zilimaanisha ni pesa kwa Mkono & Company Advocates!!

Matokeo yake, kesi nyingi tuliangukia pua huku Mkono & Company Advocates wakiwa wameshavuta chao!! I'm sorry man kama nawe upo kwenye private legal sector lakini hoja yangu sio watu wa legal sector peke yake bali Watanzania kwa ujumla wetu ni watu wa ovyo, wabinafsi, wala rushwa, na wezi tusio hata na aibu!!

Wewe leo hii pata kazi TRA halafu uwe na maisha ya kawaida kwa sababu unategemea tu mshahara! Wa kwanza kukuona fa'la ni ndugu zako mwenywe kwamba how come uwe TRA halafu usiwe na maisha mazuri huku wakifahamu vema wanamaanisha nini suala la wewe kuwa na maisha mazuri!!
Ukipitia tovuti za Firm mbalimbali za Sheria kama FB Attorneys, Lex Attorneys, IMMMA nk wamejipambanua vyema kuwa wanatoa ushauri kwa mambo ya biashara za kimataifa, mambo ya madini nk hata hao kweli wameshindwa kuwapa kazi??
Bongo hivi sasa tunao Mining Lawyers. Nadhani hata Zitto Kabwe kwa kupenda kwake alisoma mining law. Hawa watu tunao kwa sababu mining sector ipo chini kwa muda mrefu sasa lakini Oil & Gas Industry hata huko kuanza, tupo bado!

Na kama utakumbuka, back in 2014 ndipo nchi mbalimbali including China na Algeria zikatoa scholarship kwa vijana wetu wakasome Bachelor za Oil and Gas Engineering! Kumbe hata kwenye core sector, hatukuwa na watalaamu kwa sababu mahali kama UDSM back in the days wasingeweza kutoa hizo kozi ambazo zisingekuwa na soko! Hata hiyo TPDC yenyewe ilikuwa more of oil business company na sio oil engineering company!!
Mzee Nimrodi Mkono na Firm yake wamekuwa wanasheria wa Tanesco, IPTL nk hata hao wameshindwa kupewa kazi? Basi wangempa hata Ngwilimi, yule aliyekuwa mwanasheria wa Tanesco wakati wa saga ya IPTL akatoa ushauri wa maana halafu ukapuuzwa na Management ya Tanesco pamoja na mwanasheria mkuu wa Serikali. Itoshe kusema, wanasheria wa kujitegemea wapo wengi tu wenye uchungu na nchi hii na wenye weledi mkubwa wa Sheria, wangepewa hiyo kazi. Na kama hii kazi imetolewa bila ushindani, tayari ni harufu ya rushwa pamoja na uvunjwaji wa sheria ya manunuzi
Man, unajua wakati namzungumzia Mkono hapo juu, sikufahamu kwamba hapa chini ulimzungumzia!

Hivi ndugu yangu kuna cha kujivunia kutoka kwa Wanasheria waliofanya kazi na TANESCO?! Hivi ni mara ngapi umesikia "TANESCO WAANGUKIA PUA, WAAMRIWA KULIPA BILION XYZ"! Mara ngapi umesikia hayo?
 
Ukweli mchungu ni kwamba, Watanzania wenzetu ambao ni Wanasheria huko serikalini huwa wanatuangusha, BIG TIME!!

Mikataba ya kipumbavu kabisa kuwahi kuingia nchi hii kwa miaka ya karibuni ni ule wa IPTL na TICTS! Je, unadhani hatukuwa na hao GNT?!

Amini amini nawaambia, kama nakuwa mtoa maamuzi, kwa uchungu mkubwa kwa baadhi ya mambo naweza kutumia foreign management companies hata kama wenyewe tunao watalaamu kwa sababu we're stupid!!

Na hizi foreign management companies nilishuhudia "kwa macho yangu" ambavyo walii-transform NMB kutoka kuitwa Benki ya Walalahoi hadi kuwa moja ya Benki 3 Kubwa zaidi nchini in terms of assets hadi Mkapa, kama ilivyokuwa kawaida yake, akaamua kuiingiza sokoni kwa hoja eti benki ilikuwa ina-survive kwa ruzuku ya serikali... kauli ilimfanya CEO kumwaga manyanga na kurudi kwao US!

Lakini kwa upande mwingine, tusisahau sisi ni wageni kwenye gas industry, na hii industry ni pana mno.

Je, tuna Wataalamu wanaoifahamu hii industry nyuma mbele, mbele nyuma?! Kwa sababu, hata ukisoma michango ya JF kuhusu gas industry unaona kabisa kwamba watu wana limited understanding kuhusu hii indusry!
Sasa hii Taasisi ya Pura ina manufaa gani ?? Si waivunje tu.
 
Nadhani mtoa mada yeye focus yake kubwa ni "uzalendo na uzawa". Yaani anataka mtanzania ndio awe mshauri, hata kama uzoefu katika masuala ya negotiations za uwekezaji wa gesi, apewe tu hii advisory role.

Hoja zake za msingi ni zifuatazo:
1. Unajua mazungumzo haya yapo kwenye hatua gani na hata mshauri atafutwe wakati huu...
2. Je, TPDC hakuna wataalam wa gesi
3. Matusi na makasiriko kwa wachangiaji wenye mtazamo tofauti nayeye.

Nadhani hii kazi ya ushauri tumpe mtoa mada Idugunde (kwa sababu yeye ni mtanzania mwenzetu) atashirikiana na Joni Boko pamoja na Harmonize.
Kijana huu mradi umesimamiwa na Tpdc kwa muda mrefu. Tangu utafiti, kulipa fidia wananchi na sasa unatakiwa kutekelezwa.

Unataka kusema Tpdc hawana watalaamu? Kama ni ishu ya kupata makampuni na utalaamu toka nje kwani hatuna nchi marafiki zikatupa msaanda ni kampuni gani zinafaa? Mabalozi huko nje wanafanya nini?

Naomba mtambue hapa kuna upigaji.
 
Nadhani mtoa mada yeye focus yake kubwa ni "uzalendo na uzawa". Yaani anataka mtanzania ndio awe mshauri, hata kama uzoefu katika masuala ya negotiations za uwekezaji wa gesi, apewe tu hii advisory role.

Hoja zake za msingi ni zifuatazo:
1. Unajua mazungumzo haya yapo kwenye hatua gani na hata mshauri atafutwe wakati huu...
2. Je, TPDC hakuna wataalam wa gesi
3. Matusi na makasiriko kwa wachangiaji wenye mtazamo tofauti nayeye.

Nadhani hii kazi ya ushauri tumpe mtoa mada Idugunde (kwa sababu yeye ni mtanzania mwenzetu) atashirikiana na Joni Boko pamoja na Harmonize.
Tena basi angalau hiyo ingekuwa ndio focus yake ningesema ni mtetezi wa "Made in Tanzania" lakini kimsingi hiyo wala sio focus yake!! Na ndo maana hapo juu kuna mtu nikamuuliza kumbe hii mada ni kwa ajili ya legacy protection....
 
We kahaba mbona kabla ya hao wahindi kupewa hiyo kazi kulikuwa hakuna mauzauza ya umeme kukatika hovyo?

Unataka kusema hakuna watanzania wenye uwezo wa kutengeneza software. Pumbavu kabisa.

Unajua huu mradi wa LNG Lindi upo stage gani na ulianza lini? Kulikuwa hakuna Government negotiating team? Kwa sababu ni mradi wa Trilion 70 ndio wapewe was waingereza kimauzauza kufanya transaction negotiation. Weka kando upumbavu wako na kaa kimya kuliko kuhifanya unajua wakati umejaaa kinyesi kichwani.
Tony Blair ali seal hii deal.

Kimsingi "hiring" kampuni kama hizi sio shida,. Ni big project inahitaji big firm pia kuishauri serikali sio hawa akina Kabudi.

Hawana hata experience.

Kikubwa na good faith kulinda maslahi ya nchi kwa tozo watakazolipwa.

Shida ni wanasiasa pengine kulazimisha vitu vifanyike kwa maslahi yao katk mazingira ya kushauriwa.
 
Nilisikia Bibi mmoja akisema kila mtu ale kutokana na urefu wa kamba yake.
Ile video watu hawakuangalia yote context ilikua per diem, kwamba mawaziri wasiwanyime manaibu wao kwenda semina na wao wachukue fursa zote. Yani kila mtu aende semina na kupata per diem kwa usawa. Acheni kupotosha
 
Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigital na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa kitanzania au ni ufanisi gani ambaao hawa wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa kitanzania hawapo?
Mfumo unahusu kuingiza nguzo na mita zote za TANESCO kwenye GPS kiasi kwamba kila nguzo na kila transforma na kila mita ijulikane ilipo.Kama wataalamu wa kitanzania wapo watengeneze mfumo mbadala wapeleke proposala serikalini na ninaamini kabisa kwamba watafikiriwa.ILA TUACHE MAJUNGU kama hela kupigwa zitapigwa tu na zimepigwa sana.
Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.
Kwenye eneo hili unafahamu kabisa kwama wanasheria wetu walivotuangusha kwenye issues nyingi.Uzoefu wetu katika masuala ya mikataa ya gesi na natural gas na madini unaonesha kabisa kwamba tunahitaji utaalam zaidi katika eneo hilo
 
Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigital na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa kitanzania au ni ufanisi gani ambaao hawa wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa kitanzania hawapo?


Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.

Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.

Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
Tulia wewe, kwani pesa imetoka kwenye mfuko wako ama. Ongea na lukuvi plus kabudi utapata majibu murua.

Kwa sasa ukiona mkataba umesainiwa manake before that umepata aprove ya hao jamaa wawili wenye kazi maalumu
 
Sasa hii Taasisi ya Pura ina manufaa gani ?? Si waivunje tu.
Soma majukumu ya PURA na utaona ni kwanini wanatakiwa kuwepo! Anyway, sikumbuki vizuri kuhusu PURA, I wish ningepitia tena upya sheria iliyounda PURA lakini kama kumbukumbu zangu zipo sawa, hawa wamepewa majukumu ya kusimamia Midstream and downstream segments of gas and oil industry.... correct me if am wrong!!

Sasa kama nipo sahihi kwamba watasimamia Midstream and downstream segments, hawa hawatahusika na Upper stream segment kwa sababu wata-deal na local contents ambayo kwa mujibu wa Sheria ya Mafuta na Gas ya mwaka 2015, hiyo sector inatakiwa kuwa operated na Watanzania wenyewe, ingawaje tukifanya masihara, oil companies kama vile Total and the like, wanaweza kujipenyeza hata huku kwenye Midstream and downstream kwa sababu na kwenyewe kuna pesa sana, na kwenye nchi zingine hizi multinational companies huwa zinajiingiza hadi kwenye Midstream and downstream segments!!

Sijafuatilia hili suala la Makamba kuajiri hiyo hiyo foreign company na kwahiyo sifahamu kama ni kwa ajili ya kuishauri serikali kwenye Upper stream segment au kote kote!!
 
Mfumo unahusu kuingiza nguzo na mita zote za TANESCO kwenye GPS kiasi kwamba kila nguzo na kila transforma na kila mita ijulikane ilipo.Kama wataalamu wa kitanzania wapo watengeneze mfumo mbadala wapeleke proposala serikalini na ninaamini kabisa kwamba watafikiriwa.ILA TUACHE MAJUNGU kama hela kupigwa zitapigwa tu na zimepigwa sana.

Kwenye eneo hili unafahamu kabisa kwama wanasheria wetu walivotuangusha kwenye issues nyingi.Uzoefu wetu katika masuala ya mikataa ya gesi na natural gas na madini unaonesha kabisa kwamba tunahitaji utaalam zaidi katika eneo hilo
Mkuu kufanya survey kwa Gps au Totatl station na kutengeneza mchoro mpaka kampuni ya nje?

Wanasheria kutuangusha huyegemea na mkuu wa nchi.
 
Back
Top Bottom