Huyo experienced maid Kuna Chuo anasomea ili kupata cheti au wanampimaje?$300 ni kwa mtu asiye na mbele ama nyuma ambaye akifika kule anafundishwa, ila Experience Maid wanalipwa hadi $800 na zaidi.
Kazi aina zote zipo na za viwango vyote zinapatikana Uarabuni, hiyo iliyotajwa ndiyo lowest katika malipo ya kazi zilizopo.Serikali inatia aibu wakati mwingine.
Imejikita kuwasaidia madada wa Tanzania kuwa housegirls huko Uarabuni badala ya kuwasaidia diaspora ambao wanafanya kazi za maana na wenye uwezo wa kusaidia nchi kama sheria zikiwekwa sawa. Hatutaweza kuendelea kwa $300 kwa mwezi!
Na unyanyasaji na ubaguzi kwa ndugu zetu huko uarabuni badala yake tusaidie wasomi na wafanyabiashara wetu.
Nchi nyingine wanapeleka Manesi na wanalipwa $70,00-$100,000 kwa mwaka na madaktari wanaingiza zaidi ya $100,000 kwa mwaka na wasomi wengine mmablimbali mfano India inapeleka kwa mikataba wataalamu wa computer engineering. Sisi tunaenda ku sign mikataba ya mahaouse girl kwa $300 kwa mwezi? Kwanini kama ni marafiki zetu wasichukuwe wataalamu wengine?
Wito ni kwa serikali kuweka sheria rafiki kwa diaspora ili waweze kuchangia kama diaspora wengine mfano Kenya badala ya kujishusha na kutegemea wafanyakazi wa ndani!
Jinsi unavyoandika tu unaonesha wewe ndiye failure wa kwanza.Sawa kawe hausigel
Manake hata viongozi wako walifeli😂😂😂
Maokoto y uhausigeli mema
🤣🤣🤣Ulisema huongei na MimiJinsi unavyoandika tu unaonesha wewe ndiye failure wa kwanza.
Wenye digrii na waliojiongeza kwa kuitumia hiyo degree wako mbali, kuna madogo wamemaliza veterinary SUA wako kitaa pale Morogoro wanatoa huduma mbalimbali kwa wenye mifugo kama mbwa, mbuzi, ng'ombe mpaka kuku..bongo elimu haina ishu, watu wenye degree tuko nai kwenye boda boda, si bora huo uhausigeli una maokoto ya maana.
na wanafumuliwa malinda kweli kweli hasa hao wenye vidola zaidi$300 ni kwa mtu asiye na mbele ama nyuma ambaye akifika kule anafundishwa, ila Experience Maid wanalipwa hadi $800 na zaidi.
Hapana ukienda kihalali ni ajira nzuri tu, kuna daycare hata huishi kwa boss, na hata ukikaa na boss kama upo official na unapokea Mshahara unaokubalika na Nchi utaenda kwa mtu anaejielewana wanafumuliwa malinda kweli kweli hasa hao wenye vidola zaidi
Nutrition na First aid so kielimu fulani hivi cha afya afya, sijajua kuna kozi maalum ama ni hawa hawa manesi.Huyo experienced maid Kuna Chuo anasomea ili kupata cheti au wanampimaje?
USA hatambui elimu ya nchi yeyote nje ya elimu yake, ukienda lazima ufanye recertification.Kazi zilizopo huko ni hizo za mahausigeli, hizo kazi zako za wenye elimu haziko, unsdhani huko hakuna wasomi? Wanatakiwa mahausigel huki kwa sababu wazawa wa huko hawazitaki hizi kazi, wanataka hizo za dola 3,000/, kama umeshawahi kuishi nje utaelewa ugumu wa kupata kazi huko, Nenda Marekani na masters yako kutoka UDSM ksma utapata kazi ya maana. Kwanza elimu za Afrika hawazitambui!
Kwani hao walioenda mwanzo, walienda kiwizi wizi, no walikuwa na passport na viza.Hapana ukienda kihalali ni ajira nzuri tu, kuna daycare hata huishi kwa boss, na hata ukikaa na boss kama upo official na unapokea Mshahara unaokubalika na Nchi utaenda kwa mtu anaejielewa
Madalali wanatumia asilimia kubwa.kwani hao walioenda mwanzo, walienda kiwizi wizi, no walikuwa na passport na viza.
Kazi aina zote zipo na za viwango vyote zinapatikana Uarabuni, hiyo iliyotajwa ndiyo lowest katika malipo ya kazi zilizopo.
Kama wewe haikufai wapo inayowafaa na wanajenga makwao.
Maafisa wengine hawawezi ku save hizo Tanzania hii.
Kumbuka hizo ni net, kula kulala ni gharama za mwajiri.
sio uarabuni tu, hata ulaya watanzania wanafanya kazi za ovyo ovyo kubeba maboksi, kuogesha vibibi vya kizungu, kuosha barsbara, kufanya usafi migahawani n.k. kupata kazi proffessional nje ni ngumuKwenye hizo kazi kuna kazi gani umesikia ya professional? Jana ameongea balozi anajigamba watu kutengeneza $300 kwa mwezi tena katoa mpaka statistics kwamba wengi wanatoka wilaya ya kondoa🤔
Ukisikia Mtanzania ana kazi ya professional Uarabuni kapata mwenyewe na sio kwenye mikataba ya nchi. Hawa jamaa hawatuthamini kwa kazi za professional wanatuona sisi ni wa kuwa housegirls na kazi na namna hiyo huo ndiyo ukweli.
Bora hiyo $300 ya mahouse girl kuliko Dola $200 wanayolipwa Walimu wa Nchi hii
sio uarabuni tu, hata ulaya watanzania wanafanya kazi za ovyo ovyo kubeba maboksi, kuogesha vibibi vya kizungu, kuosha barsbara, kufanya usafi migahawani n.k. kupata kazi proffessional nje ni ngumu
najua ninachoongea, hizo ndio kazi wanaofanya waafrika, tena wanaoishi legally, kama huna makaratasi hata hizo huzipati, mgeni huwezi kupata kazi ya maana ulaya kirahisi, wako lakini ni wachache sana, wengi wao wanaishia kuogesha vibibi vya kizungu na kuosha masufuria migahawaniAcha uongo boss, Hizo kazi wanafanya watu ambao hawana vibali na watu ambao ni wanafunzi, huwezi kaa ulaya miaka 4 legally ukawa unafanya hizo
By the way hizo kazi pia zinapesa ndefu kuliko mishahara ya TZ
Kwa mwezi $2500 ni ndogo??
sawa we endelea kudanga kwa buku tatu tatu hapa bongo, maokoto mema ya udangajiSawa kawe hausigel
Manake hata viongozi wako walifeli😂😂😂
Maokoto y uhausigeli mema