Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
$300 ni kama $10 kwa siku, hiyo ni kama 25000 tsh kwa siku hapa Bongo..
Hivi Serikali imeshindwa kuwatengenezea uwezo watu wake na kipato kikawa 25000k kwa siku hapa Tanzania? namaanisha pato la mtanzania liwe 25000k kwa siku tena huyo ni yuke mvivu mvivu ila akikomaa awe na uwezo wa kuingiza hata 50k to 100k kwa mwezi.
Watanzania wangekuwa na vipato vizuri basi hata huo uhouse girl madada wangeufanyia hapahapa Bongo land na kama kwenda ughaibuni basi wangeenda wale wenye competency kwenye proffesional jobs nk, hawa competent na proffesional wakienda inakuwa na faida zaidi kwenye nchi.
Viongozi wa Serikali waache kukimbia majukumu yao na kukimbilia vitu rahisirahisi ili kupata political mileage ilihali vinakwenda kuumiza utu wa raia wao.
Serikali iboreshe mfumo wa elimu na kuhakikisha watanzania wengi wanaipata hiyo elimu, Serikali iwekeze kwa watu wake kwa kuhakikisha wengi wanapata soft skills zinazoendana na kasi ya dunia, serikali ikuze uwekezaji na biashara mitaani huko ili vijana wengi wapate ajira na vipato rasmi..
Viongozi wetu wengi wanawaza kirahisi rahisi sana na kuishia kuja na majibu mepesi kwenye issues ngumu zinazohitaji akili na uelewa mpana.
Naamini watu wenye taalum zinazotambulika wakienda huko ndio inaweza kuwa na faida zaidi kwa Taifa, ni vyema tukawa na watu weengi wenye taalum zaidi wanaoweza kupatikana hapa kuliko kuendekeza haya.
Hivi Serikali imeshindwa kuwatengenezea uwezo watu wake na kipato kikawa 25000k kwa siku hapa Tanzania? namaanisha pato la mtanzania liwe 25000k kwa siku tena huyo ni yuke mvivu mvivu ila akikomaa awe na uwezo wa kuingiza hata 50k to 100k kwa mwezi.
Watanzania wangekuwa na vipato vizuri basi hata huo uhouse girl madada wangeufanyia hapahapa Bongo land na kama kwenda ughaibuni basi wangeenda wale wenye competency kwenye proffesional jobs nk, hawa competent na proffesional wakienda inakuwa na faida zaidi kwenye nchi.
Viongozi wa Serikali waache kukimbia majukumu yao na kukimbilia vitu rahisirahisi ili kupata political mileage ilihali vinakwenda kuumiza utu wa raia wao.
Serikali iboreshe mfumo wa elimu na kuhakikisha watanzania wengi wanaipata hiyo elimu, Serikali iwekeze kwa watu wake kwa kuhakikisha wengi wanapata soft skills zinazoendana na kasi ya dunia, serikali ikuze uwekezaji na biashara mitaani huko ili vijana wengi wapate ajira na vipato rasmi..
Viongozi wetu wengi wanawaza kirahisi rahisi sana na kuishia kuja na majibu mepesi kwenye issues ngumu zinazohitaji akili na uelewa mpana.
Naamini watu wenye taalum zinazotambulika wakienda huko ndio inaweza kuwa na faida zaidi kwa Taifa, ni vyema tukawa na watu weengi wenye taalum zaidi wanaoweza kupatikana hapa kuliko kuendekeza haya.
