Acha uongo, nimeishi Oman, usijidanganye, kwa taarifa yako mama yangu mkubwa ameolewa na mwarabu wa Oman, nina ndugu zangu ni waarabu, nimeishi nao nyumba moja,kwanza waarabu wanazaliana sana, na idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume, na waarabu wanawahi kuoa mapema sana, asilimia kubwa wengi wanaoa btn 16 and 20s years old, tena wakishaoa wanaendelea kuishi kwa wazazi wao, nawajua vizuri, unaposema wanawake hakuna unamaanianisha nini? sema malaya hakuna hapo nitakuelewa, kuna watanzania zaidi ya 12,000 wa kike wanaofanya kazi huko, niambie kati ya hao ni wangapi wamerushwa gorofani? ingawa ni kweli kuna wachache wenye tabia mbaya wanaweza kutembea na waajiri wao, na hapa tanzania wapo