BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Hapo ujue amedindisha anataka sotojo la mbolea.Utasikia oyaa sielewi hapa unajua
Kumbe anamaanisha ana njaa
Hahaa kmmmk
Astakafillah astakafillah astakafillahmbona jina langu hauenjoy
Aaaaagh mkuu kweli mke wangu niwe namuita jamaa.... ππππWe na mkeo ndiyo chakula cha usiku au sijaelewa
Daaah ngoja hii niichukue πππππππππHahaa hapo anauliza oyaa vipi umeshapika?
Ukimwambia bado sijakirusha anaweza kukwambia basi ngoja nije na mazaga tukirushe
Oyaa vitukuu vya Nyerere vina misemo
ππππππππππHahaa kmmmk
Wewe jamaa watakulima tena ban
,πππππππ wee bichwa huko juu utachomwa moto wako Private
Hahaha huyu BICHWA KOMWE - natamani sana siku tuonane nitacheka sana nikimuonaππππππππππ
Huyu BICHWA KOMWE - hajawahi kuwa serious humu
Mkuu hiyo unaipata supermarket au wee niambie duka lipi local linauza hyo mikate meusiMkuu siyo gharama. Ni rahisi sana kwa bei. Ni ladha yake mbaya sana. Inatengenezwa na hizi nafaka za Rye, oats na hata ukitaka unaweza kutumia mtama au ulezi. Ni kama dawa kwa ladha japo unaweza kupaka vitu kama siagi au cheese.
Hapo kama kapunguza sasa ombea asikujue...Hahaha huyu BICHWA KOMWE - natamani sana siku tuonane nitacheka sana nikimuona
Daaah hyo ndo trade secret mkuu..nasikia hao wahindi wa AKIDA wahuni kweli
unaweza kuajiriwa ndani ya hicho kiwanda hata miaka 20 lakini usijue mchanganyo wao kabisa
inasadikika wabongo wako kitengo cha kukanga unga tuh na kugeuza mikate kucheki mfuko iko sawa nk ila si kuchanganya mchanganyiko
NI kama Mkocha wasaidizi wao ni kupanga koni tuh uwanja wa mazoezi basi, mchoro kocha mkuu ndio anao
Supa loaf hana mpinzani kwa Dsm...ila Home Moshi kuna AKIDA nao ni hataree...pale Njia panda ya Himo nikipita lazima nichukue kama miwili mitatu ivi ndio niingie HomeKatika kula kwangu mikate nchi hii sijawahi kuona Mikate iliyo bora zaidi ya Supa Loaf, Sunkist na ile ya Iringa inayouzwa kwenye magari. Hii mikate inahitaji heshima nchi hii kwa sababu ina hadhi zote za kuitwa mikate, kuanzia ladha, harufu, ujazo sahihi wa unga hadi ulaini.
View attachment 3027259
Daa π€£π€£Wajameni mnayajua mabumunda lakini
Utanenepa kama vile unaliwa nyamaMate yamenijaaa tayari unatia blue bad na karanga za kusaga, na maziwa fresh.