Mikate bora zaidi Tanzania

Mikate bora zaidi Tanzania

nasikia hao wahindi wa AKIDA wahuni kweli

unaweza kuajiriwa ndani ya hicho kiwanda hata miaka 20 lakini usijue mchanganyo wao kabisa

inasadikika wabongo wako kitengo cha kukanga unga tuh na kugeuza mikate kucheki mfuko iko sawa nk ila si kuchanganya mchanganyiko

NI kama Makocha wasaidizi wao ni kupanga koni tuh uwanja wa mazoezi basi, mchoro kocha mkuu ndio anao
 
Mkuu siyo gharama. Ni rahisi sana kwa bei. Ni ladha yake mbaya sana. Inatengenezwa na hizi nafaka za Rye, oats na hata ukitaka unaweza kutumia mtama au ulezi. Ni kama dawa kwa ladha japo unaweza kupaka vitu kama siagi au cheese.
Mkuu hiyo unaipata supermarket au wee niambie duka lipi local linauza hyo mikate meusi
 
Mwanza wana mkate wao unaitwa tiktok alooh!, ule mkate ni balaa tatizo ni brand name tu
 
nasikia hao wahindi wa AKIDA wahuni kweli

unaweza kuajiriwa ndani ya hicho kiwanda hata miaka 20 lakini usijue mchanganyo wao kabisa

inasadikika wabongo wako kitengo cha kukanga unga tuh na kugeuza mikate kucheki mfuko iko sawa nk ila si kuchanganya mchanganyiko

NI kama Mkocha wasaidizi wao ni kupanga koni tuh uwanja wa mazoezi basi, mchoro kocha mkuu ndio anao
Daaah hyo ndo trade secret mkuu..
Lazima iwepo ili kuepuka mambo ya Ctrl C
 
Katika kula kwangu mikate nchi hii sijawahi kuona Mikate iliyo bora zaidi ya Supa Loaf, Sunkist na ile ya Iringa inayouzwa kwenye magari. Hii mikate inahitaji heshima nchi hii kwa sababu ina hadhi zote za kuitwa mikate, kuanzia ladha, harufu, ujazo sahihi wa unga hadi ulaini.
View attachment 3027259
Supa loaf hana mpinzani kwa Dsm...ila Home Moshi kuna AKIDA nao ni hataree...pale Njia panda ya Himo nikipita lazima nichukue kama miwili mitatu ivi ndio niingie Home
 
Dodoma pia wale chief asili wana bidhaa bora sana ya mikate tofauti tofauti
 
  • Nzuri
Reactions: EEX
Back
Top Bottom