Mike Pompeo ni mnafiki na wala si mtetezi wa haki za binadamu

Mike Pompeo ni mnafiki na wala si mtetezi wa haki za binadamu

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Huyu Mike hapo jana amesikika akiituhumu mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai (ICC ) ni chombo dhaifu na kisichofaa.

Hii yote ni sababu askari wa marekani wanatuhumiwa kufanya ukatiri na ukiukwaji wa haki za binadamu huko Afghanistan na sehemu mbalimbali( Hivyo wanatakiwa wafikishwe Hague).

Swali linakuja mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu?

Maana amezituhumu wazi wazi nchi kama nane ikiwemo Tanzania kuwa kunaukikwaji mkubwa wa haki za binadamu. Mpaka na vikwazo ametuwekea tusicheze Green card lottery.

Kama kweli ni mpenda haki za binadamu kwa nini tuhuma za ICC anazikanyagia?

Alafu sisi waafrica anatutolea macho, kisa hatutaki ushoga!
 
Huyu Mike hapo jana amesikika akiituhumu mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai (ICC ) ni chombo dhaifu na kisichofaa.Hii yote ni sababu askari wa marekani wanatuhumiwa kufanya ukatiri na ukiukwaji wa haki za binadamu huko Afghanistan na sehemu mbalimbali( Hivyo wanatakiwa wafikishwe Hague)
Swali linakuja mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu? Maana amezituhumu wazi wazi nchi kama nane ikiwemo Tz kuwa kunaukikwaji mkubwa wa haki za binadamu.Mpaka na vikwazo ametuwekea tusicheze Green card lottery.
Kama kweli ni mpenda haki za binadamu kwa nini tuhuma za ICC anazikanyagia? Alafu sisi waafrica anatutolea macho, kisa hatutaki ushoga!

Anafikishwaje wakati Marekani sio mwanachama?
 
Huyu Mike hapo jana amesikika akiituhumu mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai (ICC ) ni chombo dhaifu na kisichofaa.Hii yote ni sababu askari wa marekani wanatuhumiwa kufanya ukatiri na ukiukwaji wa haki za binadamu huko Afghanistan na sehemu mbalimbali( Hivyo wanatakiwa wafikishwe Hague)
Swali linakuja mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu? Maana amezituhumu wazi wazi nchi kama nane ikiwemo Tz kuwa kunaukikwaji mkubwa wa haki za binadamu.Mpaka na vikwazo ametuwekea tusicheze Green card lottery.
Kama kweli ni mpenda haki za binadamu kwa nini tuhuma za ICC anazikanyagia? Alafu sisi waafrica anatutolea macho, kisa hatutaki ushoga!

Congo pia wana Green card lottery unaweza kucheza
Unajifanya utaki tamaduni zao wakati unataka kwenda kuishi kwao
 
Anafikishwaje wakati Marekani sio mwanachama?
Marekani ilisaini mkataba wa kuanzisha ICC ila hawajaratify. Na ICC ina mandate ya kuchunguza makosa ya wamarekani. Ndio maana huwa inawanyima visa inapoona wanafauatilia.
 
Marekani ilisaini mkataba wa kuanzisha ICC ila hawajaratify. Na ICC ina mandate ya kuchunguza makosa ya wamarekani. Ndio maana huwa inawanyima visa inapoona wanafauatilia.

Means sio mwanachama
 
Hamtaki ushoga namna gani wakati mashoga wamejaa huko Tanganyika!?

Kwahiyo hao mashoga walioko huko Tanganyika wameletwa na pompeo?

Hebu acha ujinga wewe! Andika vitu ambavyo ni watertight usidhani unaandikia watoto wenzako!
 
Kuwa shahidi kwa makosa aliyoyataja pompeo ndani ya nchi yako Yana ukweli kiasi gani. Hayo matatizo Yao wewe yanakuhusu nini kwa mfano.
 
Hamtaki ushoga namna gani wakati mashoga wamejaa huko Tanganyika!?

Kwahiyo hao mashoga walioko huko Tanganyika wameletwa na pompeo?

Hebu acha ujinga wewe! Andika vitu ambavyo ni watertight usidhani unaandikia watoto wenzako!
Na hatujasikia mkajati wa nchi wa kutokomeza ushoga. Bali wanaongezeka kila siku na hawapewi bughuza yoyote.
 
Hamtaki ushoga namna gani wakati mashoga wamejaa huko Tanganyika!?

Kwahiyo hao mashoga walioko huko Tanganyika wameletwa na pompeo?

Hebu acha ujinga wewe! Andika vitu ambavyo ni watertight usidhani unaandikia watoto wenzako!
Mh...e
 
MATAGA



______________[emoji36][emoji2958]_______________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
 
Waliingiza nchi nyingine mkenge wao wakagoma kusaini, viranja wa dunia hao
 
Andika kitu yenye kubeba maji. Unapiga porojo hapa unadhani watu wote ni fyatu kama wewe!

Halafu hao US wana mifumo ya kisheria ambayo inaweza kuwawajibisha wahalifu wa kivita kupitia mahakama zao za ndani. Na infact wana sheria na mikataba inayozuia nchi za nje au mahakama za nje kuwashitaki wanajeshi wa marekani kwa makosa ya kivita!

Mgogoro wa ICC na marekani ni wa kisheria na kikanuni. Ndio maana hata maafisa wa ICC hawakurupuki hovyo linapokuja swala hilo.

Any mistake by the ICC might render all criminal proceedings a nullity. And before it even comes to that, the US will be entitled to defend and protect its jurisdiction in all ways it knows how. AND GUESS WHAT? chaos?

Usifananishe huo mgogoro na siasa zenu uchwara! Ati human right? Jinga kweli.

Next time usije ukaanza kufananisha hiyo Tanganyika yako na mifumo ya dunia. Tanganyika is a shithole and a lawless country.

SHUT UP and learn something!
 
M
Andika kitu yenye kubeba maji. Unapiga porojo hapa unadhani watu wote ni fyatu kama wewe!

Halafu hao US wana mifumo ya kisheria ambayo inaweza kuwawajibisha wahalifu wa kivita kupitia mahakama zao za ndani. Na infact wana sheria na mikataba inayozuia nchi za nje au mahakama za nje kuwashitaki wanajeshi wa marekani kwa makosa ya kivita!

Mgogoro wa ICC na marekani ni wa kisheria na kikanuni. Ndio maana hata maafisa wa ICC hawakurupuki hovyo linapokuja swala hilo.

Usifananishe huo mgogoro na siasa zenu za kijinga! Ati human right? Jinga kweli.

Next time usije ukaanza kufananisha hiyo Tanganyika yako na mifumo ya dunia. Tanganyika is a shithole and a lawless country.

Shut up and learn something!
Mavi tu.una nini cha kunifundisha shoga wewe? Pumbavu zako. Au una hamu ya kuliwa! Haki za binadamu duniani zinapishana?
 
Lete hoja acha matusi, lete fact lete maandiko ya udhibitisho wa hoja yako.

Hapa sio Facebook ambako kutwa unajadili mambo ya umber rutty brother

Hapa ni JF,
Matusi ya huyo shoga hujayaona? Acha ubwege.
 
Back
Top Bottom