Mike Pompeo ni mnafiki na wala si mtetezi wa haki za binadamu

Mike Pompeo ni mnafiki na wala si mtetezi wa haki za binadamu

Kwenye familia yetu hakuna mambo hayo ila hayo mambo tunayaona kwenye jamii zetu mwenye pesa huwa hakosei,ndio maana mie huwa nasema hata huku waafrika kuona jamii zengine ni bora kuliko sisi na kujihisi tuna laana ni kwa sababu ya umasikini tu.

Unakuta mtu akiona polisi mzungu huko marekani akimpiga mtu mweusi basi anasema watu weusi wakorofi hivyo ni sawa sawa ila mtu mweusi huyo huyo akipigwa na polisi huku afrika inaonekana polisi ndio wenye makosa.
Mfano hauendani na mada kabisa.
 
Dah ila jamii forums ina wajuaji sijapata kuona.. Angalia comments za Godzilla, ujuaji mwingi halafu anajichanganya mwenyewe.. Kwamba US wana mifumo imara ya kisheria kudeal na watu wao so haina haja ya ICC, tukiruhusu mentality za kitoto namna hii si kila taifa litasema lina mifumo sahihi ya kisheria kudeal na watu wao! Je ni kweli? Hata Sudan sio member wa ICC ila kwa kuwa sheria ya kuanzishwa kwao inawapa mandate ya kumtry individual ndo maana wanadeal na Bashir.. So USA anaweza kuwa sio member wa hii court ila raia wake mmoja mmoja wanaweza kuwa dealt na hii court kama watafanya uhalifu dhidi ya binadam.. Ndo ilivo na USA hili wanalijua ndo maana kila ICC wakigusia ishu za uhalifu wa wanajeshi wa US dhidi ya Waafghan, US hawataki kudeal nalo kisheria bali wanakimbilia vitisho dhidi ya ICC na presha za kiuchumi.. Jiulize kwanini wasipambane na ICC kisheria badala yake wakimbilie vikwazo vya kiuchumi na kidiplomasia.. Godzilla na wenzio wenye akili za kimalayer mnatia kichefuchefu
Jamaa mtu wa ajabu sana anajichanganya tu ilimradi aingizie kiingereza kwenye paragraph zake... Pathetic.
 
Jamaa mtu wa ajabu sana anajichanganya tu ilimradi aingizie kiingereza kwenye paragraph zake... Pathetic.
Asikurupuke.
Screenshot_20200307-104241.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andika kitu yenye kubeba maji. Unapiga porojo hapa unadhani watu wote ni fyatu kama wewe!

Halafu hao US wana mifumo ya kisheria ambayo inaweza kuwawajibisha wahalifu wa kivita kupitia mahakama zao za ndani. Na infact wana sheria na mikataba inayozuia nchi za nje au mahakama za nje kuwashitaki wanajeshi wa marekani kwa makosa ya kivita!

Mgogoro wa ICC na marekani ni wa kisheria na kikanuni. Ndio maana hata maafisa wa ICC hawakurupuki hovyo linapokuja swala hilo.

Any mistake by the ICC might render all criminal proceedings a nullity. And before it even comes to that, the US will be entitled to defend and protect its jurisdiction in all ways it knows how. AND GUESS WHAT? chaos?

Usifananishe huo mgogoro na siasa zenu uchwara! Ati human right? Jinga kweli.

Next time usije ukaanza kufananisha hiyo Tanganyika yako na mifumo ya dunia. Tanganyika is a shithole and a lawless country.

SHUT UP and learn something!
Vingereza vingii kumbe ass hole. Jitu halijui hata ICC ina mamlaka gani hata kwa non member state.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andika kitu yenye kubeba maji. Unapiga porojo hapa unadhani watu wote ni fyatu kama wewe!

Halafu hao US wana mifumo ya kisheria ambayo inaweza kuwawajibisha wahalifu wa kivita kupitia mahakama zao za ndani. Na infact wana sheria na mikataba inayozuia nchi za nje au mahakama za nje kuwashitaki wanajeshi wa marekani kwa makosa ya kivita!

Mgogoro wa ICC na marekani ni wa kisheria na kikanuni. Ndio maana hata maafisa wa ICC hawakurupuki hovyo linapokuja swala hilo.

Any mistake by the ICC might render all criminal proceedings a nullity. And before it even comes to that, the US will be entitled to defend and protect its jurisdiction in all ways it knows how. AND GUESS WHAT? chaos?

Usifananishe huo mgogoro na siasa zenu uchwara! Ati human right? Jinga kweli.

Next time usije ukaanza kufananisha hiyo Tanganyika yako na mifumo ya dunia. Tanganyika is a shithole and a lawless country.

SHUT UP and learn something!
Next time usije ukaanza kufananisha hiyo Tanganyika yako na mifumo ya dunia. Tanganyika is a shithole and a lawless country.

Ujinga wako umifichuka hapo juu kwenye huu mstari!
 
Kama sikosei kipindi cha Obama walikuwa wanafikiria kuwa full members lkn Trump alipoingia tu madarakani alifuta hiyo kitu na aliwapiga bit kuhusu kuwafungulia kesi raia wa US. Walijaribu akawapiga sanction ya kunyimwa visa kuingia US baadhi ya maafisa wa ngazi za juu wa ICC akiwemo huyo mkuu wao. Kwa hiyo hata wakifungua kesi US haitaitekeleza maana sio member na Trump alishasema US haitampeleka raia wake kwny ICC.
Dah ila jamii forums ina wajuaji sijapata kuona.. Angalia comments za Godzilla, ujuaji mwingi halafu anajichanganya mwenyewe.. Kwamba US wana mifumo imara ya kisheria kudeal na watu wao so haina haja ya ICC, tukiruhusu mentality za kitoto namna hii si kila taifa litasema lina mifumo sahihi ya kisheria kudeal na watu wao! Je ni kweli? Hata Sudan sio member wa ICC ila kwa kuwa sheria ya kuanzishwa kwao inawapa mandate ya kumtry individual ndo maana wanadeal na Bashir.. So USA anaweza kuwa sio member wa hii court ila raia wake mmoja mmoja wanaweza kuwa dealt na hii court kama watafanya uhalifu dhidi ya binadam.. Ndo ilivo na USA hili wanalijua ndo maana kila ICC wakigusia ishu za uhalifu wa wanajeshi wa US dhidi ya Waafghan, US hawataki kudeal nalo kisheria bali wanakimbilia vitisho dhidi ya ICC na presha za kiuchumi.. Jiulize kwanini wasipambane na ICC kisheria badala yake wakimbilie vikwazo vya kiuchumi na kidiplomasia.. Godzilla na wenzio wenye akili za kimalayer mnatia kichefuchefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Next time usije ukaanza kufananisha hiyo Tanganyika yako na mifumo ya dunia. Tanganyika is a shithole and a lawless country.

Ujinga wako umifichuka hapo juu kwenye huu mstari!
Hamna mkichwa...
 
Back
Top Bottom