Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisikika mlevi moja wa kiwango cha PhD akiropoka toka KazuramimbaHuyu Mike hapo jana amesikika akiituhumu mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai (ICC ) ni chombo dhaifu na kisichofaa.Hii yote ni sababu askari wa marekani wanatuhumiwa kufanya ukatiri na ukiukwaji wa haki za binadamu huko Afghanistan na sehemu mbalimbali( Hivyo wanatakiwa wafikishwe Hague)
Swali linakuja mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu?
Maana amezituhumu wazi wazi nchi kama nane ikiwemo Tz kuwa kunaukikwaji mkubwa wa haki za binadamu.Mpaka na vikwazo ametuwekea tusicheze Green card lottery.
Kama kweli ni mpenda haki za binadamu kwa nini tuhuma za ICC anazikanyagia? Alafu sisi waafrica anatutolea macho, kisa hatutaki ushoga!
Ukizungumzia maovu ya Marekani utaambiwa hayakuhusu zungumzia maovu ya Tz ila Marekani akizungumzia maovu ya nchi zengine inaonekana anajari haki,ukihoji sana unaambiwa kama hutaki kusemwa na Marekani basi kataa na misaada yake.
Wewe kwa hicho kichwa chako unahisi US inaweza kuwashtaki wanajeshi wake hata kwenye hizo mahakama za ndani? Kuna wanajeshi wa nchi yoyote duniani wanaowashinda wanajeshi wa US kwa kukiuka haki za binadamu wasio wa nchi yao?Andika kitu yenye kubeba maji. Unapiga porojo hapa unadhani watu wote ni fyatu kama wewe!
Halafu hao US wana mifumo ya kisheria ambayo inaweza kuwawajibisha wahalifu wa kivita kupitia mahakama zao za ndani. Na infact wana sheria na mikataba inayozuia nchi za nje au mahakama za nje kuwashitaki wanajeshi wa marekani kwa makosa ya kivita!
Mgogoro wa ICC na marekani ni wa kisheria na kikanuni. Ndio maana hata maafisa wa ICC hawakurupuki hovyo linapokuja swala hilo.
Any mistake by the ICC might render all criminal proceedings a nullity. And before it even comes to that, the US will be entitled to defend and protect its jurisdiction in all ways it knows how. AND GUESS WHAT? chaos?
Usifananishe huo mgogoro na siasa zenu uchwara! Ati human right? Jinga kweli.
Next time usije ukaanza kufananisha hiyo Tanganyika yako na mifumo ya dunia. Tanganyika is a shithole and a lawless country.
SHUT UP and learn something!
Kwenye familia yetu hakuna mambo hayo ila hayo mambo tunayaona kwenye jamii zetu mwenye pesa huwa hakosei,ndio maana mie huwa nasema hata huku waafrika kuona jamii zengine ni bora kuliko sisi na kujihisi tuna laana ni kwa sababu ya umasikini tu.Hata kwenye familia yenu mwenye pesa ndio anasikilizwa
Hata kukiwa na msiba hawezi kuzika mpaka mwenye pesa aje
Mkuu wengine hao ni kuwapuuza tu, wajuaji hapa jf n wengi sana wengine wana akili nyingi Sana.Wewe kwa hicho kichwa chako unahisi US inaweza kuwashtaki wanajeshi wake hata kwenye hizo mahakama za ndani? Kuna wanajeshi wa nchi yoyote duniani wanaowashinda wanajeshi wa US kwa kukiuka haki za binadamu wasio wa nchi yao?
Mwambie huyo shoga awe anasoma magazeti kama NYT ndio arukie hoja kama hizi. Kama ngeli hazipandi akae kimya.Fyatu ni tusi?
Pumbavu kenge unajifanya unajua kumbe fala tu. Makosa yamefanyika Afghanistan ambaye ni member. Icc ina mandate ya kuchukua hatua sababu Us imefanya makosa ndani ya Afghanistan. Musome treaties alafu ndio muje.Andika kitu yenye kubeba maji. Unapiga porojo hapa unadhani watu wote ni fyatu kama wewe!
Halafu hao US wana mifumo ya kisheria ambayo inaweza kuwawajibisha wahalifu wa kivita kupitia mahakama zao za ndani. Na infact wana sheria na mikataba inayozuia nchi za nje au mahakama za nje kuwashitaki wanajeshi wa marekani kwa makosa ya kivita!
Mgogoro wa ICC na marekani ni wa kisheria na kikanuni. Ndio maana hata maafisa wa ICC hawakurupuki hovyo linapokuja swala hilo.
Any mistake by the ICC might render all criminal proceedings a nullity. And before it even comes to that, the US will be entitled to defend and protect its jurisdiction in all ways it knows how. AND GUESS WHAT? chaos?
Usifananishe huo mgogoro na siasa zenu uchwara! Ati human right? Jinga kweli.
Next time usije ukaanza kufananisha hiyo Tanganyika yako na mifumo ya dunia. Tanganyika is a shithole and a lawless country.
SHUT UP and learn something!
√√√√√√√Mkuu wengine hao ni kuwapuuza tu, wajuaji hapa jf n wengi sana wengine wana akili nyingi Sana.
Sasa kumuelimisha mtu mwenye akili nyingi kiasi hicho ni ngumu sana mkuu.
Hapo anaandika yote hayo kuwa marekani inasheria zake zinazoweza kutoa haki kupitia mahakama za ndani.
Lakini hajiulizi ni kwanini marekani hataki kushitakiwa ICC??
Ni kwasababu wanajeshi wake hawatendi makosa??
Au kuna vitu anataka kuvificha kwa masilahi yake hataki vijulikane??
Kwanini anatulazimisha tuviamini vyombo vyake yeye vya ndani kuwa ndio vinatoa haki zaidi kuliko vya kimataifa?? Yaani afanye makosa yeye mwenyewe alafu ajishitaki mwenyewe huko kwao alafu sisi tumuamini??
Criminal prosecution sio tu swala la kuinuka na kuandaa mashtaka.Unahisi US inaweza kuwashtaki wanajeshi wake hata kwenye hizo mahakama za ndani? Kuna wanajeshi wa nchi yoyote duniani wanaowashinda wanajeshi wa US kwa kukiuka haki za binadamu wasio wa nchi yao?
Kwa nini US haitaki kushitakiwa ICC?Criminal prosecution sio tu swala la kuinuka na kuandaa mashtaka.
Sheria za kijeshi za marekani zinatoa Kinga kubwa kwa wanajeshi wake dhidi ya uwezekano wa mashtaka yoyote ya kivita ndani na nje ya nchi.
Makosa wanayoweza kushitakiwa nayo ndani ya nchi yanaweza yasiwepo chini ya mamlaka ya ICC, na mashitaka yaliyo katika mamlaka ya ICC yanaweza yasiwepo kwenye mamlaka ya sheria zao za ndani ya nchi. AND VICE VERSA?
The offences therefore become incompetent and untriable. The Courts become crippled for inability to posses or draw jurisdiction.
Nimetumia lugha rahisi ili layman kama wewe unielewe kwa uzuri.
Sio tu swala la kulia lia kwanini wanajeshi wa marekani hawashitakiwi. Let us see what the law says!
Hizo blah blah za kisiasa nakuachia wewe. You can debate all day, all time.
Unajua kusoma wewe?Kwa nini US haitaki kushitakiwa ICC?
John Bolton, U.S. President Donald Trump's national security adviser, threatened on September 10 that Washington would impose sanctions against judges and prosecutors of the International Criminal Court (ICC) if they proceed with an investigation into war crimes allegedly committed in Afghanistan by Americans.Unajua kusoma wewe?
Mimi nimeshamaliza. Wewe endelea kuhorojoka.Dah ila jamii forums ina wajuaji sijapata kuona.. Angalia comments za Godzilla, ujuaji mwingi halafu anajichanganya mwenyewe.. Kwamba US wana mifumo imara ya kisheria kudeal na watu wao so haina haja ya ICC, tukiruhusu mentality za kitoto namna hii si kila taifa litasema lina mifumo sahihi ya kisheria kudeal na watu wao! Je ni kweli? Hata Sudan sio member wa ICC ila kwa kuwa sheria ya kuanzishwa kwao inawapa mandate ya kumtry individual ndo maana wanadeal na Bashir.. So USA anaweza kuwa sio member wa hii court ila raia wake mmoja mmoja wanaweza kuwa dealt na hii court kama watafanya uhalifu dhidi ya binadam.. Ndo ilivo na USA hili wanalijua ndo maana kila ICC wakigusia ishu za uhalifu wa wanajeshi wa US dhidi ya Waafghan, US hawataki kudeal nalo kisheria bali wanakimbilia vitisho dhidi ya ICC na presha za kiuchumi.. Jiulize kwanini wasipambane na ICC kisheria badala yake wakimbilie vikwazo vya kiuchumi na kidiplomasia.. Godzilla na wenzio wenye akili za kimalayer mnatia kichefuchefu