Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #41
Mfano hauendani na mada kabisa.Kwenye familia yetu hakuna mambo hayo ila hayo mambo tunayaona kwenye jamii zetu mwenye pesa huwa hakosei,ndio maana mie huwa nasema hata huku waafrika kuona jamii zengine ni bora kuliko sisi na kujihisi tuna laana ni kwa sababu ya umasikini tu.
Unakuta mtu akiona polisi mzungu huko marekani akimpiga mtu mweusi basi anasema watu weusi wakorofi hivyo ni sawa sawa ila mtu mweusi huyo huyo akipigwa na polisi huku afrika inaonekana polisi ndio wenye makosa.
Jamaa mtu wa ajabu sana anajichanganya tu ilimradi aingizie kiingereza kwenye paragraph zake... Pathetic.Dah ila jamii forums ina wajuaji sijapata kuona.. Angalia comments za Godzilla, ujuaji mwingi halafu anajichanganya mwenyewe.. Kwamba US wana mifumo imara ya kisheria kudeal na watu wao so haina haja ya ICC, tukiruhusu mentality za kitoto namna hii si kila taifa litasema lina mifumo sahihi ya kisheria kudeal na watu wao! Je ni kweli? Hata Sudan sio member wa ICC ila kwa kuwa sheria ya kuanzishwa kwao inawapa mandate ya kumtry individual ndo maana wanadeal na Bashir.. So USA anaweza kuwa sio member wa hii court ila raia wake mmoja mmoja wanaweza kuwa dealt na hii court kama watafanya uhalifu dhidi ya binadam.. Ndo ilivo na USA hili wanalijua ndo maana kila ICC wakigusia ishu za uhalifu wa wanajeshi wa US dhidi ya Waafghan, US hawataki kudeal nalo kisheria bali wanakimbilia vitisho dhidi ya ICC na presha za kiuchumi.. Jiulize kwanini wasipambane na ICC kisheria badala yake wakimbilie vikwazo vya kiuchumi na kidiplomasia.. Godzilla na wenzio wenye akili za kimalayer mnatia kichefuchefu
Asikurupuke.Jamaa mtu wa ajabu sana anajichanganya tu ilimradi aingizie kiingereza kwenye paragraph zake... Pathetic.
Nimetoa mfano sawa na kile nilichokuwa nazungumzia.Mfano hauendani na mada kabisa.
Vingereza vingii kumbe ass hole. Jitu halijui hata ICC ina mamlaka gani hata kwa non member state.Andika kitu yenye kubeba maji. Unapiga porojo hapa unadhani watu wote ni fyatu kama wewe!
Halafu hao US wana mifumo ya kisheria ambayo inaweza kuwawajibisha wahalifu wa kivita kupitia mahakama zao za ndani. Na infact wana sheria na mikataba inayozuia nchi za nje au mahakama za nje kuwashitaki wanajeshi wa marekani kwa makosa ya kivita!
Mgogoro wa ICC na marekani ni wa kisheria na kikanuni. Ndio maana hata maafisa wa ICC hawakurupuki hovyo linapokuja swala hilo.
Any mistake by the ICC might render all criminal proceedings a nullity. And before it even comes to that, the US will be entitled to defend and protect its jurisdiction in all ways it knows how. AND GUESS WHAT? chaos?
Usifananishe huo mgogoro na siasa zenu uchwara! Ati human right? Jinga kweli.
Next time usije ukaanza kufananisha hiyo Tanganyika yako na mifumo ya dunia. Tanganyika is a shithole and a lawless country.
SHUT UP and learn something!
Kwa hiyo huko Afghanistan wanaua nzi?Makonda, wewe umezuiliwa na Pompeo kwenda Marekani kwa sababu ya kuua watu. Ben Saanane na wengineo wengi tu. Kama ingekuwa ni sababu ya Ushoga hata Rais Museven pia angezuiwa kwenda huko. Sawa sawa?
Vipi kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi, Unaunga mkono hoja au?
Watu wa LBGT utawajua kwa thread zeu tu kwa mfano [emoji117]Kuwa shahidi kwa makosa aliyoyataja pompeo ndani ya nchi yako Yana ukweli kiasi gani. Hayo matatizo Yao wewe yanakuhusu nini kwa mfano.
Kwani ya sasa sio huru?Vipi kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi, Unaunga mkono hoja au?
Uteuzi wa hiyo Tume unafanywa na nani? Makonda, mbona una akili ndogo namna hii?Kwani ya sasa sio huru?
Acha uchiziUteuzi wa hiyo Tume unafanywa na nani? Makonda, mbona una akili ndogo namna hii?
Next time usije ukaanza kufananisha hiyo Tanganyika yako na mifumo ya dunia. Tanganyika is a shithole and a lawless country.Andika kitu yenye kubeba maji. Unapiga porojo hapa unadhani watu wote ni fyatu kama wewe!
Halafu hao US wana mifumo ya kisheria ambayo inaweza kuwawajibisha wahalifu wa kivita kupitia mahakama zao za ndani. Na infact wana sheria na mikataba inayozuia nchi za nje au mahakama za nje kuwashitaki wanajeshi wa marekani kwa makosa ya kivita!
Mgogoro wa ICC na marekani ni wa kisheria na kikanuni. Ndio maana hata maafisa wa ICC hawakurupuki hovyo linapokuja swala hilo.
Any mistake by the ICC might render all criminal proceedings a nullity. And before it even comes to that, the US will be entitled to defend and protect its jurisdiction in all ways it knows how. AND GUESS WHAT? chaos?
Usifananishe huo mgogoro na siasa zenu uchwara! Ati human right? Jinga kweli.
Next time usije ukaanza kufananisha hiyo Tanganyika yako na mifumo ya dunia. Tanganyika is a shithole and a lawless country.
SHUT UP and learn something!
Dah ila jamii forums ina wajuaji sijapata kuona.. Angalia comments za Godzilla, ujuaji mwingi halafu anajichanganya mwenyewe.. Kwamba US wana mifumo imara ya kisheria kudeal na watu wao so haina haja ya ICC, tukiruhusu mentality za kitoto namna hii si kila taifa litasema lina mifumo sahihi ya kisheria kudeal na watu wao! Je ni kweli? Hata Sudan sio member wa ICC ila kwa kuwa sheria ya kuanzishwa kwao inawapa mandate ya kumtry individual ndo maana wanadeal na Bashir.. So USA anaweza kuwa sio member wa hii court ila raia wake mmoja mmoja wanaweza kuwa dealt na hii court kama watafanya uhalifu dhidi ya binadam.. Ndo ilivo na USA hili wanalijua ndo maana kila ICC wakigusia ishu za uhalifu wa wanajeshi wa US dhidi ya Waafghan, US hawataki kudeal nalo kisheria bali wanakimbilia vitisho dhidi ya ICC na presha za kiuchumi.. Jiulize kwanini wasipambane na ICC kisheria badala yake wakimbilie vikwazo vya kiuchumi na kidiplomasia.. Godzilla na wenzio wenye akili za kimalayer mnatia kichefuchefu
Hamna mkichwa...Next time usije ukaanza kufananisha hiyo Tanganyika yako na mifumo ya dunia. Tanganyika is a shithole and a lawless country.
Ujinga wako umifichuka hapo juu kwenye huu mstari!