Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Jamaa ana shamba kubwa sana la bhange. Yaani ndo biashaara kubwa anayofanya huyu jamaa. Of course huwa anaonekana smetmes kabisa kibarghashia..... But hamna lolote huyu jamaa ana fanya mishe mishe zake zile zile na msuba anavuta kinyama.
Najiuliza ilikuwa tu ni hasira ya kufungwa miaka ile au ndo aliweza shawishiwa kirahisi sababu pia alikuwa empty in his soul? Mi simwelewi kabisa huyu sheikh mike.
Najiuliza ilikuwa tu ni hasira ya kufungwa miaka ile au ndo aliweza shawishiwa kirahisi sababu pia alikuwa empty in his soul? Mi simwelewi kabisa huyu sheikh mike.