Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Angebaki kwenye ukristu ungeona sawa? Kwamba midhambi yote ni wakristu wanafanyaJamaa ana shamba kubwa sana la bhange. Yaani ndo biashaara kubwa anayofanya huyu jamaa. Of course huwa anaonekana smetmes kabisa kibarghashia..... But hamna lolote huyu jamaa ana fanya mishe mishe zake zile zile na msuba anavuta kinyama.
Najiuliza ilikuwa tu ni hasira ya kufungwa miaka ile au ndo aliweza shawishiwa kirahisi sababu pia alikuwa empty in his soul? Mi simwelewi kabisa huyu sheikh mike.
View attachment 3236127View attachment 3236128View attachment 3236129