Mike Tyson aliingia katika Uislamu kwa Hasira tu na mihemko. Simwoni kama ana Uislamu

Mike Tyson aliingia katika Uislamu kwa Hasira tu na mihemko. Simwoni kama ana Uislamu

Wewe ni mpumbavu kweli acha udini na chuki...... Uislamu hawa bembelezi mtu kuslimu kwasababu kuislimu ni kwa faida zako Islam ndo dini ya asiri kila mtu huzaliwa muislamu ila anabadilishwa na wazazi wake ambao sio waislamu, hamna wa kuhonga mtu aingie kwenye Dini ya haki.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mtukane mpaka leo akome huyo jamaa...
 
Cha muhimu ni kutoka katika kukufuru na kumuamini Mungu mmoja dhambi zingine ataendelea kulinganiwa na ataziacha kama alivyoacha ibada za sanamu, na miungu watu.
I pray to Allah to continue guiding him in the right path Inshaallah
🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sana......
 
Wewe ni mpumbavu kweli acha udini na chuki...... Uislamu hawa bembelezi mtu kuslimu kwasababu kuislimu ni kwa faida zako Islam ndo dini ya asiri kila mtu huzaliwa muislamu ila anabadilishwa na wazazi wake ambao sio waislamu, hamna wa kuhonga mtu aingie kwenye Dini ya haki.
Sio kubembeleza
🔹Kuhonga
🔹Jihad
 
Sasa kipi hapo kinakutatiza wakati Waislamu wanaongoza kwa kuvuta bangi.. angalia maeneo ya pwani idadi kubwa ya vijana ni wavuta bange hadi wanawake...
 
Uislam wa marekani ni tofauti na ule wa wengine, kule ukiwa muislam hata mashoga unasapoti, na ni uislam wa kizungu, hakuna fujo, hakuna jihad, na wengine wanaenda ili kuwakamata waarabu wawape pesa, hasa hao wanamichezo.
 
Jamaa ana shamba kubwa sana la bhange. Yaani ndo biashaara kubwa anayofanya huyu jamaa. Of course huwa anaonekana smetmes kabisa kibarghashia..... But hamna lolote huyu jamaa ana fanya mishe mishe zake zile zile na msuba anavuta kinyama.

Najiuliza ilikuwa tu ni hasira ya kufungwa miaka ile au ndo aliweza shawishiwa kirahisi sababu pia alikuwa empty in his soul? Mi simwelewi kabisa huyu sheikh mike.

View attachment 3236127View attachment 3236128View attachment 3236129
Usifanye masihara na mpunga toka Arabia
 
Kwan huyo Tyson ni nani? Ni binadam kama sisi so kubadili kwakwe din hakumfany yeye kuacha Yale alikua anafanya Sion Cha ajabu hapo kwanza din haimpelek mtu mbingun
 
Hivi ulikua banned? Alokutoa akurudishe huko huko😀😀
 
Afghanstan pamoja na kutumia sharia za allah kabisa lakini ndio source kubwa ya mihadarati duniani, so bangi haina uhusiano na imani kabisa, mbalimbali!
 
dawa hiyo mkuu

angekuwepo Mohamed Ali angejibu vizuri swalilako

umevuta ngapi stiki Leo (mdau)
 
Huwa Hawa wajamaa pro mudi Wana mikakati maalumu

🔹 Kutumia FEDHA nyingi kuwarubuni watu maarufu duniani wajiunge nao ili wawatumie kwenye promotion ya kueneza dini Yao idhaniwayo kuwa ni ya amani. Sasa hivi wanapambana na Christian Ronaldo kwa kutumia AI kumvalisha kanzu na kuwaaminisha watu amebadili ila kimsingi wameshindwa

🔹 Kuwatumia mabinti.zao kuwarubuni wanaume kupata ndoa nao na kubadili dini

🔹 Kuharibu kuongiza kwenye Sheria za nchi sheria na mifumo Yao

🔹Midaalo ya kuzinanga Imani nyingine

🔹 Active violence
Wagalatia mtashndwa nini kwa uzushi?..kama mmeweza kumsingizia Yesu ni mungu mtashndwa kwa lipi?..Yanii muislam awe muislam mpk amfuatishe mtu maarufu?..Mbn wewoo?..Mpk leo Brian Deacon wengi wanaamini ndo Yesu..hapo sembuse picha na kumchongea vinyago ili watu waamini ni Yesu ipi ni active violence?
 
Back
Top Bottom