Mike Tyson aliingia katika Uislamu kwa Hasira tu na mihemko. Simwoni kama ana Uislamu

Angebaki kwenye ukristu ungeona sawa? Kwamba midhambi yote ni wakristu wanafanya
 
Ni kweli uislam ni dini ya hovyo dini ya kweli ni ile ambayo wanafungisha ndoa za jinsia moja madhabahuni na viongozi wao wakubwa wanasema mungu anaangalia nafsi sio matendo na jinsia moja kuoana ni sawa imeandikwa kwenye ufunuo na raia wanaandamana baada ya kuzuia kuoawana wenyewe kwa wenyewe kwako yehova bwana wa majeshi.
 
Kwahiyo kaka kma angebaki katika Ukristo na angeendelea kulima na kuuza bange ungesemaje!!? Yan Kwa hilo bandiko lako unazihirisha uislam haupend mahasi
 
Hao wa Taliban ambao ni waislamu wenye itikadi kali kufuata sharia law mbona ndio trafficking ya heroin inafanyika kwa ukubwa huko kwao Afghanistan?!!Nafikiri bangi ina nafuu kuliko heroin.Nafikiri Kawashangae wataliban kwanza kabla ya kuja wa TysonπŸ€”
 
Sababu Ya Hizo Ndevu Ndo Imekupelekea Kuingia Chaka Ila Jifunze Kitu

Imani Ya Mtu Iko Moyoni Na Sio Machoni
Kwani Vingi Unavyoviona Kwa Macho Huwenda Huvijui Ingawa Unaviona
Na Ndio Maana Hata Baba Yako Unaeamini Alikuzaa Uenda Sio Kweli Bali Mama Yako Alimpa Ujauzito Ili Aulee Tu Apate Unafuu Wa Maisha

Na Hizo Ndevu Kuna Mamulioni Ya Makafiri Wanafuga Mmoja Wao Ni Huyo Pichani
Kwa Akili Yako Kisoda Na Yule Rick Rozz Ni Mwislam Sababu Ya Ndevu Zake?
 
Uislam dini ya juzi,budha,hindu na jewsni dini za kale sanabora useme kila mtu huzaliwani jews ungeeleweka
 
Dini ya asili ilianza miaka 14.. iliopita ikishindana na dini mpya ilioanza miaka elfu 2 iliopita? πŸ˜‚
 
mike ataendelea kuwa muislam tu. Tofautisha kati ya Uislam ambao ni dini iliyokamilika na Muislam ambaye ni binadamu hajakamilika.
 
Dhambi pia zina Grade, usimfanishe muuaji na mtu aliesengenya ama kusema uongo, zote ni Dhambi unatakiwa uache ila uzito wake ni tofauti,
 
Hao mitume walikuwa dini gani maana uislamu ulianza miaka elfu moja na mia nne iliopita πŸ˜‚
Hapo ndo wagalatia mlipoachiwa laana ya kuwadhihaki mitume ya mwenyezimungu kwa uzushi...mitume yote ilishahadia laailah ilhah lau waahdahu laah shirka lau...Mungu ni mmoja wa kuabudiwa na hana mshirika..kama sie waislam tunavyofanya..ila nyie wagalatia mnaamini kwny utatu Trinity..wengine Yesu mmefanya ni mungu mnashirikisha mwenyezimungu kwa kula udongo na kujisiliba mafuta wengine mpk leo wanaabudu sanamu
Sasa kama wewe unaamini Yesu mi mungu unakubaliana kwmb Yesu alimuumba mama'ke na kumkadiria uzuri yanii anajua maumbile ya wazazi wake?
 
Unaota wewe πŸ˜‚
 

Hakuna Mmarekani wa asili wa kuzaliwa anaweza Kuwa serious Muislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…