Mike Tyson aliingia katika Uislamu kwa Hasira tu na mihemko. Simwoni kama ana Uislamu

Hivi kuna watu wanatumia pesa kurubuni watu dunia hii kushinda wakristo?

Hapo Usa wengi waliofuata uisilamu career zao zliandamwa na waliporomoka. So kusema waliofuata uislamu sababu ya pesa ni hoja dhaifu sana.

Mtu kama Tyson, Muhammad Ali, Malcom X etc wote Walipata matatizo baada ya kusilimu, career zao zikayumba na kuishi kwa kusemwa, kutengwa etc.
 
Northern Alliance (Wapinzani wa Taliban) ndio walimaji na wauzaji madawa ya kulevya, Taliban ndio wanaofyeka hayo madawa. Taliban walishapiga marufuku hayo madawa before 2001, Usa alipovamia Na kuwapa madaraka Northern Alliance ndio biashara ikashamiri, sasa hivi yanafyekwa tena.
 
Hakuna Mmarekani wa asili wa kuzaliwa anaweza Kuwa serious Muislam
Malcolm x alikua wa wapi katazame video ya Martin Luther king nyuma yake walisimama mashekhe...na kipindi hicho walichokua wanawahoji ni cha ukweli kama nyie mnaamini Yesu alikuja kwa sisi wote kwa nini mtubague na kututesa?
Deportation America haikuanza leo waliwakusanya wakaenda kuwatupa kisiwa cha Haiti wakaona haitoshi wakaenda kuwabwaga Liberia..hata Malcolm x alipoenda Mecca alishangaa watu hawakubaguana weusi kwa weupe na ndo mana'ke waliingia kwny uislam kwa wingi kwa USA kumkuta mtu ana jina la kigalatia lkn muislam wengi tuu
 
Hapa umedanganya sana... Hata wao wangekuwepo wangekukataa. Usa ni nchi ambayo mwenye dini yoyote anaweza ishi. Hawabagui Dini. Mimi nimeishi na huwa several times naenda. Nakuambia kwa uzoefu sasa dogo.
 
Wakuja kukwambia hapo ndo Majini mliachiwa laana. Maana mliamua muitane hivi. Majini vs Wagalatia
 

Kuna namna una Matatizo, nililosema ni sahihi na sio mtizamo wangu, na sigombanii waumini wewe Kobaz!

Mimi ninakutesaje?
 
Ule uislam wa Muhhamed Ali ni wa kimchongo mchongo sana si ndio huko hata Malcom X alikua.

Uislam wa hao jamaa una utata utata sana.
 
Mkuu jaribu kufatilia huo uislam wa Malcom X , Mohammed Ali na founder wao wa National of Islam.
 
Hahah wasiokuwa waislam wanazaa muislam hahah,inachekesha lakini siyo sana.
 
Hapa umedanganya sana... Hata wao wangekuwepo wangekukataa. Usa ni nchi ambayo mwenye dini yoyote anaweza ishi. Hawabagui Dini. Mimi nimeishi na huwa several times naenda. Nakuambia kwa uzoefu sasa dogo.
Then Hujui Historia za hao watu, Kasome Historia ya Muhammad Ali na Dini yake, kutokana na Uisilamu alikataa mambo mengi na kupinga vitu vingi ikiwemo vita ya Vietnam, Akapokonywa hadi mikanda yake ya Boxing.

Alipobadili Jina toka cassius Clay Kwenda Mohammed Ali alivunja mikataba mingi na mapromota na kukosa hela zake.

So mtu kwa Ajili ya dini yake kukosa yote hayo na kuacha Mali Zake una claim amesilimu sababu ya pesa huoni ni hoja dhaifu?
 
Mkuu jaribu kufatilia huo uislam wa Malcom X , Mohammed Ali na founder wao wa National of Islam.
Sema humu unachokijua...sijui hata wagalatia huwa mnataka nini uislam haupo in Trinity mungu ni is mmoja sio mungu aliyemuumba mama'ke na akazaliwa aliyemuumba
 
Hujui Historia zao njoo nikuoneshe acha za kuambiwa. Usiwe kama Mbayuwayu.
 
Waliokusimulia walikudanganya.
 
Sema humu unachokijua...sijui hata wagalatia huwa mnataka nini uislam haupo in Trinity mungu ni is mmoja sio mungu aliyemuumba mama'ke na akazaliwa aliyemuumba
Wao wanaamini Allah alimuumba binadamu wa kwanza mweusi na anaongea lugha ya kiatabu, baada ya muda kuna mwanasayansi wa kuitwa Yakub akamuumba mzungu.

Mzungu akaja kumpindua huyo mtu mweusi(shabazz), katheory kao ndio kapo hivyi kwa ufupi ila maeneo mengine kama wanafanana na waislam ila mengine ni tofauti na wanamuappreciate sana huyo founder wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…