Mike Tyson na Evander Holyfield katika picha ya pamoja, nguvu ni kitu cha kuisha

Mike Tyson na Evander Holyfield katika picha ya pamoja, nguvu ni kitu cha kuisha

Kazi Ina pesa hii lakini vijana wamekomaa na bongo flava, boxing inahitaji nidhamu ya hali ya juu, passion, kujitoa na uvumilivu, boxing haitaki umalaya, sigara, pombe vyakula havieleweki.. na vilevi vingine.

Ndio maana vijana wengi wanaikimbia.

Kuna kipindi Mike Tyson alikaa 5 years hajala mbususu, lakini kwenye interview baadae alisema ulikuwa ni ujinga japo ukweli ni kwamba umalaya na boxing ni moto na maji.

Na kumpiga mtu aende chini sio uzito wa ngumi pekee utaangusha mpinzani, bali ngumi asiyotarajia either alidhani ameblock halafu ikapenya au ngumi mfano wa hook huwa inatokea pembeni kama hakuiona lazima imlambishe sakafu. Hii style Tyson aliitumia sana kupiga watu KO, inarushwa hook haionekani.

Uppercut ndio mbaya kabisa hio akipigwa mtu hana mazoezi hasa ugomvi wa mtaani anaweza jisaidia.
 
Kaka Miili ni ya muda tu , kuna kipindi itachakaa Mpaka unashangaa na hatimaye Kuisha Kabisa.
Utashangaa watu wanaringa na uzuri au ubabe na maguvu ya miili .
Roho ndiyo kitu cha kudumu , roho haichakai wala haizeeki .
Tujitahidi Kutengeneza roho zetu ziwe nzuri na kumtii Mungu muumbaji.
Cha muhimu katika kila zama unayopitia. Itumie kwa akili
 
This man was overrated.

Tyson was the real deal , kifo cha yule trainer wake Yule mzee kilifanya Tyson ajiachie na mavilevya matokeo yake akapoteza uhalisia

In his prime , wote walikuwa wanaogopa to fight Tyson.

He was really heavyweight
No
Evander was a real,real,real deal
Evander alikua mtu aisee,ndio maana Mara zote mbili Tyson alichezea
Mimi mwenyewe mwanzoni nilikua namuweka Tyson mbele ya Evander ila baada ya kumfuatilia vizuri, Evander was superb
 
No
Evander was a real,real,real deal
Evander alikua mtu aisee,ndio maana Mara zote mbili Tyson alichezea
Mimi mwenyewe mwanzoni nilikua namuweka Tyson mbele ya Evander ila baada ya kumfuatilia vizuri, Evander was superb
Baada ya pambano la Tyson,evander kabondwa bondwa kiboya,evender alitumika kummaliza Tyson kwa sababu zao waluzoona wanagenzi,na ngumi zikaishia pale
 
Kina klitschko
Exactly. Kile kizazi cha wale mabondia itachukua miaka mingi sana kurudi, palikuwepo na ushindani haswaa, mimi kuamka saa 10 alfajiri kusubiri pambano la Tyson vs Evander sikuona shida yoyote, nilikuwa na mzuka, leo utaniamsha vipi nikamtazame Joshua sijui na nani huko wanashikana tu mashavu ulingoni...!!

Lennox Lewis anapigwa na Hashim Rahman S.A, kwa TKO hakuna aliyetarajia, hata yeye mwenyewe hakutarajia, ilikuwa ni ngumi moja ya ukweli iliyopita mahala pake ikamlaza chali, anakuja kupata fahamu refa keshamaliza pambano, ubingwa wa dunia unaenda SA japo ilikuwa kwa muda mfupi, maana ile game ya marudiano Lennox aliikamia nikaona kama Hashim alikubali yaishe mapema..

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
No
Evander was a real,real,real deal
Evander alikua mtu aisee,ndio maana Mara zote mbili Tyson alichezea
Mimi mwenyewe mwanzoni nilikua namuweka Tyson mbele ya Evander ila baada ya kumfuatilia vizuri, Evander was superb
Evander alikuwa anajua kuitumia vizuri ile mikono yake mirefu, mara nyingi ukicheza nae anahakikisha hupati nafasi ya kumsogelea, na ngumi zake hazikuwa kwa spidi kama Tyson, yeye alikuwa anakudokoa tu, anarudi nyuma, anadokoa anarudi nyuma.

- Hapo ndipo Tyson alikuwa akipata tabu kwa Lennox, kwa ule ufupi wa Tyson ilikuwa lazima amsogelee Lennox, kila akijaribu kumsogelea jamaa anarudi nyuma huku akinyoosha mkono wake mmoja wa kulia, basi hapo Tyson atahangaika weee kutafuta nafasi ya kupenya wapi... huku yeye anadokolewa tu paap kisha jamaa anarudi nyuma.

Siku niliyomuona Lennox amefunguka vizuri ni lile pambano lake la marudiano na Hashim Rahman, pale ndipo Evander hakutaka mchezo kabisa, ilikuwa lazima mikanda yake airudishe UK, na ikarudi kwao, ila nae ndio kama vile akaiona hatari iliyoko mbele yake dhidi ya kina Klitschko, akatunyima wapenda boxing hiyo fight kwa hofu zake, akaamua kustaafu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Nilikiwa simpendi Tyson kwa sababu alikiwa hapigwi, yeye anafaulu tu.

Sijui hii asili ya kuchukiq wanaofanikiwa chanzo chake ni nani.
 
Nilikiwa simpendi Tyson kwa sababu alikiwa hapigwi, yeye anafaulu tu.

Sijui hii asili ya kuchukiq wanaofanikiwa chanzo chake ni nani.
Sijui ni nature?! Hata nami niliichukia Man Utd kwa sababu ya Ferguson, walikuwa hawafungwi!. na yale magoli yao ya dakika za mwishoni ndio nikawa siwapendi kabisa!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka nilikesha billicanas pambano la Tyson na Evander , nikiwa na manzi, tutoke hapo ndio twende kwenye mambo yetu ya msingi ya mahusiano, huko Msewe
 
Sijui ni nature?! Hata nami niliichukua Man Utd kwa sababu ya Ferguson, walikuwa hawafungwi!. na yale magoli yao ya dakika za mwishoni ndio nikawa siwapendi kabisa!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Aisee. Ila siku hizi nimejifunza kwa machozi kuanza kukubaliana na uhalisia. Mtu akifanya vizuri akubaliwe tu hakuna namna.
 
Golden Era ila Evander alikuwa Mtu na nusu, a real fighter hakuwahi kukwepa wala kuogopa mtu alipigana na Tyson mara 2 , George foreman, Riddick Bowe mara 3 , Lennox Lewis mara 2 , buster Douglas, Larry Holmes wote ni formers world heavyweight champions.
 
Exactly. Kile kizazi cha wale mabondia itachukua miaka mingi sana kurudi, palikuwepo na ushindani haswaa, mimi kuamka saa 10 alfajiri kusubiri pambano la Tyson vs Evander sikuona shida yoyote, nilikuwa na mzuka, leo utaniamsha vipi nikamtazame Joshua sijui na nani huko wanashikana tu mashavu ulingoni...!!

Lennox Lewis anapigwa na Hashim Rahman S.A, kwa TKO hakuna aliyetarajia, hata yeye mwenyewe hakutarajia, ilikuwa ni ngumi moja ya ukweli iliyopita mahala pake ikamlaza chali, anakuja kupata fahamu refa keshamaliza pambano, ubingwa wa dunia unaenda SA japo ilikuwa kwa muda mfupi, maana ile game ya marudiano Lennox aliikamia nikaona kama Hashim alikubali yaishe mapema..

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kwenye game ya ngumi 1 mistake inaweza leta K.O, hashim rahman kumpiga lennox kwangu ni kama zali tu, ndio maana ile game ya pili aliona cha moto.
Kizazi hiki hakifurahishi kutizama ndondi, ngumi kipaji hakuna, heavyweights weengi hawana kitu, mabondia wazuri ni uzani mwingine
 
Golden Era ila Evander alikuwa Mtu na nusu, a real fighter hakuwahi kukwepa wala kuogopa mtu alipigana na Tyson mara 2 , George foreman, Riddick Bowe mara 3 , Lennox Lewis mara 2 , buster Douglas, Larry Holmes wote ni formers world heavyweight champions.
Wote Hao aliwadunda isipokua "the big dad" Riddick Bowe
 
I remember that day, natazama pambano naona mabondia wamekumbatiana, ghafla kuachiana namuona Evander anaruka ruka kwa hasira huku akimuonesha refa sikio lililon'gatwa, refa anasimamisha pambano Evander apatiwe huduma ya kwanza damu zikichuruzika shavuni.

Kama tukizungumzia heavy weight boxing, miaka ile ndio ilikuwa haswaa, sio siku hizi kina Deontay Wilder, Tyson Fury, Anthony Joshua ndio wanagombea mikanda, wote wauza sura tu kwangu mimi niliyewahi kuishuhudia miamba ile ya 90's...

Enzi kina Lennox Lewis wanastaafu kwa usalama wao kuogopa kipigo toka kwa wale bondia wawili wa Ukraine nimesahau majina yao.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hamna ngumi Heavyweight siku hizi,ni mabishoo tu.
Labda Wilder kidogo.
Tyson Fury ananunua mechi.
Hao wengine ndo hata siwaelewi.
 
Wote Hao aliwadunda isipokua "the big dad" Riddick Bowe
Ali muotea akashinda moja ila kwangu hii ndio the best trilogy matches kwa heavyweight sio boxing za kina AJ boring fights.
 
Back
Top Bottom