hahaha navokujua andybird hukawii kuweka mzigo wote leo halafu uanze jutia
Nishautoa mapema.
Walinipa 14000 bonus ndio naitumia kuzalisha hizo hela so natafuta timu zingine nitumie hizo bonus zao hata zikienda hazina hasara maana wamenipa wao hizo bonus
ili upate bonus nimpaka uwe na sifa gani?
Meridian njia ni ya kwenda kwenye vibanda vyao vinapatikana kariakoo,buguruni,magomeni,etc.
Au mpesa kwa mpesa soma post za nyuma nimeelezea
Wazee wenzangu inachukua muda gan kupata pesa kwenye mpesa cuz nimetoa jana mchana via meridian but mpaka sasa sijapata pesa
wakuu mbna nmefungua acnt i play 8 mpka sasa hawajanipa bonus
wazee wenzangu hivi hii Live In-Play ikoje, how do they play it? mie naona madude mengiiii ata sielewi wanacheza vipi, ebu nisaidie niijue vizuri
rahim_baharia Andybird123 Rockcity native
Wazee wenzangu inachukua muda gan kupata pesa kwenye mpesa cuz nimetoa jana mchana via meridian but mpaka sasa sijapata pesa
Ku depost meridian reference ulisema jina vp ni jina la kwanza au lapili au yote mawili!?
Bofya kwenye mechi unayotaka kucheza kisha watakuletea options tofauti kama mech itaishaje au kama goli litaingia au corner kuna options tofauti kulingana na mech...
kuna vitu kama H1, H2, H, ZERO BET, UNDER, OVER, HOME GALS, AWAY GOALS, SCORE TWO OR THREE GOALS, ebu nifafanulie mkuu
kuna vitu kama H1, H2, H, ZERO BET, UNDER, OVER, HOME GALS, AWAY GOALS, SCORE TWO OR THREE GOALS, ebu nifafanulie mkuu
hizo H1, H2, ZERO BET cjawahi kuziona angalia vizuri kama ni mechi ya mpira wa miguu..