Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Acha uchoyo weka hadharani na wengine tufaidike.

Sina tabia ya uchoyo ila kuna namba yasimu yamtu pale casino ambaye naitumiaga kununua beycard sio vizuri nikaianika hapa wewe ni pm usiwe na wasiwasi hv a good day
 
Jamanii eenhh, nimedipost meridian kwa mpesa kuanzia jana hadi leo hawaniwekea mwenye namba zao bandugu
 
Ndugu kama namba uliyotumia haiko kwenye account yako ya meridian hilo ndio tatizo kubwa.
Piga 0754303232
Wapigie meridian
Mi ilishawahi nitokea nikawapigia wakaniuliza jina,account yangu then wakaiweka hela yangu. Huwa siku hizi nikitumia mpesa wananiwekea mapema
 
Ndugu kama namba uliyotumia haiko kwenye account yako ya meridian hilo ndio tatizo kubwa.
Piga 0754303232
Wapigie meridian
Mi ilishawahi nitokea nikawapigia wakaniuliza jina,account yangu then wakaiweka hela yangu. Huwa siku hizi nikitumia mpesa wananiwekea mapema

Asante ntskufahamisha nkifanikiwa
 
nikipiga hesabu hela nilizo liwa na wahindi(premier na meridian) na nilizo kula ..mh nilizo liwa ningenunua zinatosha hata kumiliki kiwnja huko mbwinde zagaulole.... guyss nimeliwa akili/ubashiri/mawazo na hela now nataka niwe nawafuata hawa jamaa wanajiita Zulubet.com vipi kwa anayewajua ubashiri wao ni mzur au njama za wahindi duniani (NZWD)?
 
nikipiga hesabu hela nilizo liwa na wahindi(premier na meridian) na nilizo kula ..mh nilizo liwa ningenunua zinatosha hata kumiliki kiwnja huko mbwinde zagaulole.... guyss nimeliwa akili/ubashiri/mawazo na hela now nataka niwe nawafuata hawa jamaa wanajiita Zulubet.com vipi kwa anayewajua ubashiri wao ni mzur au njama za wahindi duniani (NZWD)?

Mimi nilizoliwa hata haifiki ya kununua baikeli. Ila nikila tu nazitoa mapemaaaa.
Nimeweka mpango wa kubet 2000 tu kwa siku kwa kila account zangu. Juzi nikapata 110,000 kwa 3000 so mambo mazuri kiasi.
 
Mimi nilizoliwa hata haifiki ya kununua baikeli. Ila nikila tu nazitoa mapemaaaa.
Nimeweka mpango wa kubet 2000 tu kwa siku kwa kila account zangu. Juzi nikapata 110,000 kwa 3000 so mambo mazuri kiasi.

hongera mkuu but..unabetia meridian au premier au wap wewe?
 
Back
Top Bottom