Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Ligi yoyote ile duniani(hata kombe la kinesi) ukibet game 3 za kwanza ni kujitafta lawama tu
 
Kuanzia leo, naacha Betting kabsaaaaah,

usiache kaka, juzi game ya bayrrn nimeliewa lakini 4 lakini ngoja namvizia muhindi, lazima anirugishie milioni na usheee
punguza kiasi unachobett kama ulikuwa unacheza laki cheza 10 au pumzika kwa muda, ukiacha pesa zako muhindi atalizipaje??
 
Nimekula laki na nusu meridian jana ila kwny vitim vya ajabu nliweka mkeka huo wa kumalizia vichenji huku mategemeo yakiwa kwa wakubwa...matokeo yake ndio umeniokoa nmerudisha mtaji
 
Ligi yoyote ile duniani(hata kombe la kinesi) ukibet game 3 za kwanza ni kujitafta lawama tu
lazima game 3 kwanza zipite ujue udhaifu wa timu na uimara wa timu, mfano kule russia game 3 zimepita na zenit au c s ka wapo vizuri , unakuwa na uhakika angalau.
 
Nimekula laki na nusu meridian jana ila kwny vitim vya ajabu nliweka mkeka huo wa kumalizia vichenji huku mategemeo yakiwa kwa wakubwa...matokeo yake ndio umeniokoa nmerudisha mtaji
poa kaka za leo tupeane pia au sio
 
Huu msimu ni hatare.
Huyu nokia huwa anabahatisha vihela kweli kwelo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…