Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

HT : Sunderland 1 - 1 manchester
St Ettienne 0 - 0 rennais

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Poleni mlompa ajax niliwapa angalizo lakini

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mi nilishaitoa siku nyingi toka waniue mechi ya kwanza sinna hamu nao

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
wakuu kuna mdau aliongea point sana leo, unakuta mtu kaweka 1000 anataka kula 300,000 au 500 anataka 150,000 lakini kama utaweka 30,000 ukacheza ata mechi mbili au tatu za uwakika kula 80,000 ni kawaida sana, tusiwe na matamaa sana.... au nyie mnaonaje wakuu...... kumbuka we are fighting the same enemies, poverty+muhindi


andybird314 scopi_on_nge Rockcity native Nokia83 NkyaH madukwappa mtoo wa nzi
 
Last edited by a moderator:

Ili ni jambo la msingi sana kwa sababu ukiweka kwa mfn 10000 ukala elfu 80 kwa team chache za uhakika utakuwa na uhakika wa kula karibu kila siku na huingii hasara.. Ukiangalia hata mfn wa bet ya mhindi anakiandikia team 3 dau buku... Kula 12000 mhindi anaamini kuwa kuweka 1000 ukala 12000 ni faida kubwa sana... Kama utaweka team za uhakika
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli mi nimebet mbili leo Totternham na Barcelona

Kesho na bet Real madrid na GKS belchatow ya poland
Naweka 20,000 kamab kawa

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 

Mkuu umenena kitu cha msingi sana, tuache hizi tamaa ndogo ndogo za kutaka kula hela nyingi kwa kuweka hela kidogo. Mimi naanza weka timu moja au mbili tuuu
 
spurz sawa,Man u mmmhhh!niliweka elf 20 nipate elf 47 keshoo.
 
Mie nimeweka timu za mwezi huu wote timu chache ila Man U sijamweka sababu najua ataharibu shsrehe
 
Barca wanaongeza goli la tatu hapa. Wow !

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Yaani raha sana kubet timu mbili za uhakika unapiga hela fresh kabisa

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kesho msibet mechi ya Man city na Liverpool ni mechi ngumu msibet kabisa

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…