Asante mkuu.
Mimi leo sijaangalia account zangu nimepitia mkeka wa karatasi.
Leo naweka minne ya buku buku tu. Tuone itakuwaje
Leo ni hivi Barca,madrid, arsenal,totternham, parma, napoli,inter,milan,hull,bodeux
Mh hapo kwa spur na Liverpool utata kidogo
Milan hapo haaminiki kbs
Mkuu naona shangwe leo. Mitaji iliyopotea imerejea kwa mkupuo. Hheheheheee.
Leo napumzika jamani, hongera andybird na wote mlioshinda...
Leo napumzika jamani, hongera andybird na wote mlioshinda...
Milan hapo haaminiki kbs
Kwa mara ya kwanza nimepata 434,000 in a single bet. Nimerudisha zote nilizowahi bet pamoja na faida mara dufu.
Mech ya liverpool ni mwendo wa kuzuia goli
28+
Betting gani kuna option ya red card.? Meridian naona hakuna hiyo option.
Pia wenye mikeka ya over na under waitandaze.
Dah wazee wenzangu leo nimeamka na hangover za jana nikaingia sokoni online nikakutana na lokomotiv vs zenit nikaweka pesa mingi Kuja kuprint risit nakuta Zenit ya watoto. Dah sina amani kabisa na hawa watoto.
ipo, ila kwenye ligi kubwa kubwa tu
Ngoja nisubiri matokeo mkuu so far ni dakika ya 65 na Zenit anaongoza kwa tofauti ya goli moja.Dah... mkuu unachezea shilingi chooni
Sasa hivi mambo ya kuweka buku nile laki sitaki tena. Naweka kilo mechi moja tu yenye average odd ya 1.5 Mwisho 1.7.. Nakua nakula 50 had 70 per day.. Kwa wiki nina above 350.. Heri ya haya kuliko kila siku kuaribiwa na timu moja tu
Sign gan inatumika kumaanisha no red card
mfn double chance unaweka 12
Ukifanikiwa tuletee feedback...