Hilo Whatsapp group litatunyima raha tusio na whatsapp.
Nashauri tubakie hapahapa kama zamani. Hapa watu wanataka ingia betting wanapitia hapa huko whatsapp nina hakika mambo hayatakuwa poa kama ilivyo hapa
Ok mkuu, ila kuna kama watu 3 wameni-PM wanataka hvyo coz wanaogopa kuzungumzia mambo ya bettings hapa, wake zao wakiwaona humu itakua balaa !!! Hahahahahahaha
Kwa mwindi jana anakwambia mechi ya Guinea Vs Togo ilifungiwa,haikuwa na betting.kama kunamtu alikopy na kupest huu mkeka basi nayeye amekula mpunga wa bure bure
Kwa mwindi jana anakwambia mechi ya Guinea Vs Togo ilifungiwa,haikuwa na betting.
Ok mkuu, ila kuna kama watu 3 wameni-PM wanataka hvyo coz wanaogopa kuzungumzia mambo ya bettings hapa, wake zao wakiwaona humu itakua balaa !!! Hahahahahahaha
Naamin nimeanza vizur online betting mpk sasa ht jeonbuk 2-0 sangju
Yani ningekua ni mm ndo ananiambia habari za ivyo, sijuwi kwakweli, nadhani ningekua niko napiga story na kanumba this time, those are normal business loses, they must take it, legue zenye utata wasiziweke sasa, akyamungu ningemvuta pua kama foleni ya kimara ubungo
Megamix ya muhindi...leo mpk j3 hapo nmeweka 1000 izae laki na 80
Yaani ndugu andybird314 unavyotusua daily nunua hata ascend Y300 basi, asrams nimepigwa KnockOut ya maana ndio narud leo..