Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

IPO SIKU KANJI ATAKAA

LAKI 2 Nimekosa leo Kwa hawa wapuuzi kuto kufungana
IMG_5710.jpg
 
Huyu afisaubashirimwandamizi tuwe nae makini sana anafanya kazi betPawa ni wakala wa kanjibai ndio maana mikeka yake yote ni lost tupuuu
Hakika shukrani ya punda ni mateke. Sasa wewe codes zako zinazowin ziko wapi? Si utume humu watu wawin?!.
Unajua uwezekano wa kushinda mkeka ukiwa na mechi kuanzia sita?.
 
Huyu afisaubashirimwandamizi tuwe nae makini sana anafanya kazi betPawa ni wakala wa kanjibai ndio maana mikeka yake yote ni lost tupuuu
Mara nyingi nilikuwa naweka mechi hapa bila codes, kelele zikawa nyingi maafisa hawana muda wanataka codes tu. Nikaona betpawa site ndiyo rahisi kutengenezea codes, nimeanza share codes tuko humo.
Hata wiki haijaisha unasema tena mimi ni wakala na mfanyakazi wa betpawa, ubinadamu kazi.
 
Huyu afisaubashirimwandamizi tuwe nae makini sana anafanya kazi betPawa ni wakala wa kanjibai ndio maana mikeka yake yote ni lost tupuuu
Sasa kama unajua anatuma code za uongo si ubeti kinyume chake ule mahela?
Wote humu tunabahatisha tu ila tunaangalia penye uwezekano mkubwa wa kushinda ingawa sasa nako hakuna uhakika kwa sababu kuna facts nyingi zinazoweza kubadisha kabisa matokeo tarajiwa.
 
Ungeweka buku mbili una million nane, kweli mtaji ndounatuangusha
Na hapo angeshare edit yake wote tungekula
Ndo maana nasema kushare edit ni muhimu...kelele za kutishia watu Wanaoiba mikeka na kuedit zimefanya jamaa aedit kimya kimya...haya kapiga laki nane.. jitu bandia kapiga shingapi na mikeka yake anayokataza watu kuedit...
Kila siku tutaona tu watu wanatuma wanashinda mahela kwa mikeka ya huku huku na we unajishangaa haushindi kitu...tuheshimu edits za watu...
 
Back
Top Bottom