Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Sio kwa nia mbaya ila nimefanikiwa pakubwa kujizuia kubet kama mwanzo nilivyokuwa nikifanya, tangu Desemba tarehe za mwanzoni mpaka leo nimebet mara moja tuu tena jana. Next time ni kufuta app ya kubet
Unakimbia wapi, endelea kubeti kistaarabu..mimi niliweza kitambo, nabet weekend tu ma nikiwa sina pesa natulia tu, roho hainiumi wala sikopi ilo nibeti.

Kila kitu kina addiction, sio pombe, wanawake, au vyovyote..ni kucontrol tu,.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…