Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hizo private tips nisogezee nami PM
 
Gundu!!
Yes Gundu!!
Kama haijawa bahati yako utaangukia ndani ya timu hizo 17

Hujawahi ona kama cyo cku yako ya bahati,,, unayoiacha ndo inatoa na unayoifuata inazingua?! Tena unaweza ona inaongoza kabisa alafu jioni kitu,,, ifikilie Frankfurt mechi iliyopita!!

Bahati ni sehemu ya matokeo chanya kwenye betting
 
Unaskia dingii... Nicheue.. Sina Ushirika Wala urafiki hatufahamiani..usinikazie fuvu... Ukitaka chukua kama vipi cheua... Mi nipo humu tangu Uzi unaanzishwa... Dingii
 
Wengi wao ni Influencers wa Hizo Kampuni za Kubet, So wanatengenezewa Kila Kitu.

Usijichanganye, Akili za Kuambiwa Changanya na zako
Hapo kwenye kutengenezewa hebu fafanua mkuu. Wanatengenezewa nini wakati anabet na code anapost na wana wengine wanaboom kwa hiyo hiyo code!!!?
 
Hivi hii mechi ya ivorycost mnaielewa kweli!?... Kuna mtu anaiangalia!?... Mbona naona kama refa kapanga haya matokeo!?.. goli zinakataliwa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…